Usisite kumsaidia mtu anayeomba umnunulie chakula

Usisite kumsaidia mtu anayeomba umnunulie chakula

Sio kumpa tu chakula na tumwombee pia kwa Mungu maana hali wanazopitia ni ngumu.

Mungu tupe roho ya UTU kwa watu wenye uhitaji.
Mungu na atubainishie mhitaji wa kweli na yule anayekuja kwa njia ya Ibilisi yule muovu.
 
Mungu atujalie moyo wa kuwasaidia wasio na uwezo
 
Back
Top Bottom