Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

jiwe sio kwamba hakukopa, katka kipindi Cha miaka 5 ,alikopa jumla ya 29 trillion,na hangaya kwa miezi 9 amekopa trillion 11 Hadi Sasa,na hapo bado Kuna tozo . so far Kama wanakopa kwa matumiz sahh ya kujenga miradi it's ok,lkn speed ya kukopa kwa hangaya inatisha,Kama miez 9 tu 11T,je mpaka 2025 ,atakuwa kafika T ngapi,fanya hesabu mwenyewe,halafu compare na speed ya jiwe!!

Hizo trillion 9 kwa miez tisa kwa data zipi,wabongo wazandiki sana
 
Una uhakika gani kuwa zilikuwa ni fedha za ndani, wakati deni la taifa limeongezeka kuliko wingi wa miradi iliyopo? Magufuli alikuwa ni roho la uharibifu, na alikuwa muongo wa kutupa toka akiwa waziri. Nakumbuka wakati anadanganya wananchi kuhusu idadi ya samaki, na mayai yao yaliyoko kwenye water bodies za Tanzania. Kibaya zaidi alitumia kiburi cha madaraka yake kulinda uongo wake, na kwakuwa wajinga ni wengi alifanikiwa kuwahadaa. Wajinga ndio sasa wamemshwa usingizini na kuanza kuujua ukweli.
Kwahiyo deni la taifa limepandishwa na vitu hivyo tu? Kwamba nchi haifanyi vitu vingine zaidi ya kujenga SGR na kununua ndege? Shida ni kwamba una chuki binafsi na wala huwa hujibu kwa weledi, sijawahi kuona post yako hata moja uliyowahi kujibu kwa weledi zaidi ya kujibu kwa chuki na wivu.

Nimekuonesha miradi iliyofanyika kwa pesa za ndani unatakiwa ukubali cz hyo ni fact but kama unaona nmekuonea weka ushahidi kupinga nilichosema na co kuongea vitu kutoka mdomoni mwako, huo ni utoto, chuki, wivu na ujinga.
 
Una uhakika gani kuwa zilikuwa ni fedha za ndani, wakati deni la taifa limeongezeka kuliko wingi wa miradi iliyopo? Magufuli alikuwa ni roho la uharibifu, na alikuwa muongo wa kutupa toka akiwa waziri. Nakumbuka wakati anadanganya wananchi kuhusu idadi ya samaki, na mayai yao yaliyoko kwenye water bodies za Tanzania. Kibaya zaidi alitumia kiburi cha madaraka yake kulinda uongo wake, na kwakuwa wajinga ni wengi alifanikiwa kuwahadaa. Wajinga ndio sasa wamemshwa usingizini na kuanza kuujua ukweli.

Mkuu,Kuna watu ni hodari wa kutetea legacy,km jamaa yao alikuwa muwaz ikawaje hakutata kbs watu wahoji matumiz ya ile 1.5Trillion had akafikia hatua ya kumtimua CAG Assad
 
Kwahiyo deni la taifa limepandishwa na vitu hivyo tu? Kwamba nchi haifanyi vitu vingine zaidi ya kujenga SGR na kununua ndege? Shida ni kwamba una chuki binafsi na wala huwa hujibu kwa weledi, sijawahi kuona post yako hata moja uliyowahi kujibu kwa weledi zaidi ya kujibu kwa chuki na wivu.

Nimekuonesha miradi iliyofanyika kwa pesa za ndani unatakiwa ukubali cz hyo ni fact but kama unaona nmekuonea weka ushahidi kupinga nilichosema na co kuongea vitu kutoka mdomoni mwako, huo ni utoto, chuki, wivu na ujinga.

Hizo takwim unazosema Samia within 9 months kakopa 11 trillion umezitoa wapi?
 
Uwazi upi ilhali mikataba bado ni SIRI na hiyo mikopo mnapigwa porojo tu hakuna aliyeona hata hizo terms.

Au mnabandikiwa huko misikitini?

Mwambieni serikali yake ipeleke bill bungeni ili mikataba iwe wazi kwa kila mwananchi.

BTW:Kila mnapomtetea Mama yenu haina haja ya kumfanya mtangulizi wake benchmark.
 
Uwazi upi ilhali mikataba bado ni SIRI na hiyo mikopo mnapigwa porojo tu hakuna aliyeona hata hizo terms.

Au mnabandikiwa huko misikitini?

Mwambieni serikali yake ipeleke bill bungeni ili mikataba iwe wazi kwa kila mwananchi.

BTW:Kila mnapomtetea Mama yenu haina haja ya kumfanya mtangulizi wake benchmark.

Mbona mna chuki Sana na iman yake kuliko utawala Wake??

Then ziko waz waz hata kuzificha kinafiki mnashindwa,jamaa hatukumuua sisi ni Mipango ya mungu naona hizo chuki siyo za kawaida aisee
 
Hizo trillion 9 kwa miez tisa kwa data zipi,wabongo wazandiki sana
Mkuu hii bado unapinga tu? Mbona ipo wazi? Kinachokutisha ni wingi huo wa pesa au nini? Mbona taarifa zipo wazi na tumesema hapa kuwa sasa Kuna uwazi?
 
Kwahiyo deni la taifa limepandishwa na vitu hivyo tu? Kwamba nchi haifanyi vitu vingine zaidi ya kujenga SGR na kununua ndege? Shida ni kwamba una chuki binafsi na wala huwa hujibu kwa weledi, sijawahi kuona post yako hata moja uliyowahi kujibu kwa weledi zaidi ya kujibu kwa chuki na wivu.

Nimekuonesha miradi iliyofanyika kwa pesa za ndani unatakiwa ukubali cz hyo ni fact but kama unaona nmekuonea weka ushahidi kupinga nilichosema na co kuongea vitu kutoka mdomoni mwako, huo ni utoto, chuki, wivu na ujinga.

Miradi iliyozidi 2t kipindi chake ni mitatu tu, kwanza ni ndege zinazokaribia 2t, SGR na SG ambazo hakuna mradi hata mmoja uliofikia robo ya lengo hadi anafariki. Vituo vya afya na hospitali nchi nzima havijavuka 500b, hazikujengwa barabara za 5t. Je hiyo 20t deni limetoka wapi?

Weka figures hapa usitake kujificha kuwa ninachuki naye, maana sijawahi kumpenda kiongozi yeyote dhalimu na mwenye kiburi cha madaraka. Kumbuka alikuwa anakusanya kodi, hapo itatusaidia kuona kodi alizokusanya zilienda wapi, na mkopo uliingia wapi. Niliunga mkono hoja ya Nape ufanyike uchunguzi wa mikopo ya wakati wa Magufuli ili tujiridhishe fullstop.
 
Hili njemba shabiki la kidini kweli.....
likiona utawala wa christian linakuwaga pinga pinga
Kwenye hiyo post yake kuna nini Cha kidini hapo?
Wewe unajivika na kuona udini kwenye kila kitu una complex ya kujihami hata kwa kivuli tuu
 
Dini yangu Mimi ni Uislam,

Na dini yako wewe ni ukristo,ukristo is what gives you peace of mind,enyoy your Christianity,Uislam wangu Mimi unakuumiza nini hadi ufikie hatua useme unaharibu ubongo wangu ndugu yangu??

It's a choice which I have made,let me die with my religion,wewe una dini yako na Mimi Nina dini yangu., sasa shida Nini.

Ustadhi Big Show,

Ndhani unakwepa hoja maksudi au umeamua kujitia wazimu.

Awamu ya Mzee wa Msogo tulimkosoa katika masuala mbali mbali na tulimpongeza pale alipofanya vema hasa suala la katiba mpya,uhuru wa kutoa maoni na demokrasia.Tulizodoa serekali yake kwa mambo ya rushwa na ufisadi.

Awamu ya Mzee wa Chato tuliikosoa serekali yake katika masuala mbali mbali ikiwemo upendeleo,ukabila,umajimbo,ukanda na baya zaidi ukatili wa kiwango cha kutisha.

Tofauti yangu mimi na wewe ipo wazi tena haijifichi.Wewe kiongozi akiwa Muislam huna uwezo wa kukosoa lolote hata lililowazi.Kiongozi akiwa Mgalatia utamkosoa kweli kweli.Mimi siangali dini ya Kiongozi ndio nimkosoe la hasha natoa mawazo yangu pasipo kuangalia dini ya mtu.Nina uhakika Ndugai angekuwa Ustadhi mwenzio usingeandika uliyoandika.Samia Hassana angekuwa Mgalatia ungerusha makombora ya kila aina.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti.
 
Dau.jpg
 
Miradi iliyozidi 2t kipindi chake ni mitatu tu, kwanza ni ndege zinazokaribia 2t, SGR na SG ambazo hakuna mradi hata mmoja uliofikia robo ya lengo hadi anafariki. Vituo vya afya na hospitali nchi nzima havijavuka 500b, hazikujengwa barabara za 5t. Je hiyo 20t deni limetoka wapi?

Weka figures hapa usitake kujificha kuwa ninachuki naye, maana sijawahi kumpenda kiongozi yeyote dhalimu na mwenye kiburi cha madaraka. Kumbuka alikuwa anakusanya kodi, hapo itatusaidia kuona kodi alizokusanya zilienda wapi, na mkopo uliingia wapi. Niliunga mkono hoja ya Nape ufanyike uchunguzi wa mikopo ya wakati wa Magufuli ili tujiridhishe fullstop.
Naona umeshindwa kuthibitisha kwamba hakuna mradi uliofanyika kwa pesa za ndani, kama umeshindwa basi sawa mana hiyo ndiyo ilikuwa hoja, acha chuki.
 
Naona umeshindwa kuthibitisha kwamba hakuna mradi uliofanyika kwa pesa za ndani, kama umeshindwa basi sawa mana hiyo ndiyo ilikuwa hoja, acha chuki.

Mimi nimetaja miradi na figure ya ndege ambazo tayari zimekuja, vituo vya afya na hospitali ambazo nyingine hazijakamilika hazijavuka 500b. We ndio ulipaswa useme mpaka sasa SGR na SG zimetumia kiasi kadhaa, na makusanyo ya Kodi yalikuwa kiasi kadhaa, ndio maana deni ndani ya 5yrs lilifikia 20t. Sasa umeng'ang'ana chuki wakati huna figures, na wakati nimekuambia sijawahi kumpenda kiongozi yoyote dhalimu na mlevi wa madaraka.
 
Mkuu uwazi wa kukopa upo, BOT kila mwezi walikuwa wanavhapisha report za kuhusu mikopo na Deni, na hata Sasa wanafanya hivyo.
BOT hawajawahi kusimama kutoa taarifa kuhusu mikopo wala deni
Una maanisha nini? Magufuli Kukopa haikuwahi kuwa na uwazi hata tone, au wewe ulikuwa wapi Ilipotungwa sheria ya takwimu! umesahau yaliyotaka kumkuta Zitto?

Kipindi cha Magufuli ukishasema serikali imekopa Basi we kama ni mtule wake kiti unakiacha. Hata hao bot taarifa zilikuwa zao tu.
 
Una maanisha nini? Magufuli Kukopa haikuwahi kuwa na uwazi hata tone, au wewe ulikuwa wapi Ilipotungwa sheria ya takwimu! umesahau yaliyotaka kumkuta Zitto?

Kipindi cha Magufuli ukishasema serikali imekopa Basi we kama ni mtule wake kiti unakiacha. Hata hao bot taarifa zilikuwa zao tu.
Sijui nianzie wapi kukujibu.
Mikopo haikuwahi kuwa Siri na haitawahi kuwa Siri, achilia mbali report za BOT Bali hata magazeti yaliandika na vyombo vya habari vilireport kila Mara Magufuli alipopewa mikopo.
Acha kukariri, niambie ni mkopo gani ulitolewa wakati wa Magufuli na hakuandikwa kwenye vyombo vya habari?
 
Back
Top Bottom