Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udagaaa tuDunia imechafukwa Yani watu wanatafuta point ya kukuunganisha na vitu vya Ajabu wakumalize.
Mimi sisaidii mtu kisa huruma Mana hapa ndipo wengi wanaumia.
Watu Wana maagano ya kipuuzi sana.
Kuna muha mwenzako anazila kwenye gari Kama anakula vile vitambi vya watoto.Udagaaa tu
Muulize kwanini anafanya hivyoKuna muha mwenzako anazila kwenye gari Kama anakula vile vitambi vya watoto.
Weeeeh Muha haulizwi ... Unataka afungulie Sabufa anitie aibu.Muulize kwanini anafanya hivyo
mbona noma sana
acha porojoMUNGU alimpiga kitu Ayubu kisa alionesha kumlaumu.
MUNGU alimpa ububu Zakaria kwa kushindwa kusadiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayubu. Hata Mungu anakupitisha kwenye tabu na dhiki pia.Duh Mungu nae anatoa laana ili watu wateseke?
Kwahiyo unatufundisha nini kaka!!!!Na wewe ukihitaji msaada tusikupe au wewe umekamilika hauna hizo kasoro ulizozitaja???Habari!
Hili jambo nimelifanyia utafiti wa kutosha.
Ni hivi: Kuna watu wamenajisiwa na majini, wachawi, mizimu au mapepo ili wasisitawi kwenye jambo lolote lile. Kielimu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii ukinajisiwa na wachawi huwezi kustawi. Utaishi kwa mateso mwanzo mpaka mwisho wa uhai.
Sasa watu wa namna hii usiwe mwepesi kuwapa msaada au kuwapa pesa. Kama kutakuwa na ulazima wa kuwasaidia basi hakikisha unaivunja ile nira yake isikuguse wewe. Hawa watu ukitaka kuwasomesha biashara yako inaweza kufa, kazi yako inaweza kuingia mchanga ili tu waendelee kuteseka.
Hata kwenye kuhonga kuwa makini, mwanamke mwingine ukimpa pesa yako tu lazima utapoteza zaidi.
Kuna watu ukiwasaidia ile wakigeuka tu unapata zaidi ila wengine ukiwasaidia ile wakigeuka tu subiri maumivu.
Cha msingi acha kutoa hovyo, hata walemavu si watu wa kuwapa hovyo. Wengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.
Amani ndani ya moyo wako ndio sauti ya Mungu inayompa mtu ruhusa ya kufanya au kutokufanya jambo.
Una ushahidi kaka????Afu mbona unawapangia matumizi watu wenye huitaji kaka??Usitoe sadaka kwa walemavu wanaojipanga road Hawa wengi wao pesa zao wanatumia kulewa na kununua wanawake sadaka itakayokubariki ni ile utakayotoa kanisani au kwenye taasisi ya kusaidia wenye mahitaji
Ni maoni yako binafsiHabari!
Hili jambo nimelifanyia utafiti wa kutosha.
Ni hivi: Kuna watu wamenajisiwa na majini, wachawi, mizimu au mapepo ili wasisitawi kwenye jambo lolote lile. Kielimu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii ukinajisiwa na wachawi huwezi kustawi. Utaishi kwa mateso mwanzo mpaka mwisho wa uhai.
Sasa watu wa namna hii usiwe mwepesi kuwapa msaada au kuwapa pesa. Kama kutakuwa na ulazima wa kuwasaidia basi hakikisha unaivunja ile nira yake isikuguse wewe. Hawa watu ukitaka kuwasomesha biashara yako inaweza kufa, kazi yako inaweza kuingia mchanga ili tu waendelee kuteseka.
Hata kwenye kuhonga kuwa makini, mwanamke mwingine ukimpa pesa yako tu lazima utapoteza zaidi.
Kuna watu ukiwasaidia ile wakigeuka tu unapata zaidi ila wengine ukiwasaidia ile wakigeuka tu subiri maumivu.
Cha msingi acha kutoa hovyo, hata walemavu si watu wa kuwapa hovyo. Wengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.
Amani ndani ya moyo wako ndio sauti ya Mungu inayompa mtu ruhusa ya kufanya au kutokufanya jambo.
Sasa hizo ndo laana?Ayubu. Hata Mungu anakupitisha kwenye tabu na dhiki pia.
1.Kama umemuacha upo mbali nae so ukusogeza kwake ufanye ibada KWA sababu ya shida.
2.Kukujenga zaidi Ili changamoto za mbele kwako ziwe SAwa na maji.mfano aliyeumizwa kimapenzi hawezi lia mapenzi tena. Experience
3.Kukuepusha na baya zaidi na kukuandalia zuri zaidi.
Mfano unafukuza Kazi unalia unaumia Sana unayumba sana. Unaamua kuingia kwenye kilimo KISHA kinalipa zaidi ya Kazi unaanza kujuta kwann nilipotexa mda kwenye Kazi kwann sikufanya kilimo mwanzoni