Thubutuuuu usawa wenyewe huu... Nimewaachia wenye kisu kikali wale minofu mie ntapambana tu na kuku wangu wa kienyejimkuu acha uoga wa maisha kata pochi hilo au ulitaka amuombe nani km sio wew dear wake?
Alikua anataka kunifilisi [emoji38][emoji38][emoji38] nimekimbiaKawa too much
Hunipi shida mi nina visabuni vya gesti vile vinaitwa EVAMimi mwenyewe revola[emoji3][emoji3]
Hunipi shida mi nina visabuni vya gesti vile vinaitwa EVA
Kesho kama upo Dom tuonane Nyerere square saa10 jioni kama upo Dar Ubungo plaza zaa11Umetisha[emoji3][emoji3]
Kesho kama upo Dom tuonane Nyerere square saa10 jioni kama upo Dar Ubungo plaza zaa11
Nilimpata binti mmoja juzi kati. Tupo ktk mahusiano wiki ya kwanza tu anataka simu mpya smartphone (nilimkuta na kitochi), anataka ela ya huduma ya mwanae kila siku nimpe ten (Ni single mother ana katoto kana mwaka mmoja), nywele zake anataka akaoshe hua zinamuwasha sana na angependelea kila wiki niwe nampatia elfu 20 kwa ajili ya saluni, vocha juu yangu, nilichoka aliponiambia nimkopeshe laki mbili anataka akakomboe kabati lake la nguo lilichukuliwa na watu wa finca...
Mwenzenu ingawa nilikua na nia ya kumchumbia lkn nimekimbia nimeshindwa [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamii acha maswali omba UZIMALazima utakua una private jet ya asili ya kukufikisha hayo maeneo[emoji3][emoji3]
Mamii acha maswali omba UZIMA
Njoo tukae kama kamati tuwaokoe hawa waVULANA[emoji3][emoji3]
Umemnyima mwenzako fursa πππMzee baba sijataka hata kujiuliza mara mbili ni ndukiiiii... Cha kushangaza hachoki kunitafuta mda wote anapiga tu simu sipokei na text sijibu... Imeisha hiyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hebu tupe uzoefuPoleni sana...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana, endeleeni ku hudumia Ili mpewe sifa za kijinga...
Ndio boss nilikua na plan za kumuoa ila mizinga imenikatisha tamaa nimesepaSingle mother huwa anachumbiwa!!?Tanzania kuna maajabu mengi sana
Ina maana mkuu, wale ambao hawajaoa hawapigwi mizinga?Ila we jamaa bhana yaani unavyolalamikaga utafikiri hujaoa! Kwani mmelazimishwa kuchepuka mkiona michepuko gharama si mtulie na wake zenu?
Na mimi nasema wanawake waendelee kukaza hivyo hivyo hakuna kulegeza kamba! Kwani na ninyi mkiacha hizo pesa zenu kuna nini kingine mnachowapa?
Msitegemee msaada wala mapenzi ya dhati kwa wanawake ambao hamna malengo nao wala hamuwezi kuwaoa hasa ninyi waume za watu! Tulieni na ndoa zenu!
Njoo tukae kama kamati tuwaokoe hawa waVULANA
Swali ni je wanakuwa na malengo na hao wanawake as in watawaoa? Kama hawawaoi sasa kwanini wanataka wanawake ndiyo wajicommit kwenye hayo mahusiano?Ina maana mkuu, wale ambao hawajaoa hawapigwi mizinga?
Zoe nakupenda sana, may u love me back ?Ila we jamaa bhana yaani unavyolalamikaga utafikiri hujaoa! Kwani mmelazimishwa kuchepuka mkiona michepuko gharama si mtulie na wake zenu?
Na mimi nasema wanawake waendelee kukaza hivyo hivyo hakuna kulegeza kamba! Kwani na ninyi mkiacha hizo pesa zenu kuna nini kingine mnachowapa?
Msitegemee msaada wala mapenzi ya dhati kwa wanawake ambao hamna malengo nao wala hamuwezi kuwaoa hasa ninyi waume za watu! Tulieni na ndoa zenu!