kule anakutana na watoto wa matajiri,wanasiasa na wa viongozi mbali mbali anapata future connections.Akisoma Kayumba kama mimi baba ake anakutana na kina Siyawezi,Avinitishi,Mwajuma ndala ndefu,mtoto wa mama Mudy muuza Kangala,Mtoto wa mzee Juma muuza genge etc.....Sijutii kumpeleka mtoto wangu shule nzuri na zenye garama. Kama wewe kipato kidogo sawa mpeleke unapoweza ila usishauri wengine kufuata unavyofikiria.Huu ni Umaskini ndo unaokusumbuwa na kukufanya uone hii ni sawa mtoto kwenda na fagio na dumu la maji shule