Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nyie mpo wengi sana JFHaaaaa, ndugu usidharau mtu usie mjua, Mimi nyumba yangu ya kwanza kujenga Nimejenga nikiwai na Miaka 22. brooo. Naamini ktk Biashara mkuu.( Sijawai kuajiriwa hata siku Moja)
Mimi kanuni yangu ni kwamba, mwanamke akiniletea bill zake nilipe huwa napiga hesabu iyo hela anayoiomba naweza nikafanyia nini cha kuninufaisha mimi mwenyewe binafsi mfano kaniomba 50K na kweli kwenye hazina yangu ninayo 50K ya ziada basi nitaangalia iyo hela naweza kuifanyia nini. Napiga uchunguzi wa fasta nyumbani kwangu nini kimepungua labda nikagundua sofa hazipigwa maji kitambo iyo 50k badala ya kumtumia demu napeleka sofa dry cleaner zing'alishwe sebure yangu ipendezeGood Point kaka, Maana Hivi Viumbe havina shukrani, kiukweli kutoka kwa Mungu nafsi yangu Imekua chafu kwa Hawa Viumbe,
ukijaa nakuchapa na unapita kule Sina time na ww, na kama kukusaidia labda nikununulie Chips+ Kuku( Chakula tu ambayo utakua ni mlo wa siku, mwendo wa kula uliwe.imeishaaa hiyoooo
Yaan maisha magumu🤣😂 dunia inaenda kwa kasi sana, mkitaka kuolewa itabidi mrudi kwa waliowazalisha tu hakuna namna
Siku yakikukuta utamwelewa tusijakuelewa ulichoandika mkuu
Mkuu pole utakuwa ulifika pabayaNlijua sikuwasimulia manigaaa.
Mkuu hisia za kupenda huwez kuzicontrol kwenye tukio. Otherwise uwe umeifundsha akili na moyo kwa kipindi kirefu.Hivi alishindwa hata kutumia akili ya kawaida tu machale yamcheze kuhusu huyo single mother mwenye watoto 3 na si ajabu kila mtoto ana baba yake.
Nenda kasahihishe makosa ya huyo mama tatu, maana nyie akina Anana mnajiwezaga sana ktk angle hizo.Ngoja mpangaji nije mie 🤧🤧
Nyie mpo wengi na hizi mbinu za kishambaNi kweli ila sio Kila mtu, anaishi kama wewe, mi nimeandika Ili iwe Funzo kwa wengine, kweli nilifanya Ujinga wa kiwango cha lami
Amekataa ataki mpangaji wa jfAna
Nenda kasahihishe makosa ya huyo mama tatu, maana nyie akina Anana mnajiwezaga sana ktk angle hizo.
Daaa!tumia nguvu za kike kumshawishi asee ili ukamfuate machozi.Amekataa ataki mpangaji wa jf
Tuendelee tu kupata burudani na utunzi JFSawa. Sipingi mtazamo wako, kama unataka ushahidi na Uwakika Zaidi. Njoo upange kwenye hiyo nyumba
nyumba ya Vyumba Vitatu. Kimoja Master... Mkuuu njooo.Unipe Kodi
Anahisi umesahau funzo ulilopata😹Weeeee Kichwa kumekua janja sasa hiv
Siko hapa kuonyeshana umwamba au ujuaji, kama umeona nilichoandika, ni Utunzi au niongo okey, sawa wewe uko sahihi. umeshinda mkuu.Tuendelee tu kupata burudani na utunzi JF
Sema baadhi ya men humu ndo vichwa wazi tu, jamaa anaandika nyuzi karibia kila wiki humu na watu wanasoma ila bado watu wanaendelea kupigwa, dahhAlisahau kuandika notes.