Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

Mnara wako uwekwe wapi? Very simple n clear. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Huwa najiukiza swali km hilo ulilojiuliza ukiondoa sex kama hakuna faida ninayopata kwa huyo mwanamke anaetaka kunichuna huwa nasitisha mahusiano
 
Mkuu acha uoga wa maisha kata pochi hilo au ulitaka amuombe nani km sio wew dear wake?
Huko alikozalishwa ni nini kilimfanya atemwe? Kuku asiyefugika huyo, nilishawahi kutwa na mizinga ya namna hiyo akapendeza akapata Bwana mm nikaitelekeza familia Leo anaomba turudiane nimemkubalia kaanza mizinga tena NAFIKIRIA
 
Piga kelele kwa shem wake, weuweeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weueweeeee!!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38]wanawake wengi tuna kaubinafsi@Mzigua come my mkwe wangu hakuna kitu wanaume wanapenda kama kupewa na wao japo vitu vidogo vidogo

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Daah umenikumbusha latifa.
Yeye kila siku vizinga vya 3,000.
Shughuli haziishi michango ni mzaramo.
Ila Yuko vizuri mtoto wa kibantu aswaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…