Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

Sawa,nipe na kipande kinachoonyesha takwimu ya kukua kwa deni la TAIFA hasa kwenye kipind Chake,chochote kile
Ni kwamba mnasahau au tatizo ni nini? Mbona kipindi Cha Magufuli ulikua mjadala na magazeti yaliandika kuhusu kukopa na deni kupanda?
Hilo hapo gazeti ya mwananchi la 2018

Screenshot_20211230-125231_1.jpg
 
Kinachowasumbua wapinzani wengi na wahuni wote ni chuki walionao dhidi ya Magufuli wanatafuta tuhuma za kumzushia kila kukicha
 
Kuwapo kwa taarifa BOT ni jambo moja,na kauli za mtawala ni jambo lingine,

BOT Kuna taarifa za madeni,mtawala akawa anasema hakopi na anajenga kwa fedha za ndan,hapa tunadiscuss outcomes
jiwe sio kwamba hakukopa, katka kipindi Cha miaka 5 ,alikopa jumla ya 29 trillion,na hangaya kwa miezi 9 amekopa trillion 11 Hadi Sasa,na hapo bado Kuna tozo . so far Kama wanakopa kwa matumiz sahh ya kujenga miradi it's ok,lkn speed ya kukopa kwa hangaya inatisha,Kama miez 9 tu 11T,je mpaka 2025 ,atakuwa kafika T ngapi,fanya hesabu mwenyewe,halafu compare na speed ya jiwe!!
 
Friends and Our Ugly Enemies,

People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla,

Just imagine speaker wa bunge anashikia Bango kabisa eti atake asitake tutamuongezea muda,sasa Kuna mtu hapo,ni jitu la kupuuza tuh,

President Magufuli siku zote kwenye hadhara zake alikua anasema nchi hii ipo vizur,nchi hii ni tajir,na kwamba asilimia kubwa ya miradi inayoendelea ni kwa kutumia fedha zetu za ndan,hizo ndege tunanunua kwa fedha za ndan Tena cash,na kwa maana hiyo watz tutembee kifua mbele...

Magufuli hakujua kuwa hakuna marefu yasiyo na ncha na kwamba uongo wote ule basi una mwisho wake,baada ya kifo chake ndipo tunakuja kuujua uhalisia kuwa hii miradi mingi fedha zake siyo kweli kuwa ni za ndan,Bali ni fedha za mikopo Tena Mikubwa yenye riba kubwa pia,

Mama Samia,hawez kuendelea kuzubaa na kutupa lawama kwa mtanguliz wake kuwa alisema uongo na kwamba fedha zilikua siyo za ndan,hawez kusema hivyo, yeye kama msaidiz wake alikua anajua ukweli,asingeweza kufanya chochote,

Kwa kauli yake kuhusu kukopa mama Samia anachosisitiza ni kwamba mirad hiyo inayoonekana imefanyika kwa fedha za mikopo na bado miradi haijakamilika,sasa which is which,miradi hii iachwe ijifie tufanye mambo mengine au tumalizie kukopa tuikamilishe??kwa sababu in the first place hiyo miradi ni ya mikopo,tukiidump ijifie tutalipa,na tukichukua fedha na kuikamilisha tutalipa vile vile,

Na masuala ya kuongopeana kuwa eti tunajenga kwa fedha za ndan Ili Hali ukweli haupo hivyo yeye hawez mambo hayo,

Shida hii tunaipata ni kutokana. Na sera za USIRI za mwendazake na kutokuwa MUWAZ katika vitu vya msingi kama hivi,

President Samia SONGA MBELE,kazi iendelee..
Mbona unaandika mada nzito kama hii bila ushahidi? Kwani Magu anaposema tulijenga kwa pesa za ndani baadhi ya miradi ni uongo?

Mfano SGR from

Dar to Morogoro 300km $1.2bn ni pesa za ndani, also Mwanza to Isaka $1.5bn pesa za ndani.

Ununuzi wa ndege ni kweli ulikuwa ni cash basis na ni pesa za ndani kama unapinga leta ushahidi.

So, unapokuwa unaleta mada kama hii inatakiwa uwe unaweka na ushahidi ku support claim yako la sivyo utaonekana una chuki pia ni kituko.
 
Hakika,na aljua Sana kucheza na akili zetu,hakuna fyoko fyoko wa kuhoji,ajabu eti wapinzan nao wakamiminika kwenda kuunga mkono juhud za mwamba,

Ukweli upo waz sasa

Alicheza na akili za wajinga ila tulikuwa tunajua anakopa na kupika data, na hayo tuliyasema hata alipokuwa hai. Hao wapinzani ni wale dhaifu ambao kwao vyeo ilikuwa ni bora kuliko chochote. Wengi wa waliokuwa wanahoji walikutana na utawala wake wa mabavu, kuna waliouliwa, kupewa vilema vya maisha, kuhujumiwa shughuli zao za kuwaingizia kipato. Na wala sio kweli kuwa watu hawakuhoji. Sisi wengine na post zetu ziko humu humu ndani tukisema kuwa Magufuli alikuwa muongo, na mpika data.
 
Zaidi ya chuki kwa Magufuri sioni hoja yako nyingine!

Kinachonishangaza japo mmeshinda vita ila hamjiamini hata kidogo, shida nini?

Hii nchi bila nyinyi ingekua mbali sana.
Wameshinda vita gani hao nyumbu?
 
'Shida hii tunaipata kutokana na sera za usiri za mwendazake' na bila kusahau tabia za kishetani za kinafiki za wasaidizi wake wote. Watu ambao walikuwa 'jikoni' na walijua na kushiriki kila hila za yule katili leo hii wanapata wapi ujasiri wa kutaka waonekane kana kwamba hawakuwa sehemu ya ushetani ule?! Ifike mahali kama taifa tuwazomee na kuwakataa watu wabinafsi ambao wako radhi taifa lididimie ila vibarua vyao viwe salama! Mheshimiwa Assad ni mfano bora wa watu wema kwa taifa hili.....siyo hao wezi wengine.
Anayefanya siri ni Lisu na ndoa yake na Amsterdam lakini mambo ya Tanzania huwa yako hadharani bungeni na kwenye magazeti
 
Mbona unaandika mada nzito kama hii bila ushahidi? Kwani Magu anaposema tulijenga kwa pesa za ndani baadhi ya miradi ni uongo?

Mfano SGR from

Dar to Morogoro 300km $1.2bn ni pesa za ndani, also Mwanza to Isaka $1.5bn pesa za ndani.

Ununuzi wa ndege ni kweli ulikuwa ni cash basis na ni pesa za ndani kama unapinga leta ushahidi.

So, unapokuwa unaleta mada kama hii inatakiwa uwe unaweka na ushahidi ku support claim yako la sivyo utaonekana una chuki pia ni kituko.

Una uhakika gani kuwa zilikuwa ni fedha za ndani, wakati deni la taifa limeongezeka kuliko wingi wa miradi iliyopo? Magufuli alikuwa ni roho la uharibifu, na alikuwa muongo wa kutupa toka akiwa waziri. Nakumbuka wakati anadanganya wananchi kuhusu idadi ya samaki, na mayai yao yaliyoko kwenye water bodies za Tanzania. Kibaya zaidi alitumia kiburi cha madaraka yake kulinda uongo wake, na kwakuwa wajinga ni wengi alifanikiwa kuwahadaa. Wajinga ndio sasa wamemshwa usingizini na kuanza kuujua ukweli.
 
Anayefanya siri ni Lisu na ndoa yake na Amsterdam lakini mambo ya Tanzania huwa yako hadharani bungeni na kwenye magazeti
Mtoa mada ndiye aliyeandika kuhusu 'sera za usiri' za aliyekuwa wakala wa ushetani bongolala.....mimi nimemjibu kuwa hakuwa yeye tu, hata wasaidizi wake wote walishiriki uovu ule. Hayo yenu ya kumuonea wivu huyo Lissu mimi hayanihusu.....
 
Back
Top Bottom