Yaani nna Hela alafu nimpeleke mtoto wangu Shule ambayo aina walimu wa kutosha, Mtoto anabeba fagio na kidumu cha maji ya kumwagilia maua na anasoma na watoto ambao Baba zao makapuku no future connections. Acha hizo boss Tafuta HelaWanasomesha huko ki ufahari na ulimbukeni tu waonekane wana hela na pia watoto wao wajue english, kumbe hakuna lolote huko. Kama mtoto ana akili, ana akili tu hata akisoma shule za kawaida atafaulu
Mbaya zaidi hao wazee wakifika miaka 50 huanza kuwapachika watoto wao serikalini kabla ya kumaliza kustaafu kwao.mimi nilishangaa Prof analilia mkataba aongezewe.Vijana wangu nawatafutia pesa tu maana ndo utithi wao wa uhakika TOKA kwangu,Urithi wa ajira na uongozi wamejitengenezea mabwana wakubwa utafikiri nchi ya kifalme hii
Zamani sn wakati tunasoma shule za msingi,Wala sio sababu! Kama nna hela why mtoto wangu akasome shule anayoenda na mifagio na vidumu vya maji kila siku?Why aende shule yenye huaba wa walimu wa sayansi na hisabati?? kisa nisionekane naringia pesa¿ haya ni mawazo ya kimaskini
Kweli mkuu nimeona wengi, wengine naishi nao hapaZamani sn wakati tunasoma shule za msingi,
Tulibeba mafagio.
Tukafundishwa kulima bustani,
Tukafundishwa kazi za Sanaa,
Leo naweza kulima na kufanya kazi za shamba.
Kumpeleka mtoto shule za gharama kwa Kisingizio cha kubeba fagio au,
Kupata usumbufu kwenye usafiri.
Elewa unamjenga mtoto goigoi asiyejuwa hata kufanya usafi nyumbani.
Mtoto goigoi asiyejuwa hata kulima bustani..
Kufagia anajifunza nyumbani haya huko kulima shule za mjini anaenda kulima wapi?Zamani sn wakati tunasoma shule za msingi,
Tulibeba mafagio.
Tukafundishwa kulima bustani,
Tukafundishwa kazi za Sanaa,
Leo naweza kulima na kufanya kazi za shamba.
Kumpeleka mtoto shule za gharama kwa Kisingizio cha kubeba fagio au,
Kupata usumbufu kwenye usafiri.
Elewa unamjenga mtoto goigoi asiyejuwa hata kufanya usafi nyumbani.
Mtoto goigoi asiyejuwa hata kulima bustani..
Wazazi wanadhani wanawajenga'Kweli mkuu nimeona wengi, wengine naishi nao hapa
Zamani sn wakati tunasoma shule za msingi,
Tulibeba mafagio.
Tukafundishwa kulima bustani,
Tukafundishwa kazi za Sanaa,
Leo naweza kulima na kufanya kazi za shamba.
Kumpeleka mtoto shule za gharama kwa Kisingizio cha kubeba fagio au,
Kupata usumbufu kwenye usafiri.
Elewa unamjenga mtoto goigoi asiyejuwa hata kufanya usafi nyumbani.
Mtoto goigoi asiyejuwa hata kulima bustani..
Na play station atachezea muda gn?Kufagia anajifunza nyumbani haya huko kulima shule za mjini anaenda kulima wapi?
Wanadhani kufagia shuleni ni adhabu..tunawaona,mtoto kashakua mtu mzima hata kupiga ugali hawezi.ila muongeleshe kiingereza[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji602][emoji3512]
Duuu! Mbona umetaja majina mengi ya kiislam? Au wao nchi hii ndio wana hali duni?kule anakutana na watoto wa matajiri,wanasiasa na wa viongozi mbali mbali anapata future connections.Akisoma Kayumba kama mimi baba ake anakutana na kina Siyawezi,Avinitishi,Mwajuma ndala ndefu,mtoto wa mama Mudy muuza Kangala,Mtoto wa mzee Juma muuza genge etc.....Sijutii kumpeleka mtoto wangu shule nzuri na zenye garama. Kama wewe kipato kidogo sawa mpeleke unapoweza ila usishauri wengine kufuata unavyofikiria.Huu ni Umaskini ndo unaokusumbuwa na kukufanya uone hii ni sawa mtoto kwenda na fagio na dumu la maji shule
Watoto ni kwenda nao utavyoweza,nna kijana mamaake alijifanya matawi shule ni hizo za gharama apelekwe.nikamuachia jukumu.Kweli mkuu nimeona wengi, wengine naishi nao hapa
Ugoigoi wa mtoto sio shule-Ni wazazi na malezi yao kwa watoto.Zamani sn wakati tunasoma shule za msingi,
Tulibeba mafagio.
Tukafundishwa kulima bustani,
Tukafundishwa kazi za Sanaa,
Leo naweza kulima na kufanya kazi za shamba.
Kumpeleka mtoto shule za gharama kwa Kisingizio cha kubeba fagio au,
Kupata usumbufu kwenye usafiri.
Elewa unamjenga mtoto goigoi asiyejuwa hata kufanya usafi nyumbani.
Mtoto goigoi asiyejuwa hata kulima bustani..
Tafuta pesa mkuu utapunguza manung'unikoWanasomesha huko ki ufahari na ulimbukeni tu waonekane wana hela na pia watoto wao wajue english, kumbe hakuna lolote huko. Kama mtoto ana akili, ana akili tu hata akisoma shule za kawaida atafaulu
Hili umemaliza na kawaida ya sisi maskini hupenda sana kuigiza utajiri😅Wengi husomesha watoto shule za gharama kama njia ya kujionyesha wao wana maisha bora kuliko wengine.
Uongo kupika mtoto anafunzwa nyumbani Mbona wakiwa likizo wanapika,wanafagia na kuosha vyombo na Kama una bustani wanasaidia kulima na kumwagilia? Toto gani Hilo lisilojua kupika wakati likizo linakuwa na wazazi?tunawaona,mtoto kashakua mtu mzima hata kupiga ugali hawezi.ila muongeleshe kiingereza[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji602][emoji3512]
Hii hujalazimishwa watu tunatofautiana vipato! Wewe kama una uwezo peleka feza international, IST au Atlas!Wala sio sababu! Kama nna hela why mtoto wangu akasome shule anayoenda na mifagio na vidumu vya maji kila siku?Why aende shule yenye huaba wa walimu wa sayansi na hisabati?? kisa nisionekane naringia pesa¿ haya ni mawazo ya kimaskini
Sasa hivi Kuna kituko kimeingia mtu ana hela hataki mwanawe asome shule nzuri za Bei za private eti akisoma private za hela atanyimwa mkopo toka bodi ya mikopo akifika elimu ya juu!!! Yaani Kuna wazazi hawaelewi future cost kwa mtoto ya maamuzi yaoYaani nna Hela alafu nimpeleke mtoto wangu Shule ambayo aina walimu wa kutosha,Mtoto anabeba fagio na kidumu cha maji ya kumwagilia maua na anasoma na watoto ambao Baba zao makapuku no future connections. Acha hizo boss Tafuta Hela