Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi wakisomesha watoto wao shule za gharama za private toka chekechea, msingi, o level na advance na kuwalipia ada chuo kwa mategemeo kwamba watakuwa na ajira zenye malipo ya juu.

Kuna shule za english medium za serikali ni nzuri tu, mtoto anafundishwa kwa kiingereza, mfano kwa Mbeya kuna azimio, magufuli, mkapa, n.k ada ni nafuu kabisa kama laki 2 hivi na mtoto anakichapa kiingereza vizuri tu kama wanaosoma shule za mamilioni, Mwanangu kamaliza darasa la tatu saizi anaweza kusikiliza na kuimba miziki ya kiingereza, anaweza kuelewa movies za kiingereza bila tafsiri, n.k.

Akimaliza shule ya msingi hapo tayari anajua kiingereza, kama hajachaguliwa shuke nzuri ya serikali happ zaman tena mfukonj mpeleke shule hizi za day za laki 4 zenye walimu na zinafanya vizuri, kumbuka hapo ana mtaji wa kuijua vema lugha ya kiingereza, Katika zama hizi mtoto anasoma day vizuri kabisa na anafaulu, Yale mambo ya kizazi cha zamani kupeleka watoto boarding wajifunze maisha, sijui waepukane na vishawishi, sisi tulishapitia huko boarding nako kunahitaji msimamo wa mtoto wako maan uhuni upo.

Hii yote ni kumuandaa kuishi maisha ya kiuhalisia ya mtanzania huku akipata elimu ile ile wanayopata wenzake kwenye shule za mamilioni.

Wazazi wengi walioanza somesha watoto wao kuanzia miaka ya elf 2 wanaugulia maumivu maana walichotegemea kimekuwa reverse.
Uzi wa wasio na ela huu.....full kujiliwaza
 
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi wakisomesha watoto wao shule za gharama za private toka chekechea, msingi, o level na advance na kuwalipia ada chuo kwa mategemeo kwamba watakuwa na ajira zenye malipo ya juu.

Kuna shule za english medium za serikali ni nzuri tu, mtoto anafundishwa kwa kiingereza, mfano kwa Mbeya kuna azimio, magufuli, mkapa, n.k ada ni nafuu kabisa kama laki 2 hivi na mtoto anakichapa kiingereza vizuri tu kama wanaosoma shule za mamilioni, Mwanangu kamaliza darasa la tatu saizi anaweza kusikiliza na kuimba miziki ya kiingereza, anaweza kuelewa movies za kiingereza bila tafsiri, n.k.

Akimaliza shule ya msingi hapo tayari anajua kiingereza, kama hajachaguliwa shuke nzuri ya serikali happ zaman tena mfukonj mpeleke shule hizi za day za laki 4 zenye walimu na zinafanya vizuri, kumbuka hapo ana mtaji wa kuijua vema lugha ya kiingereza, Katika zama hizi mtoto anasoma day vizuri kabisa na anafaulu, Yale mambo ya kizazi cha zamani kupeleka watoto boarding wajifunze maisha, sijui waepukane na vishawishi, sisi tulishapitia huko boarding nako kunahitaji msimamo wa mtoto wako maan uhuni upo.

Hii yote ni kumuandaa kuishi maisha ya kiuhalisia ya mtanzania huku akipata elimu ile ile wanayopata wenzake kwenye shule za mamilioni.

Wazazi wengi walioanza somesha watoto wao kuanzia miaka ya elf 2 wanaugulia maumivu maana walichotegemea kimekuwa reverse.
Tunasomesha watoto shule za gharama sababu ya exposure,huwezi sema mtoto aliyesoma IST yuko sawa na mtoto aliyesoma Benja,Tambaza au Jangwani! IST alumni wengi wao wapo extra miles! Na watoto wengi wa IST wanajiajiri,ikitokea kaajiriwa,basi ni kwenye taasisi kubwa,maana akitoka IST ni Havard,Yale, Massachusetts au Oxford
 
Na play station atachezea muda gn?
Amini nakwambia, hiyo play station ni sumu kwa mtoto, wazazi wengi wanajidanganya sana kuwapigia kufuli watoto wao wabaki ndani na ps.....wangu anacheza weekend tu kwa muda maalum.
 
Wanasomesha huko ki ufahari na ulimbukeni tu waonekane wana hela na pia watoto wao wajue english, kumbe hakuna lolote huko. Kama mtoto ana akili, ana akili tu hata akisoma shule za kawaida atafaulu
Sema mfuko wako,ndipo ulipoishia! Huwezi acha mpeleka mwanao shule ya maana na pesa ipo!
 
Hili umemaliza na kawaida ya sisi maskini hupenda sana kuigiza utajiri[emoji28]
Kuna Jiranj yangu fulani,,ana maisha ya pangu pakavu.
Lakini analazimisha kujikweza kumpeleka mtoto shule za gharama.
Jamaa anajitunisha sn na hana kitu.

Siku ya kwnza mtoto anafuatwa na school bus ,hata kazini hakwenda,
'ili kumsindikiza mtoto kwenye school bus.
Alitoka jamaa na mkewe pamoja na house girl,,
Wakasimama mtaani kusubiri school bus,,ili aonekane mwanae anasoma shule ya kupanda school bus.
Kituko ni kwamba ,,alikuwa na kazi ya kusalimia kila anayepita,,ili watu wamuone..

Siku akidaiwa ada ya shule na hana pesa,,
Mtoto husimamishwa shule kwa muda hadi hapo atakapomaliza pesa za ada..
Jamaa atahaha huku na kule,afe mpangaji afe dalali lakini mtoto aende shule kwa school bus..

Mbaya zaidi mtoto anafichwa asionekane anacheza nje ya nyumba,, kipindi chote ambapo watoto wengine wapo shuleni..

Hivi shida zote za nn? Kwann ukifanya kitu kwa uwezo wako haitoshi?
Jamaa anasikitisha sn..
 
Mwandishi umeingia chaka yaani umepotea njia. Naamini malengo ya wazazi siyo hayo uliyoyasema.
Wazazi tunataka kuwapatia watoto wetu kitu kilicho kizuri- yaani wasome shule nzuri. Hilo ndilo tunalotaka.
Shule nzr ni ipi? Ungekuwa unajuwa nyuma ya pazia ya hayo unayosema shule nzr ungemtoa mtoto wako haraka huko.

Wazazi wengi hukimbilia shule wanazosema nzr sababu ya kingereza na ufaulu mzr .

Lakini je wanapasi kwa akili zao au bao la mkono?
Ukitaka kujuwa mtoto ni bright somesha shule za kawaida.
Kule mtoto faulu kwa akili zake,,kule kwningine 90% bao la mkono ..
Mtoto anaongea English lakini kichwani ni zero.
Ndy elimu bora hyo?

Kuna doubt kubwa sn kwenye ufaulu wao.
 
Ugoigoi wa mtoto sio shule-Ni wazazi na malezi yao kwa watoto.
Mtoto anatoka nyumbani saa 5 am na kurudi saa 6 pm ,
Muda mwingi yupo shuleni na kwenye school bus,
Huo muda wa mzazi kumnyoosha mtoto anaupata wp?

Utakuta mtoto ana miaka 9 lakini akitembea anahema kama ana miaka 59,,
Sababu hana mazoezi wala purukushani zozote.
Wala hapati changamoto zozote za usafiri na shule kwa ujumla.

Lazima muelewe kwamba hata changamoto za kondakta kwa mwanafunzi pia kunamjenga mtoto,

Mjenge mtoto kupambana mapema,,.
Na sio kumfanya mzembe na goigoi..
 
Kinacho kera umelipa magharama makuubwaaaa kusomesha mtoto na Yule ambae halipi kamsomesha za serikali UFAULU UNAKUWA MMOJA ;
WA MIHELA OVERALL GRADE A
WA BURE OVERALL GRADE A
 
Mtoto anatoka nyumbani saa 5 am na kurudi saa 6 pm ,
Muda mwingi yupo shuleni na kwenye school bus,
Huo muda wa mzazi kumnyoosha mtoto anaupata wp?

Utakuta mtoto ana miaka 9 lakini akitembea anahema kama ana miaka 59,,
Sababu hana mazoezi wala purukushani zozote.
Wala hapati changamoto zozote za usafiri na shule kwa ujumla.

Lazima muelewe kwamba hata changamoto za kondakta kwa mwanafunzi pia kunamjenga mtoto,

Mjenge mtoto kupambana mapema,,.
Na sio kumfanya mzembe na goigoi..
FACT
 
N:B Haya ninayaandika mimi ambae tayari wazazi wangu walishanisomesha shule za gharama sana, Mimi nimepitia hizo shule kwa hio najua system nzima za hizo shule za gharama, Mtoto wangu nmembadilishia system na atapata kitu kile kile nlichokipata.

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi wakisomesha watoto wao shule za gharama za private toka chekechea, msingi, o level na advance na kuwalipia ada chuo kwa mategemeo kwamba watakuwa na ajira zenye malipo ya juu.

Kwangu mimi shule za english medium za serikali ni nzuri tu, mtoto anafundishwa kwa kiingereza, na hiki ndicho ambacho huwafanya wazazi walipie mamilioni kwenye shule za private kama wazazi wang, Mimi hapa nimejiongeza nimempeleka mtoto shule za serikali za mitaala ya kiingereza, gharama ni nafuu, ada ni nafuu kabisa kama laki 2 hivi na mtoto Mwanangu kamaliza darasa la tatu saizi tunaweza kuongea kwa kiingereza, anaweza kusikiliza na kuimba miziki ya kiingereza, anaweza kuelewa movies za kiingereza bila tafsiri, n.k.

Akimaliza shule ya msingi hapo tayari ana mtaji wa kukijua kiingereza, kama hajachaguliwa shule nzuri ya serikali, nampeleka shule hizi za day za laki 4 zenye walimu na zinafanya vizuri, kumbuka hapo ana mtaji wa kuijua vema lugha ya kiingereza, hii ni rasilimali kubwa. namuongezea na tuition kwa juu anafeli vipi kwa mfano, wazazi wangu walinipeleka shule za boarding za gharama wakiamini kwamba ndio ntajifunza maisha na kuepukana na vishawishi, Mimi nilieenda huko nlikutana na hali tofauti kabisa, ukiwa mlegevu utaonewa, ukiwa mtu wa makundi utavuta bangi, ukipenda vya bure utageuzwa shoga, n.k kumbuka hapa mtoto yupo boarding haupo karibu nae, mimi sipo tayari kufanya hiki, Ntamsomesha shule za day na kumuongezea tuition.

Pia wazazi wengi kama wangu walinilea kwa ule mtindo wa "mimi sitaki mwanangu apitie shida nilizopitia" yani nilikuwa napigiwa kufuli nisicheze nje, niwe narudi na school bus, n.k mimi kama muhusika nasema haya malezi sikuyapenda, nlikosa uhuru kwa kuzuiwa kuishi maisha halisi ya mtoto wa kitz, kwa sasa mtoto wangu simlipii school bus na huko shuleni kwao wenzake wanatamani sana na wao wawe wanatembea kama yeye, pia simruhusu azurure mitaani ila simfungii geti asocheze na wenzake.

Wazazi wengi walioanza somesha watoto wao kuanzia miaka ya elf 2 wanaugulia maumivu maana walichotegemea kimekuwa reverse.
We ni mbuzi. Acha wenye nazo wasomeshe. Kupata maarifa ndio mtaji wa maisha. Kuna watu wanategemea kujiajiri baada ya kupata elimu na kuitumia katika sekta binafsi. Acha upotoshaji, fedha ndio matumizi yake hayo.
 
We ni mbuzi. Acha wenye nazo wasomeshe. Kupata maarifa ndio mtaji wa maisha. Kuna watu wanategemea kujiajiri baada ya kupata elimu na kuitumia katika sekta binafsi. Acha upotoshaji, fedha ndio matumizi yake hayo.
Huwezi kubishana na mimi mkuu, nimesoma hizo shule za gharama na sikukuta cha ajabu, kwa shule ya msingi siku hizi zipo shule za serikali wanafundisha kiingereza na watoto kiingereza hakiwapigi chenga, wengi hupeleka watoro ahule za gharama wajifunze kiingereza, ndo hicho hicho wanafundishwa hata hizo shule za serikali
 
Wazazi wanadhani wanawajenga'
Kumbe wanawaharibu kabisa .
Wewe usiyempeleka mtoto shule nzuri ndie unamharibu

Ongea hata na huyo mwanao tu kuwa anataka shule ipi hizo za gharama au hiyo yako anayosoma? Kama shule tu anayosoma haridhiki nayo unadhani atakuwa na morali na bidii ya Kusoma? So atakuwa anasomea basi tu afanyaje

Hizo shule za gharama watoto Wana morali wa kusoma sio mchezo na wanaridhika kuwa hapo ndio maana ufaulu huwa juu
 
Hizo shule za gharama watoto Wana morali wa kusoma sio mchezo na wanaridhika kuwa hapo ndio maana ufaulu huwa juu
Rejea maada yangu, nmeweka wazi kabisa nmesoma hizo shule expensive.

Wapo waliopenda kusoma na wapi ambao hawakupenda kusoma, nakumbuka namaliza form 4 waliopata division 4 na 0 wa kumwaga tu.

bangi ilikuwepo, ngono kwa sana tu, pombe watu walikunywa, mashoga walikuwepo japo wa kuhesabika, n.k ila sasa ni hawa hawa wakirudi majumbani kwao likizo wazazi wao hawawezi kujua kabisa.
 
Rejea maada yangu, nmeweka wazi kabisa nmesoma hizo shule expensive.

Wapo waliopenda kusoma na wapi ambao hawakupenda kusoma, nakumbuka namaliza form 4 waliopata division 4 na 0 wa kumwaga tu.
Experience yako usi ifanye law ya watu wote.wewe ulisoma shule ya kulipia za Bei ndogo sio ya gharama kubwa Hakuna shule ya gharama kubwa Tanzania inazalisha division four na zero haipo ulisoma zile za mitaani Nini?
 
Experience yako usi ifanye law ya watu wote.wewe ulisoma shule ya kulipia za Bei ndogo sio ya gharama kubwa Hakuna shule ya gharama kubwa Tanzania inazalisha division four na zero haipo ulisoma zile za mitaani Nini?
pitia matokeo ya zamani huko miaka ya 2007 wakati huo ndio namaliza shule,

Tatizo watoto wa siku hizi hamjui msoto uliokuwepo. Siku hizi ufaulu umepanda sana mpaka inashangaza, Siku hizi division 0 na 4 zinatafutwa kwa tochi hata kwa shule zakata, sio kama zamani.

Siku hizi vitabu vya pastpapers na majibu vipo ni juhudi ya mwanafunzi tu kumeza hizo past papers/

Siku hizi tuition zipo kibao sana, waliosomea degree za ualimu wapo mitaani wanaanzisha vituo,
 
Wewe usiyempeleka mtoto shule nzuri ndie unamharibu

Ongea hata na huyo mwanao tu kuwa anataka shule ipi hizo za gharama au hiyo yako anayosoma? Kama shule tu anayosoma haridhiki nayo unadhani atakuwa na morali na bidii ya Kusoma? So atakuwa anasomea basi tu afanyaje

Hizo shule za gharama watoto Wana morali wa kusoma sio mchezo na wanaridhika kuwa hapo ndio maana ufaulu huwa juu
Mkuu ufaulu wa juu wa shule za gharama ni juhudi za mwenye shule ktk kulinda status ya shule.
 
Mkuu ufaulu wa juu wa shule za gharama ni juhudi za mwenye shule ktk kulinda status ya shule.
ni kweli, unakuta wanaoingia form 4 ni watu 100, inabidi wafanye mtihani wa mchuj hapo wanabaki kama 60, hao wengine wamesoma shule hio hio ya gharama lakini wanatemwa,
 
N:B Haya ninayaandika mimi ambae tayari wazazi wangu walishanisomesha shule za gharama sana, Mimi nimepitia hizo shule kwa hio najua system nzima za hizo shule za gharama, Mtoto wangu nmembadilishia system na atapata kitu kile kile nlichokipata.

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi wakisomesha watoto wao shule za gharama za private toka chekechea, msingi, o level na advance na kuwalipia ada chuo kwa mategemeo kwamba watakuwa na ajira zenye malipo ya juu.

Kwangu mimi shule za english medium za serikali ni nzuri tu, mtoto anafundishwa kwa kiingereza, na hiki ndicho ambacho huwafanya wazazi walipie mamilioni kwenye shule za private kama wazazi wang, Mimi hapa nimejiongeza nimempeleka mtoto shule za serikali za mitaala ya kiingereza, gharama ni nafuu, ada ni nafuu kabisa kama laki 2 hivi na mtoto Mwanangu kamaliza darasa la tatu saizi tunaweza kuongea kwa kiingereza, anaweza kusikiliza na kuimba miziki ya kiingereza, anaweza kuelewa movies za kiingereza bila tafsiri, n.k.

Akimaliza shule ya msingi hapo tayari ana mtaji wa kukijua kiingereza, kama hajachaguliwa shule nzuri ya serikali, nampeleka shule hizi za day za laki 4 zenye walimu na zinafanya vizuri, kumbuka hapo ana mtaji wa kuijua vema lugha ya kiingereza, hii ni rasilimali kubwa. namuongezea na tuition kwa juu anafeli vipi kwa mfano, wazazi wangu walinipeleka shule za boarding za gharama wakiamini kwamba ndio ntajifunza maisha na kuepukana na vishawishi, Mimi nilieenda huko nlikutana na hali tofauti kabisa, ukiwa mlegevu utaonewa, ukiwa mtu wa makundi utavuta bangi, ukipenda vya bure utageuzwa shoga, n.k kumbuka hapa mtoto yupo boarding haupo karibu nae, mimi sipo tayari kufanya hiki, Ntamsomesha shule za day na kumuongezea tuition.

Pia wazazi wengi kama wangu walinilea kwa ule mtindo wa "mimi sitaki mwanangu apitie shida nilizopitia" yani nilikuwa napigiwa kufuli nisicheze nje, niwe narudi na school bus, n.k mimi kama muhusika nasema haya malezi sikuyapenda, nlikosa uhuru kwa kuzuiwa kuishi maisha halisi ya mtoto wa kitz, kwa sasa mtoto wangu simlipii school bus na huko shuleni kwao wenzake wanatamani sana na wao wawe wanatembea kama yeye, pia simruhusu azurure mitaani ila simfungii geti asocheze na wenzake.

Wazazi wengi walioanza somesha watoto wao kuanzia miaka ya elf 2 wanaugulia maumivu maana walichotegemea kimekuwa reverse.
Uko sahihi...
 
Mkuu ufaulu wa juu wa shule za gharama ni juhudi za mwenye shule ktk kulinda status ya shule.
Kwa hiyo pendekezo lako wazazi wapeleke shule za bwerere ambazo hazina mwenyewe kwenye ufaulu wa chini?

Mzazi yeyote atapenda kumpa mwanae kilicho Bora kuanzia nguo zake avae Bora chakula chake ale Bora na elimu yake asome shule Bora
 
Back
Top Bottom