Usitafute pesa kwasababu ya mwanamke, iwe kwaajili maisha yako. Kilichomkuta huyu jamaa ni fundisho tosha!

Alimchezeaje wakati alikuwa anataka kumuoa kabisa
 
Hichi kizazi cha ngono suala la ndoa kwa nguvu zako pekee huwezi, shetani ataki kabisa taasisi inayoitwa ndoa, lengo kuu ni Ili watoto wakose muongozo kisha awavute kwenye ushoga, uteja,ukahaba, kamari, wizi, nk nk wapotee kisha kifo
 
Toa laptop hapi kweny list...vingne vyote nimepitisha
 
Alimchezeaje wakati alikuwa anataka kumuoa kabisa
Alikuwa anakula mzigo wakati Dem bado mtoto Kwa kisingizio Cha pesa,sasa mtoto kakua kajitambua.remember there is no consent from a child.
 

Umepiga mle mle mkuu
 
Ukitanguliza pesa n Mara chache mnoo kupata msichana anayekupenda kwa dhati. Punguzen kuwekeza kwa mwanamke. Mwanamke mwenyewe anampenda mwanaume mtemj, malaya
 
Kila asie na hela huamini kua na hela ndo kila kitu...😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…