Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ngoja aendelee kujifyatua tu jipu linazidi kuivaHivi huyu jamaa akilini huwa zinamtosha kweli!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja aendelee kujifyatua tu jipu linazidi kuivaHivi huyu jamaa akilini huwa zinamtosha kweli!!!
Magufuli alitumbua viongozi wangapi?, tena wakati mwingine kwa hisia zake tu zilizojaa unyonge...uwezo hana anasingizia wasaidizi.
..tangu aingie ameteua na kutumbua Wakuu wa Usalama wanne.
..idadi sawa na wakuu wa usalama wakati wa Mwalimu Nyerere aliyeongoza miaka 24.
Makamba analo tatizo la kujikweza na kutoheshimu mamlaka yanayokuwa juu yake.Mama nae ana wivu ameona makamba atamnyang'anya urais 2025 akaona amtulize kwanza na si ajabu akamtupa mbali kabisa hata akampa ubalozi wa Quba ili amtenganishe na siasa alimradi asipate UPINZANI wa urais 2025
Tunaweza mimi na wewe tukaaga dunia tukiiacha CCM ikiongoza nchi hii...sera za Ccm zimeshindwa.
..wanaodumbukia kwenye umasikini ni wengi kuliko wanaochomoka.
Ana tabia ya kupandisha haiba yake akiwa mbele ya wakubwa, kumwandikia hotuba Mzee Kikwete awamu ya nne kulimdanganya akadhani anasubiri tu kuapishwa.Rais Nyusi alipoenda kumuaga Rais Hussein Mwinyi,ikulu Zanzibar.Walifika na kuondoka kwenye gari Moja pamoja na Januari.
Imekaaje hii kiitifaki?
Je ni kujikweza au Kawaida tu wanasave gharama za mafuta wakaamua kutembelea gari Moja!
Makamba ni mchafu tu na amejaa mawazo mabaya kwa serikali ya Samia. Wewe huwezi ukaona kwa sababu sio Rais na hujui malengo halisi aliyonayo moyoni mwake.
Hakusoma lakini wasaidizi wake wote ni maprofesa na anaimalizia miradi yote aliyoirithi kutoka kwa hayati JPM.Hakuna nilipomwongelea mtu ila nalipojikita ni kwenye hii dhana ya:
"Never to outshine your boss."
Boss kama hakusoma, hakusoma tu!
Au nasema uongo?
imhotep komaa kamanda.
Tulichogundua ni kuwa hamna hoja ya msingi katika kumtumbua January. Ni personalities na vita ya madaraka tu!Hakusoma lakini wasaidizi wake wote ni maprofesa na anaimalizia miradi yote aliyoirithi kutoka kwa hayati JPM.
Waliosoma sio ndio hao kina Mwigulu na Nape?. Akili matope ndio hizi sasa, zinababaika na elimu za madarasani.
Magufuli alitumbua viongozi wangapi?, tena wakati mwingine kwa hisia zake tu zilizojaa unyonge.
Uwezo wake unaongea kwa vitendo wewe unayelalamika ukiwa shujaa wa nyuma ya keyboard huwezi ukaona wala ukathamini kinachofanyika.
Hii inaitwa "KIMBELE MBELE"Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.
Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.
Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.
Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.
Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.
Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.
Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.
Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.
Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.
Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Hawa wanabuni tu wala hawajui sababuAisee! Yule mama balozi alipotolewa uwaziri wa mambo ya nje yalisemwa haya haya ya ku-outshine, huu usijekuwa wimbo wa utetezi kwa wahanga.
Lakini si kosa kuishi katika Imani hiyo, ila tu inakuwa kosa pale ambapo inashindwa kufuata utaratibu ama kutanguliza maslahi yako na ya nchi yanakuja baafayeTatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.🪅
Hakusoma lakini wasaidizi wake wote ni maprofesa na anaimalizia miradi yote aliyoirithi kutoka kwa hayati JPM.
Waliosoma sio ndio hao kina Mwigulu na Nape?. Akili matope ndio hizi sasa, zinababaika na elimu za madarasani.
Nchi inakwenda vizuri sana nyinyi manabii wa majanga mmeachiwa kazi ya kutabiri yasiyo mema. Hamuwezi kumsumbua Samia wala mfumo unaomlinda pale ikulu...hakuna Raisi wa Tanzania aliyeteua na kutumbua wakuu wa usalama wanne ktk awamu yake.
..kwa mwendo huu mpaka 2030 tutakuwa na wakuu wa usalama kumi na moja.
..ndio maana nasema mnalaumu watendaji wakati mnajua kiongozi Mkuu ndio hana uwezo.
Pole sana mkuu, naona una maumivu fulani yanasumbua kichwa chako, jaribu panadol labda itakusaidia.Akili matope zinaweza kuwa hizi zako za kutaka kulazimisha mambo.
Wapi nimemwongelea mtu ndugu?
View attachment 3050124
imhotep, kuna mkereketwa huku ikikupendeza mkumbushe hata kwetu tunahimizwa kukokamaa.
Ndiyo siasa za bongo hizo. Kusheheni wasomi si ndiyo akili yenyewe sasa?
Si ndiyo maana tunasema hii dhana ya kutomfunika bosi si ndiyo upumbafu wenyewe?
Lucas Mwashambwa kuna nduguyo wa kuelimishwa huku!
Pole sana mkuu, naona una maumivu fulani yanasumbua kichwa chako, jaribu panadol labda itakusaidia.
Mkuu lile la nchi jirani lilikuwa la wote😂😂😂Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.
Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.
Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.
Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.
Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.
Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.
Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.
Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.
Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.
Wazungu wanasema ' never outshine your master'.