Muccigang
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 1,313
- 1,918
Duh Mungu nae anatoa laana ili watu wateseke?
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Mungu nae anatoa laana ili watu wateseke?
we unaona imekaaje hiyo mkuu?[emoji848][emoji23][emoji23]
ElezeaSasa hizo ndo laana?
HatariUnakwenda kutoa mahari tu unarudi kazini unakutana na termination letter kwa makosa ya miaka 3 iliyopita
Kuna dp humu akiiona mzabzab lazima asukimize na neno zuriAisee Kuna watu mnajiona mmekamili .
Pole mkuuBinafsi napitia hili. Ukishanuiwa nuksi hakuna litakalokwenda kwako.
Binafsi napitia hili. Ukishanuiwa nuksi hakuna litakalokwenda kwako.
Baada ya kuwa wamemkosea nini Mungu, sidhani kama Mungu ni wa visasi kama unavyodhaniWengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.
Daah, 😁 😁 😁 😁Unakwenda kutoa mahari tu unarudi kazini unakutana na termination letter kwa makosa ya miaka 3 iliyopita
What if ndiyo yalikua masharti ya mganga wake?Ni kweli kama huna msuli wa imani yaani muoga kwamba unaamini ukirogwa unarogeka, ila kama una misuli yakutosha hizo nuksi, laana, najisi hazipenyi mahali.
Dr. Mengi (RIP) alikuwa ana kusanya walemavu anakula nao bata na kuwasaidia hizo balaa na mikosi siingeifilisi ITV midiya.
acha imani za kishirikina hiyo ni law of nature/God.. kama kuna waganga wanatiumia ni kwa sababu wanajua ni sheria za MunguWhat if ndiyo yalikua masharti ya mganga wake?
Naongea kama maamuma kutoka mitaa ya yombo dovya.
Sasa huu ni mkosi au ni makosa yako mwenyewe uliyofanya huko nyuma. Hiyo ni coincidence tu. Ingekuwa terminated kwa makosa ya kusingiziwa labda hapo ungeunganisha dots, vinginevyo...Unakwenda kutoa mahari tu unarudi kazini unakutana na termination letter kwa makosa ya miaka 3 iliyopita
Yaani masharti ya mchawi wako aliyekupa hirizi unataka kuyafanya kanuni ya imani kwa wengine ?Habari!
Hili jambo nimelifanyia utafiti wa kutosha.
Ni hivi: Kuna watu wamenajisiwa na majini, wachawi, mizimu au mapepo ili wasisitawi kwenye jambo lolote lile. Kielimu, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii ukinajisiwa na wachawi huwezi kustawi. Utaishi kwa mateso mwanzo mpaka mwisho wa uhai.
Sasa watu wa namna hii usiwe mwepesi kuwapa msaada au kuwapa pesa. Kama kutakuwa na ulazima wa kuwasaidia basi hakikisha unaivunja ile nira yake isikuguse wewe. Hawa watu ukitaka kuwasomesha biashara yako inaweza kufa, kazi yako inaweza kuingia mchanga ili tu waendelee kuteseka.
Hata kwenye kuhonga kuwa makini, mwanamke mwingine ukimpa pesa yako tu lazima utapoteza zaidi.
Kuna watu ukiwasaidia ile wakigeuka tu unapata zaidi ila wengine ukiwasaidia ile wakigeuka tu subiri maumivu.
Cha msingi acha kutoa hovyo, hata walemavu si watu wa kuwapa hovyo. Wengine ulemavu wao ni laana za Mungu ili wateseke zaidi.
Amani ndani ya moyo wako ndio sauti ya Mungu inayompa mtu ruhusa ya kufanya au kutokufanya jambo.
Kwani we hili hulijui Hawa watu ndio usiku wanakula Sana Bata kuliko watu wazimaUna ushahidi kaka????Afu mbona unawapangia matumizi watu wenye huitaji kaka??