Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Tupongoja waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupongoja waje
Ahahaha kudadake jichanganyeLakini pia usisite kumsaidia mtu anayeazima fedha
Daima mafundi wote peponiHakika chakula ni Moja ya mahitaji muhimu ya bin-adam.Hata mtu akikiomba vazi mpetuu
Habari za kutwa wana JF
Natambua hali ya maisha ni ngumu kwa ujumla, matapeli ni wengi mno, wengine wanajifanya wagonjwa ili tu wapate msaada, nk...
Hakuna Mungu anayejalia watu kula vizuri, kulala vizuri wala kuvaa vizuri.Ikiwa Mwenyezi Mungu amekujalia unakula vizuri, unalala pazuri, unavaa vizuri wewe na familia yako, Mshukuru sana lakini usisite kuwasaidia wenye uhitaji.
Mafundi hatuna Mambo mengi.Twatenda hakika🤣🤣🤣🤣Daima mafundi wote peponi
Uko sawaHabari za kutwa wana JF
Natambua hali ya maisha ni ngumu kwa ujumla, matapeli ni wengi mno, wengine wanajifanya wagonjwa ili tu wapate msaada, nk...
Ahahaha assume ndo saidia fundi katoka kwenye pilika la zege kapata chochote kitu alafu anakutana na dhahama kama hyo...Mafundi hatuna Mambo mengi.Twatenda hakika🤣🤣🤣🤣
Bin-adam kaumbiwa majaribu🤣🤣🤣🤣Ahahaha assume ndo saidia fundi katoka kwenye pilika la zege kapata chochote kitu alafu anakutana na dhahama kama hyo...
Hapo ndo utajuaa kweli kuna majaribu duniani
yeah umeshauri kweli mkuu, na tusipende kuwaza tu utapeli, just sio lazima utoe pesa umpe, angalia mkahawa karibu enda nae mnunulie tu, asee me hua siwezi muacha mtu akiomba chakula ale , hata kama ni kidogo apunguze njaa nampele namnunulia cha kutosha cas inaumiza sana njaa, hadi anajidharirisha kuomba ujue ameshindwa hajui afanye niniHabari za kutwa wana JF
Natambua hali ya maisha ni ngumu kwa ujumla, matapeli ni wengi mno, wengine wanajifanya wagonjwa ili tu wapate msaada, nk...
Kabisa mkuu, ogopa kitu kinaitwa njaayeah umeshauri kweli mkuu, na tusipende kuwaza tu utapeli, just sio lazima utoe pesa umpe, angalia mkahawa karibu enda nae mnunulie tu, asee me hua siwezi muacha mtu akiomba chakula ale , hata kama ni kidogo apunguze njaa nampele namnunulia cha kutosha cas inauziza sana njaa, hadi anajidharirisha kuomba ujue ameshindwa hajui afanye nini
huyu it depends, sio kila anaeazima ana sababu ya kueleweka, mwingine anaazima akale bata kidimbwi, au akahonge tu michepuko, au akafanyie nonsense issues, so inadepend, na maelezo yanyookeLakini pia usisite kumsaidia mtu anayeazima fedha
Uko sahihi kwa 100% Mkuu. Majuzi nilitoka kula Mdudu ( Kitimoto ) mahala hapa Kampala na wakati naondoka nikamuona Jamaa Mmoja ambaye amekuwa na Changamoto ya Akili sasa japo nimeambiwa alikuwa ni Mhubiri mzuri tu pale Mtaani. Nilimkuta kalala huku Watu wakimpita hata hawamjali. Nilichofanya ( nikikumbuka Maisha niliyoyapitia kabla ya Mwenyezi Mungu kunifungulia tena Milango ya Baraka ) nilienda kuuliza Mdada jirani aliyekuwa anauza Bidhaa zake kuwa je, naweza Kumnunulia Chakula na Maji kisha akiamka akampa?Habari za kutwa wana JF
Natambua hali ya maisha ni ngumu kwa ujumla, matapeli ni wengi mno, wengine wanajifanya wagonjwa ili tu wapate msaada, nk...
Amina Mkuu.Shukrani sana mkuu, Mwenyezi Mungu akubariki sana