Usiruhusu mwanaume kuhamia kwenye nyumba yako uliyojenga kwa jasho lako

Kama wewe sio mario basi tulia waache wadada wachukue ushauri kwa faida yao.

Pilipili ya shamba haikuhusu hiyo
Hakuna Cha ushauri acha wivu
...wivu Ni kidonda ukishiriki utakonda.
Tena yawezekana kuna jiran yako anafaidi hapo kwako Sasa unataka kupasuka ukaona dawa kuja kuleta Hasira zako huku

Hayo Mambo ya watu hayatuhusu sisi'
 
Mimi sihitaji kujitambusha, Mwandiko pekee tu unanitambulisha. Sasa wewe unaandika kitu mpaka tunaulizia jinsia huoni kama una tatizo?
Na usipojitambulisha jinsia yako maana yake wewe ni bendera kufuata upepo [emoji3]
 
Acha utoto sasa kambi ya fisi

Nishakwambia njoo dm elewa basi .... wewe vipi? Kambi ya fisi hayaa mambo ya kikubwa sasa tunayoongea sasa hivi kuwa seriously
Gay wengi hukimbilia dm, if you're not a gay komaa hapa hapa utachumbiwa tu
 
Kwetu, wanawake tunajengewa au tunapewa makazi kabla ya kuolewa.

Hatukubali kwenda kuishi kwa mume, mume ndiye anaeishi kwa mke na mume hamiliki samani yoyote ya ndani ya nyumba isipokuwa nguo zake. Bahati mbaya ikitokea kuachana ni mwanamme anaeondoka nyumbani.
 

Ukiona mwanaume amehamia ujue tuu huyo sio mwanaume wa kiume. Ana hitilafu tayari
Mwanaume aliye sawa hufanyi hivyo
 
Wanawake wengine watakwambia
1. mie napenda mwanaume tuanze nae moja kutaftaeeee
2. mie sipendi mwanaume mwenye maendeleo sana ntanyanyasika
3. Mie napenda mwanaume msikivu na mwenye hofu ya mungu hata ka hana hela takula daga na hata lala njaa


mwanaume uwapo na nguvu tengeneza njia ya maisha yako ya baadaeee, kabla na baada ya kuwowa
 
Maisha ya ndoa na udanganyifu ni maji na mafuta. Na kwa nini udanganye?

Mwanaume anayejielewa haswa ukishamwambia nyumba ni yako kwanza hatakubali kuja kuishi hapo(nasema anayejielewa).

Mume akija kugundua kuwa ulimdanganya hiyo ndoa itaingia doa kubwa. Usipende kudanganya hata kwa vitu visivyo na ulazima.
 
Basi na mwanamke kuhamia kwenye nyumba ya mwanamme hii haifai kabisa

Wanatakiwa wapamban wajenge hamsini kwa hamsini
Shieeet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…