BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Hakuna Cha ushauri acha wivuKama wewe sio mario basi tulia waache wadada wachukue ushauri kwa faida yao.
Pilipili ya shamba haikuhusu hiyo
Na usipojitambulisha jinsia yako maana yake wewe ni bendera kufuata upepo [emoji3]Mimi sihitaji kujitambusha, Mwandiko pekee tu unanitambulisha. Sasa wewe unaandika kitu mpaka tunaulizia jinsia huoni kama una tatizo?
Weka namba yako we gay wajuba wanakusubiri kwa shauku wazibue mtaroSio mwanaume wala sio mwanamke.... ni hii jenda mpya
Tuma posa kwa aizn yupo mpweke sana anasubiri wa kumuoaAisee! Tatizo ni kubwa
NDOA ni aina fulan ya utumwa kwa mwanaume!
Nimeshaona anajipodoa na kurembua dalili za kuita wateja.
Gay wengi hukimbilia dm, if you're not a gay komaa hapa hapa utachumbiwa tuAcha utoto sasa kambi ya fisi
Nishakwambia njoo dm elewa basi .... wewe vipi? Kambi ya fisi hayaa mambo ya kikubwa sasa tunayoongea sasa hivi kuwa seriously
Ailn keshakupa urojo hahahaa endelea kukomaa naye hadi atulie na wewe tu [emoji3]Nimeshaona anajipodoa na kurembua dalili za kuita wateja.
Hata wewe haya kuhusuHakuna Cha ushauri acha wivu
...wivu Ni kidonda ukishiriki utakonda.
Tena yawezekana kuna jiran yako anafaidi hapo kwako Sasa unataka kupasuka ukaona dawa kuja kuleta Hasira zako huku
Hayo Mambo ya watu hayatuhusu sisi'
Hii ni kweli kabisaSema kwa wanaume dhaifu
Wengi mmekuwa legelege na kuchagua kuwa wanawake
Kwetu, wanawake tunajengewa au tunapewa makazi kabla ya kuolewa.Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Wewe hujaoa, wewe umeolewaNinaye mke, huu ni mwaka wa 26 sasa nipo naye ktk ndoa na sijauona utumwa wowote.
Wapi pameandikwa mwanamume lazima afunge ndoa?Kwa kukataa ndoa umeudharirisha
Mwanamke Usiruhusu Mwanaume Kuhamia Nyumbani Kwako...
Ukiamua kuolewa usimruhusu ahamie kwako, hata kama unamiliki jumba la kifahari katika soko la juu halafu huyo jamaa anaishi katika nyumba ndogo ya kupanga, ni heri ujishushe daraja na utoke kwa jumba lako la kifahari na uhamie katika kijumba chake hicho muishi hapo hadi mnunue au mjenge nyumba yenu pamoja.
Kuna sababu tatu za kutomruhusu ahamie kwako …
1. Mwanamume anayehamia kwenye nyumba ya mwanamke hukimbia wajibu.
Kwa kawaida mwanaume anayejua wajibu wake huchukua hatua kabla ya kuoa.
Hutayarisha makao ya bibi-arusi wake kabla ya kumpata huyo bibi-arusi.
2. Ikiwa unaweza kumudu kumiliki nyumba halafu mwanaume unayeishi naye hawezi kumudu kumiliki nyumba basi yeye sio saizi yako.
Akihamia kwenye nyumba yako ipo siku mtaingia katika ligi ya kupigana juu ya nani anayedhibiti nyumba.
Hivyo achana naye mwache aende akapate mwanamke wa saizi yake.
3. Ikiwa mwanamume atahamia nyumbani kwako, matarajio yake makuu ni kulelewa na wewe, atakufanya uwe mtoaji wake kwa kila kitu. Muda si muda, hutamheshimu tena, yeye pia hata kupenda tena.
Katika dunia ya sasa wanawake hawawezi kujisalimisha kwa wanaume ambao hawatoi.
NB: ujumbe huu ni kwa wanawake wote ambao hawajaingia ktk ndoa, ila kwa wale waliopo ktk ndoa na wanaishi na hao wanaume majumbani kwao huu ujumbe hauwahusu, wakomae tu waume zao wazembe.
Maisha ya ndoa na udanganyifu ni maji na mafuta. Na kwa nini udanganye?Na kwanini umweleze kuwa una nyumba?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha kiherehere ,we mwambie hapo umepanga,na Kodi ni kiasi kadhaa,mkubaliane kama mtamudu kuilipia pamoja,ikishindikana muhame hapo,mkapange nyumba mtakayoimudu kutokana na vipato vyenu,simple as that.
Hao unawaona wadhaifu ndiyo huchukuaga maamuzi magumuSema kwa wanaume dhaifu
Wengi mmekuwa legelege na kuchagua kuwa wanawake
Basi na mwanamke kuhamia kwenye nyumba ya mwanamme hii haifai kabisaSiyo hivyo mkuu, nia ya uzi huu ni kuweka sawa uwajibikaji ktk ndoa, mwanamume akiwa kama kichwa lazima apambane kiume awe na nyumba au ashirikiane na mkewe wajinyime wapate hela ya Kujenga wakiwa ktk ndoa.
Kinachopingwa ktk huu uzi ni "mwanaume kuhamia kwenye nyumba ya mwanamke" hii haifai kabisa.