Usiyoyajua kuhusu nguvu za mnyama simba

Usiyoyajua kuhusu nguvu za mnyama simba

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
SIMBA si mnyama mrefu kuliko wote. SIMBA sio mnyama mwenye kilo nyingi kuliko wote.

SIMBA sio mnyama mwenye akili nyingi kuliko wote. Na pia SIMBA sio mnyama mkubwa kuliko wote.

Lakini cha kushangaza, SIMBA ndie mfalme wa Msituni.

Ikiwa sifa zote hizo hana je, ni kipi kinachomfanya SIMBA awe ndoo Mfalme wa Msituni kwa wanyama wote.

Kinachomtofautisha SIMBA na wanyama wengine ni MTAZAMO wake.

SIMBA sio mrefu kama TWIGA.. SIMBA hana kilo nyingi kama KIBOKO.. SIMBA hana akili nyingi kama FISI au NYANI.. SIMBA sio mkubwa kama TEMBO.

Lakini ndie mfalme wa Msituni. MTAZAMO wake Chanya alionao unamfanya awe kiongozi kwa wanyama wengine.

SIMBA anapomuona TEMBO haangalii umbo lake, haangalii ukubwa wake, haangalii unene wake, haangalii nguvu zake, na wala haangalii urefu wake.

SIMBA anapoona TEMBO anaona fursa ya chakula kwake . Anaona hiki ni chakula nachoweza kula. Na kwa sababu hii ya mtazamo wake Chanya SIMBA akimuonsTEMBO anamvamia kwa lengo la kupata chakula.

Hivi_unaamini_kuwa

TEMBO na ukubwa wote ule na unene wake wote ule anapomuona SIMBA, anaona mlaji huyo ananiijia.

kinachomfanya TEMBO amuone SIMBA mlaji, ni Kwa sababu ya MTAZAMO HASI alionao, unaopelekea SIMBA na udogo wake wote ule amle TEMBO.

Hapa ni MTAZAMO HASI pekee ndio unaomuangusha TEMBO!!!

MTAZAMO wako ukiwa unayaona kama chakula kwako lazima utaweza kuyashinda( Mtazamo Chanya). Lakini kama unayaona ni makubwa na huyawezi, basi hautayaweza lazima ya kushinde tuu kwa sababu umeamini Katika Mtazamo hasi au Mtazamo Mgando.

***Wewe jinsi ulivyo ni MTAZAMO wako. Mafanikio yetu kwenye kitu chochote kwa asilimia kubwa yanategemea MTAZAMO wetu. Sio elimu, akili, sehemu tunakotokea wala rangi zetu, MTAZAMO ndio unabeba sehemu kubwa ya maisha yatu tuliyonayo na tunayoishi!!.

*** Unaonaje shida unazozipitia? Unazionaje changamoto unazozipitia? Unayaonaje magumu unayopitia?
Je,Unaona ni chakula kwako(utaweza kushinda) au unaona ni mlaji huyo( utashindwa)? MTAZAMO wako uko wapi?

*** Haijalishi una elimu kiasi gani, haijalishi una nguvu kiasi gani, haijalishi una akili kiasi gani, kinachokufanya uwe kiongozi mzuri ni MTAZAMO wako yaani Mtazamo chanya( Mtazamo wa ukuaji)

*** Ikiwa utasema hauna akili nyingi, SIMBA hana akili nyingi kama NYANI lakini anatawala Msituni. Kama unasema wewe ni mfupi, SIMBA sio mnyama mrefu Msituni lakini ndie kiongozi..

Hauna sababu ya kwa nini usiwe kiongozi, Hauna sababu za kwanini usiwe mshindi Katika maisha haya unayoyaishi. Tafuta sababu yoyote unayotafuta, lakini hakuna sababu itakayokufanya usiwe kiongozi au mshindi.

*** Acha vijisibabu badili MTAZAMO wako, Jenga tabia ya mtazamo chanya, Mtazamo wa uwezekano, mtazamo wa ukuaji, mtazamo wa ushindi Katika maisha yako....

Mtazamo Hasi, mtazamo Mgando,mtazamo wa haiwezekani, mtazamo wa kushindwa ndio unaotupoteza wengi wetu na sio kitu kingine. Wewe ni mshindi na kiongozi, kama ukiamua kubadili MTAZAMO wako.


kama_hujui MUNGU ameweka Uungu ndani yako. Wewe ni Mungu mdogo Kama unabisha Soma

*** Wewe umeumbwa na uwezo mkubwa ndani yako. MTAZAMO wako ulionao ndio unaomfanya MUNGU afanye mambo makubwa kwako. MUNGU anaweza kufanya makubwa na mambo ya ajabu mno kama tu utatumia nguvu iliyomo ndani yako, kama tu utabadili MTAZAMO wako kutoka katika mtazamo wa haiwezekani na kuwa Mtazamo wa Inawezekana.

Ebu soma msitari huu aliouandika Paulo kwa Waefeso hata Kama Hauna mpango wa kwenda Mbinguni..

** MUNGU atafanya makubwa kwako kwa kadiri ya MTAZAMO wako. MUNGU anaweza kufanya makubwa kwako zaidi ya unavyoomba au kuwaza ikiwa utaishi kwa mtazamo wa Inawezekana nasio haiwezekani katika maisha yako...
( MUNGU hafanyi kazi na watu wenye mashaka)

Badili MTAZAMO wako. Yaone matatizo yako kama chakula kinachokuimarisha na kukufanya uonekane mwenye nguvu zaidi. MUNGU ameweka nguvu ya ushindi na uongozi ndani yako.

HAKUNA LISILOWEZEKANA KAMA UKIAMINI. KUNA UWEZO MKUBWA NA WA AJABU NDANI YAKO.
 
Kanakinyampo kikali Sana kale,huwa kanafukuza nyuki kwa kutumia kinyampo basi kanakula asali..😂
Nyegere huwa haogopi no matter the situation, jamaa katudanganya et Simba akimuona tembo anamvamia , ni kweli Simba anakula chochote kilicho mbele yake , but some factors should remain costant.... Kama yupo alone Simba hawezi paramia full grown and heathly Tembo, Faru au boko..huwa ana opt kwenda Kwa wanyama wadogo ,

Simba akiwa in form of pride ndo wanaweza test zari la kumwangusha tembo , faru au boko ....imesadikika kuwa faru , au tembo wakubwa walioliwa na Simba ni wale wazee, au afya mbovu hvyo kupelekea kuwa easy prey , very rare imetokea full grown and heathly kuliwa na Simba .... Simba ni mfalme w porini sababu chaka lolote anaweza ingia , na hakuna mnyama wa kujarbu kumshambulia Ila yeye kila mnyama ana chance ya kumshambulia
 
Safi kabisa, na kuna kale kamnyama kadogo (sikajui jina) kenyewe nako kanajiamini balaa........kanamkoromea mpaka Simba na kagumu kufa hatari.
Anaitwa honey badger..Yule ndy kiboko Yao sasa😅

Ukisikia deadliest animal ndy Yule,hakuna kiumbe yoyote anayemwogopa hata huyo Simba anamwona km kirikuu Tu..namkubali sn Yule mdudu..ni bad ass animal

Yote Kwa yote andiko ni zuri sn na linatia moyo Kwa waliokata tamaa

IMG_20220520_102010.jpg
 
Nyegere huwa haogopi no matter the situation, jamaa katudanganya et Simba akimuona tembo anamvamia , ni kweli Simba anakula chochote kilicho mbele yake , but some factors should remain costant.... Kama yupo alone Simba hawezi paramia full grown and heathly Tembo, Faru au boko..huwa ana opt kwenda Kwa wanyama wadogo ,

Simba akiwa in form of pride ndo wanaweza test zari la kumwangusha tembo , faru au boko ....imesadikika kuwa faru , au tembo wakubwa walioliwa na Simba ni wale wazee, au afya mbovu hvyo kupelekea kuwa easy prey , very rare imetokea full grown and heathly kuliwa na Simba .... Simba ni mfalme w porini sababu chaka lolote anaweza ingia , na hakuna mnyama wa kujarbu kumshambulia Ila yeye kila mnyama ana chance ya kumshambulia
Kitu kingine,Simba ni Mnyama Mwenye Akili kuliko wanyama wote mbugani,that's what makes him king,namna ya kuwinda,maisha yake kifamilia,wanavyogawana majukumu(mke&mume),upendo kwa familia yake etc
 
Nyegere huwa haogopi no matter the situation, jamaa katudanganya et Simba akimuona tembo anamvamia , ni kweli Simba anakula chochote kilicho mbele yake , but some factors should remain costant.... Kama yupo alone Simba hawezi paramia full grown and heathly Tembo, Faru au boko..huwa ana opt kwenda Kwa wanyama wadogo ,

Simba akiwa in form of pride ndo wanaweza test zari la kumwangusha tembo , faru au boko ....imesadikika kuwa faru , au tembo wakubwa walioliwa na Simba ni wale wazee, au afya mbovu hvyo kupelekea kuwa easy prey , very rare imetokea full grown and heathly kuliwa na Simba .... Simba ni mfalme w porini sababu chaka lolote anaweza ingia , na hakuna mnyama wa kujarbu kumshambulia Ila yeye kila mnyama ana chance ya kumshambulia
Motivational speakers at their best.......
 
'Ebu soma msitari huu aliouandika Paulo kwa Waefeso hata Kama Hauna mpango wa kwenda Mbinguni..

** MUNGU atafanya makubwa kwako kwa kadiri ya MTAZAMO wako. MUNGU anaweza kufanya makubwa kwako zaidi ya unavyoomba au kuwaza ikiwa utaishi kwa mtazamo wa Inawezekana nasio haiwezekani katika maisha yako...
( MUNGU hafanyi kazi na watu wenye mashaka)
Natamani ungetuhabarisha - haya maneno umenikuu toka Waefeso mtari upi?.
 
simba akiona tembo anaona nini[emoji16][emoji16][emoji16].

na hili neno mfalme wa nyika kapewa na binaadam,nina uhakika hata yeye hajichukulii kama mfalme wala nini.

simba hawindi mnyama aliemzidi kimo kama nyati,tembo,falu,twiga,hao wote anavamia na wenzie kama wafanyavyo fisi nk.
simba ni mwoga sana ndio sababu huporwa windo na fisi kadhaa tu.

sifa zote anazopewa simba zilimfaa chui,maana haogopi mpuuzi yeyote na anajiamini hata mbele za watu kadhaa.
 
SIMBA si mnyama mrefu kuliko wote. SIMBA sio mnyama mwenye kilo nyingi kuliko wote.

SIMBA sio mnyama mwenye akili nyingi kuliko wote. Na pia SIMBA sio mnyama mkubwa kuliko wote.

Lakini cha kushangaza, SIMBA ndie mfalme wa Msituni.

Ikiwa sifa zote hizo hana je, ni kipi kinachomfanya SIMBA awe ndoo Mfalme wa Msituni kwa wanyama wote.

Kinachomtofautisha SIMBA na wanyama wengine ni MTAZAMO wake.

SIMBA sio mrefu kama TWIGA.. SIMBA hana kilo nyingi kama KIBOKO.. SIMBA hana akili nyingi kama FISI au NYANI.. SIMBA sio mkubwa kama TEMBO.

Lakini ndie mfalme wa Msituni. MTAZAMO wake Chanya alionao unamfanya awe kiongozi kwa wanyama wengine.

SIMBA anapomuona TEMBO haangalii umbo lake, haangalii ukubwa wake, haangalii unene wake, haangalii nguvu zake, na wala haangalii urefu wake.

SIMBA anapoona TEMBO anaona fursa ya chakula kwake . Anaona hiki ni chakula nachoweza kula. Na kwa sababu hii ya mtazamo wake Chanya SIMBA akimuonsTEMBO anamvamia kwa lengo la kupata chakula.

Hivi_unaamini_kuwa

TEMBO na ukubwa wote ule na unene wake wote ule anapomuona SIMBA, anaona mlaji huyo ananiijia.

kinachomfanya TEMBO amuone SIMBA mlaji, ni Kwa sababu ya MTAZAMO HASI alionao, unaopelekea SIMBA na udogo wake wote ule amle TEMBO.

Hapa ni MTAZAMO HASI pekee ndio unaomuangusha TEMBO!!!

MTAZAMO wako ukiwa unayaona kama chakula kwako lazima utaweza kuyashinda( Mtazamo Chanya). Lakini kama unayaona ni makubwa na huyawezi, basi hautayaweza lazima ya kushinde tuu kwa sababu umeamini Katika Mtazamo hasi au Mtazamo Mgando.

***Wewe jinsi ulivyo ni MTAZAMO wako. Mafanikio yetu kwenye kitu chochote kwa asilimia kubwa yanategemea MTAZAMO wetu. Sio elimu, akili, sehemu tunakotokea wala rangi zetu, MTAZAMO ndio unabeba sehemu kubwa ya maisha yatu tuliyonayo na tunayoishi!!.

*** Unaonaje shida unazozipitia? Unazionaje changamoto unazozipitia? Unayaonaje magumu unayopitia?
Je,Unaona ni chakula kwako(utaweza kushinda) au unaona ni mlaji huyo( utashindwa)? MTAZAMO wako uko wapi?

*** Haijalishi una elimu kiasi gani, haijalishi una nguvu kiasi gani, haijalishi una akili kiasi gani, kinachokufanya uwe kiongozi mzuri ni MTAZAMO wako yaani Mtazamo chanya( Mtazamo wa ukuaji)

*** Ikiwa utasema hauna akili nyingi, SIMBA hana akili nyingi kama NYANI lakini anatawala Msituni. Kama unasema wewe ni mfupi, SIMBA sio mnyama mrefu Msituni lakini ndie kiongozi..

Hauna sababu ya kwa nini usiwe kiongozi, Hauna sababu za kwanini usiwe mshindi Katika maisha haya unayoyaishi. Tafuta sababu yoyote unayotafuta, lakini hakuna sababu itakayokufanya usiwe kiongozi au mshindi.

*** Acha vijisibabu badili MTAZAMO wako, Jenga tabia ya mtazamo chanya, Mtazamo wa uwezekano, mtazamo wa ukuaji, mtazamo wa ushindi Katika maisha yako....

Mtazamo Hasi, mtazamo Mgando,mtazamo wa haiwezekani, mtazamo wa kushindwa ndio unaotupoteza wengi wetu na sio kitu kingine. Wewe ni mshindi na kiongozi, kama ukiamua kubadili MTAZAMO wako.


kama_hujui MUNGU ameweka Uungu ndani yako. Wewe ni Mungu mdogo Kama unabisha Soma

*** Wewe umeumbwa na uwezo mkubwa ndani yako. MTAZAMO wako ulionao ndio unaomfanya MUNGU afanye mambo makubwa kwako. MUNGU anaweza kufanya makubwa na mambo ya ajabu mno kama tu utatumia nguvu iliyomo ndani yako, kama tu utabadili MTAZAMO wako kutoka katika mtazamo wa haiwezekani na kuwa Mtazamo wa Inawezekana.

Ebu soma msitari huu aliouandika Paulo kwa Waefeso hata Kama Hauna mpango wa kwenda Mbinguni..

** MUNGU atafanya makubwa kwako kwa kadiri ya MTAZAMO wako. MUNGU anaweza kufanya makubwa kwako zaidi ya unavyoomba au kuwaza ikiwa utaishi kwa mtazamo wa Inawezekana nasio haiwezekani katika maisha yako...
( MUNGU hafanyi kazi na watu wenye mashaka)

Badili MTAZAMO wako. Yaone matatizo yako kama chakula kinachokuimarisha na kukufanya uonekane mwenye nguvu zaidi. MUNGU ameweka nguvu ya ushindi na uongozi ndani yako.

HAKUNA LISILOWEZEKANA KAMA UKIAMINI. KUNA UWEZO MKUBWA NA WA AJABU NDANI YAKO.
Myles Munroe
 
Lol motivational speakers huwa burudani sana.

Anyway, kwa elimu zaidi, nguvu kubwa ya simba ni teamwork. Ndio maana wanaishi kama jamii (pride), la sivyo hawatoboi. Hata wale machalii wanaofukuzwa na baba zao kwenye prides, lazima wajikusanye ku-survive. Hata wanapowinda, ile ni formation na kila mmoja ana majukumu yake.
 
Mfalme halisi wa pori ni chui.
Huyu mwamba hata simba akikaa vibaya analiwa
 
Back
Top Bottom