Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Hili jambo nimelifanyia utafiti wa kutosha.
Ni hivi: Kuna watu wamenajisiwa na majini, wachawi, mizimu au mapepo ili wasisitawi kwenye jambo lolote lile. Kielimu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii ukinajisiwa na wachawi huwezi kustawi. Utaishi kwa mateso mwanzo mpaka mwisho wa uhai.
Sasa watu wa namna hii usiwe mwepesi kuwapa msaada au kuwapa pesa. Kama kutakuwa na ulazima wa kuwasaidia basi hakikisha unaivunja ile nira yake isikuguse wewe. Hawa watu ukitaka kuwasomesha biashara yako inaweza kufa, kazi yako inaweza kuingia mchanga ili tu waendelee kuteseka.
Hata kwenye kuhonga kuwa makini, mwanamke mwingine ukimpa pesa yako tu lazima utapoteza zaidi.
Kuna watu ukiwasaidia ile wakigeuka tu unapata zaidi ila wengine ukiwasaidia ile wakigeuka tu subiri maumivu.
Cha msingi acha kutoa hovyo, hata walemavu si watu wa kuwapa hovyo. Wengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.
Amani ndani ya moyo wako ndio sauti ya Mungu inayompa mtu ruhusa ya kufanya au kutokufanya jambo.
Hili jambo nimelifanyia utafiti wa kutosha.
Ni hivi: Kuna watu wamenajisiwa na majini, wachawi, mizimu au mapepo ili wasisitawi kwenye jambo lolote lile. Kielimu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii ukinajisiwa na wachawi huwezi kustawi. Utaishi kwa mateso mwanzo mpaka mwisho wa uhai.
Sasa watu wa namna hii usiwe mwepesi kuwapa msaada au kuwapa pesa. Kama kutakuwa na ulazima wa kuwasaidia basi hakikisha unaivunja ile nira yake isikuguse wewe. Hawa watu ukitaka kuwasomesha biashara yako inaweza kufa, kazi yako inaweza kuingia mchanga ili tu waendelee kuteseka.
Hata kwenye kuhonga kuwa makini, mwanamke mwingine ukimpa pesa yako tu lazima utapoteza zaidi.
Kuna watu ukiwasaidia ile wakigeuka tu unapata zaidi ila wengine ukiwasaidia ile wakigeuka tu subiri maumivu.
Cha msingi acha kutoa hovyo, hata walemavu si watu wa kuwapa hovyo. Wengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.
Amani ndani ya moyo wako ndio sauti ya Mungu inayompa mtu ruhusa ya kufanya au kutokufanya jambo.