Usiwape pesa watu wenye mikosi, utapoteza zaidi

Usiwape pesa watu wenye mikosi, utapoteza zaidi

Mwingine ukimpa pesa anaipeleka makaburini kufanya mambo yake. Kama ni duka unafilisika na mikosi ya kila aina. Ukienda nyumbani vile vizee vinavyoomba pesa sio wa mchezo, ila katika kumi huenda kuna mwenye nia nzuri ila utamjuaje? Maisha ni mchezo, ukishayajua hayo utaishi kwa amani duniani.
 
Japo sijasoma content...ila nipende kusema " ukiamini hivyo kweli inakuwa hivyo ila ukitoa kwa moyo mweupe bila kuwa na imani nyuma yake hakuna kinachotokea"
 
Wewe kama huna moyo wa kusaidia wengine baki kivyako,,,siyo kushusha uzi ambao hata tukikuuliza maswali hutaweza kujibu..
 
Ni kweli kama huna msuli wa imani yaani muoga kwamba unaamini ukirogwa unarogeka, ila kama una misuli yakutosha hizo nuksi, laana, najisi hazipenyi mahali.
Dr. Mengi (RIP) alikuwa ana kusanya walemavu anakula nao bata na kuwasaidia hizo balaa na mikosi siingeifilisi ITV midiya.
 
Ni kweli kama huna msuli wa imani yaani muoga kwamba unaamini ukirogwa unarogeka, ila kama una misuli yakutosha hizo nuksi, laana, najisi hazipenyi mahali.
Dr. Mengi (RIP) alikuwa ana kusanya walemavu anakula nao bata na kuwasaidia hizo balaa na mikosi siingeifilisi ITV midiya.
What if ndiyo yalikua masharti ya mganga wake?

Naongea kama maamuma kutoka mitaa ya yombo dovya.
 
What if ndiyo yalikua masharti ya mganga wake?


Naongea kama maamuma kutoka mitaa ya yombo dovya.
acha imani za kishirikina hiyo ni law of nature/God.. kama kuna waganga wanatiumia ni kwa sababu wanajua ni sheria za Mungu
 
Unakwenda kutoa mahari tu unarudi kazini unakutana na termination letter kwa makosa ya miaka 3 iliyopita
Sasa huu ni mkosi au ni makosa yako mwenyewe uliyofanya huko nyuma. Hiyo ni coincidence tu. Ingekuwa terminated kwa makosa ya kusingiziwa labda hapo ungeunganisha dots, vinginevyo...
 
Habari!

Hili jambo nimelifanyia utafiti wa kutosha.

Ni hivi: Kuna watu wamenajisiwa na majini, wachawi, mizimu au mapepo ili wasisitawi kwenye jambo lolote lile. Kielimu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii ukinajisiwa na wachawi huwezi kustawi. Utaishi kwa mateso mwanzo mpaka mwisho wa uhai.

Sasa watu wa namna hii usiwe mwepesi kuwapa msaada au kuwapa pesa. Kama kutakuwa na ulazima wa kuwasaidia basi hakikisha unaivunja ile nira yake isikuguse wewe. Hawa watu ukitaka kuwasomesha biashara yako inaweza kufa, kazi yako inaweza kuingia mchanga ili tu waendelee kuteseka.

Hata kwenye kuhonga kuwa makini, mwanamke mwingine ukimpa pesa yako tu lazima utapoteza zaidi.

Kuna watu ukiwasaidia ile wakigeuka tu unapata zaidi ila wengine ukiwasaidia ile wakigeuka tu subiri maumivu.
Cha msingi acha kutoa hovyo, hata walemavu si watu wa kuwapa hovyo. Wengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.

Amani ndani ya moyo wako ndio sauti ya Mungu inayompa mtu ruhusa ya kufanya au kutokufanya jambo.
Yaani masharti ya mchawi wako aliyekupa hirizi unataka kuyafanya kanuni ya imani kwa wengine ?
Acha hizo mkuu.
 
Back
Top Bottom