Usiyoyajua kuhusu nguvu za mnyama simba

Usiyoyajua kuhusu nguvu za mnyama simba

sifa zote anazopewa simba zilimfaa chui,maana haogopi mpuuzi yeyote na anajiamini hata mbele za watu kadhaa.
Chui ni mnyonge kwa Simba.

Nadhani huo ufalme wa Simba ni sababu ni vigumu kwa Mnyama yeyote kumuwinda Simba (mkubwa) kama kitoweo au kumshambulia tu ili amuue.
 
Hainisumbui mtu kuandika habari za kupotosha inanisumbua kwamba hii habari watu wameipokea, wanaiona ipo sahihi na wanachangia.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Chui hamna kitu mkuu, chui hana uwezo wa kupambana hata na fisi aliyeshiba . Chui ni mnyama mwenye aibu na muoga sana labda iwe vs wanyama wadogo kama mbwa au jackar . Chui dume aliyeshiba hafui dafu kwa simba jike ni anakimbia au kupanda mti .
hawa wote ni paka,lakini paka chui yuko tofauti sana mzee.

kama angepewa umbo kubwa kama la simba angekuwa mnyama hatari sana.
 
hawa wote ni paka,lakini paka chui yuko tofauti sana mzee.

kama angepewa umbo kubwa kama la simba angekuwa mnyama hatari sana.

Chui yuko weak sababu yuko shy na anaishi peke yake ndo maana chui siyo wengi kama simba au fisi . Dunia hii no one weapon ku rule ni coperation bila hiyo ni ngumu sana na hii ni kwa species zote
 
Anaitwa honey badger..Yule ndy kiboko Yao sasa😅

Ukisikia deadliest animal ndy Yule,hakuna kiumbe yoyote anayemwogopa hata huyo Simba anamwona km kirikuu Tu..namkubali sn Yule mdudu..ni bad ass animal

Yote Kwa yote andiko ni zuri sn na linatia moyo Kwa waliokata tamaa

View attachment 2231426
YES!
Ni huyu huyu kiongozi, haka kajamaa ni balaa😂😂😂
 
Back
Top Bottom