Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

kule anakutana na watoto wa matajiri,wanasiasa na wa viongozi mbali mbali anapata future connections.Akisoma Kayumba kama mimi baba ake anakutana na kina Siyawezi,Avinitishi,Mwajuma ndala ndefu,mtoto wa mama Mudy muuza Kangala,Mtoto wa mzee Juma muuza genge etc.....Sijutii kumpeleka mtoto wangu shule nzuri na zenye garama. Kama wewe kipato kidogo sawa mpeleke unapoweza ila usishauri wengine kufuata unavyofikiria.Huu ni Umaskini ndo unaokusumbuwa na kukufanya uone hii ni sawa mtoto kwenda na fagio na dumu la maji shule
Umeeleza vema Sana. Connection ndio itamsaidia mtoto baadaye atakapomaliza masomo ni rahisi kupeana mipango na watoto wa wakubwa Kama viongozi kwenye taasisi au matajiri Kuna desturi siku hizi hata watoto wakiwa marafiki wazazi mnafahamiana na kupeana mawazo ya hapa na pale Sasa piga picha shule zile za chini mtoto wa muuza genge na mtoto wa fundi carpenter unategemea hao wakisoma watapata connection nzuri
 
Kufagia anajifunza nyumbani haya huko kulima shule za mjini anaenda kulima wapi?
Na wale ma houseboy na ma housegirl wanafanya nini hapo home! Maana mzazi anayeweza kulipa ada million 6 au zaidi lazma kwake utakuta kuna ist ya kufuata watoto shule na dereva maalum.

Mtoto ana play station na gadgets zingine kama ma Ipad na vikorokocho vingine vya kishua. Hawa huwa wanakuwaga ni watoto tu mpaka mtu anafika form 6 eti unakuta anajikojoleaga😅
 
Umeeleza vema Sana. Connection ndio itamsaidia mtoto baadaye atakapomaliza masomo ni rahisi kupeana mipango na watoto wa wakubwa Kama viongozi kwenye taasisi au matajiri Kuna desturi siku hizi hata watoto wakiwa marafiki wazazi mnafahamiana na kupeana mawazo ya hapa na pale Sasa piga picha shule zile za chini mtoto wa muuza genge na mtoto wa fundi carpenter unategemea hao wakisoma watapata connection nzuri
Hili mie nimeshuhudia pia, mtoto anaeishi Oysterbay na Masaki hawezi kumaliza shule vizuri akaishia kuwa sangarai😅
Majirani wa mule tu unakuta balozi, waziri flani, Kanali, Mfanyabiashara mkubwa, Mkurugenzi wa shirika.

Sasa imagine majirani wenu ndio hao na hata wewe mzee ndio unakunywa nao bia means na wewe lazma uwe vizuri.

Connection za huko ni za uhakika kama baba umechangamka ni zile za kamlete tu😅
 
Hili mie nimeshuhudia pia, mtoto anaeishi Oysterbay na Masaki hawezi kumaliza shule vizuri akaishia kuwa sangarai😅
Majirani wa mule tu unakuta balozi, waziri flani, Kanali, Mfanyabiashara mkubwa, Mkurugenzi wa shirika.

Sasa imagine majirani wenu ndio hao na hata wewe mzee ndio unakunywa nao bia means na wewe lazma uwe vizuri.

Connection za huko ni za uhakika kama baba umechangamka ni zile za kamlete tu😅
Kanyela mumo tutapata tabu Sana Mimi napenda tu niwe na watoto wenye elimu zao, Mara eng. njoo tutete, Dr vp unakuja lini? Mara pilot nisindikize mjini hii ni very prestigious kwangu nitajua Cha kuwapa baada ya kumaliza vyuo maana nami mbishi nitapenye tu kaa na watu uvae viatu
 
Kanyela mumo tutapata tabu Sana Mimi napenda tu niwe na watoto wenye elimu zao, Mara eng. njoo tutete, Dr vp unakuja lini? Mara pilot nisindikize mjini hii ni very prestigious kwangu nitajua Cha kuwapa baada ya kumaliza vyuo maana nami mbishi nitapenye tu kaa na watu uvae viatu
Hahahahah lazma utakuwa ni muhaya 😅 mzee kiyaruzi
 
Na play station atachezea muda gn?
Hata tv Sasa hivi zina eneo la kuweka parental control sababu wanajua Kuna eneo mzazi anatakiwa kuwajibika sio aachiebto TV ifanye kazi

Sasa wewe litoto huna parental control nalo unaliachia tu halipiki,halifui ,halioshi vyombo nyumbani linashinda linacheza game tu halafu unasema Toto limeharibika halijui kupika,Wala kufua Wala kuosha vyombo hivi akili unakuwa unazo kweli wewe Kama mzazi?

Aliyeharibika hapo sio mtoto ni mzazi kumlaumu mtoto Ni kumuonea
Mzazi huyo hajui Nini maana ya parental control anaishi tu Kama hayawani mnyama wa porini lakini sio mzazi.Ni Kama alizaa kwa bahati mbaya alizaa akiwa akili Hana na haijakomaa
 
Tafuta hela wewe uache kuteseka.
Hapana,tutafute hela ili tupunguze kujieleza..!!!
Siyo ikifika ada, unajieleza kwa shule
Ukifika muda wa kulipa pango unajieleza kwa mwenye nyumba
Ukifika muda wa kulipa nauli, unajieleza kwa konda
Ukufika muda wa kutoa hela ya kula unajieleza kwa mke na watoto

ETC
 
Dogo wangu anatakiwa aanze darasa la Kwanza Kuna Uzi humu ulini inspire Sana kumpeleka kwa shule za jamuhuri ya muungano, halafu ile hela badala ya kulipia ada mamilion nimfanyie investment
Tatizo dogo kasoma nursery, amkwiva balaa maana yake anamudu kila kitu cha darasa la Kwanza la pili na la tatu, kumpeleka government maana yake inabidi asitishe maendeleo ya ubongo kwa miaka mitatu huku akipambana ku cop na kiswahili na kusahau kila kitu kuhusu kiingereza ambacho atakutana nacho maisha yake yote ya elimu baada ya elimu ya msingi
Pia mazingira ni hafifu mno nikajisemea tu potelea pote na hustle Sana ili watoto wangu wasipitie changamoto nilizopitiaga
 
Dogo wangu anatakiwa aanze darasa la Kwanza Kuna Uzi humu ulini inspire Sana kumpeleka kwa while za jamuhuri ya muungano, halafu ile hela badala ya kulipia ada mamilion nimfanyie investment
Tatizo dogo kasoma nursery, amkwiva balaa maana yake anamudu kila kitu cha darasa la Kwanza la pili na la tatu, kumpeleka government maana yake inabidi asitishe maendeleo ya ubongo kwa miaka mitatu huku akipambana ku cop na kiswahili na kusahau kila kitu kuhusu kiingereza ambacho atakutana nacho maisha yake yote ya elimu baada ya elimu ya msingi
Pia mazingira ni hafifu mno nikajisemea tu potelea pote na hustle Sana ili watoto wangu wasipitie changamoto nilizopitiaga
Mpeleke shuke la governmenr za serikali.

Mazingira sii hafifu kwenye hizo shule kuna wengi tu wanaishi maisha ya kawaoda kabisa ya wananchi, na hapo ndipo napapendaga maana kuna balance inabidi iwepo kati ya kumlea mtoto kumuandaa aishi maisha halisi ya mtz na kumlinda mtoto asiishi maisha halisi ya tz, kwa hizo shule zipo neutral hapo..Usimpe mtoto kila kitu ila pia usimnyime mtoto kila kitu..
 
Hivi kuna watu wanafanya homeschooling hapa Tz?
Home schoiling sio nzuri kiukweli, inamfanya mtoto awe socially awkard asipoyajua maisba halisi ya kuchangamana na wenzake.

Labda kama ni mdogo sana miaka 3 au 4
 
Back
Top Bottom