mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
SubutuuuMfalme halisi wa pori ni chui.
Huyu mwamba hata simba akikaa vibaya analiwa
Simba aliwe na chui
Chui anaeogopa fisi
Mkuu fanya tafiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SubutuuuMfalme halisi wa pori ni chui.
Huyu mwamba hata simba akikaa vibaya analiwa
Chui ni mnyonge kwa Simba.sifa zote anazopewa simba zilimfaa chui,maana haogopi mpuuzi yeyote na anajiamini hata mbele za watu kadhaa.
Itakua loyal tourHuo ufalme kapewa na nani?.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Itakua loyal tour
Mkuu tofautI katI ya mbogo na nyati ni ipi mkuu.Andiko zuri
Lakini acheni mbogo aitwe mbogo
Hivi kumbe ile ilikuwa loyal na pia ilikuwa royalItakua loyal tour
Mkuu hapo turudishie chenji...Mfalme halisi wa pori ni chui.
Huyu mwamba hata simba akikaa vibaya analiwa
hawa wote ni paka,lakini paka chui yuko tofauti sana mzee.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Chui hamna kitu mkuu, chui hana uwezo wa kupambana hata na fisi aliyeshiba . Chui ni mnyama mwenye aibu na muoga sana labda iwe vs wanyama wadogo kama mbwa au jackar . Chui dume aliyeshiba hafui dafu kwa simba jike ni anakimbia au kupanda mti .
hawa wote ni paka,lakini paka chui yuko tofauti sana mzee.
kama angepewa umbo kubwa kama la simba angekuwa mnyama hatari sana.
Kwani nimesema uongoo!Natamani ungetuhabarisha - haya maneno umenikuu toka Waefeso mtari upi?.
Anavizia sio!Mfalme halisi wa pori ni chui.
Huyu mwamba hata simba akikaa vibaya analiwa
Huyo hafai mkuu dawa yake Ni ku mkwepaKuna kijana mmoja ni muathirika wa mitazamo hasi, basi akawa anatumia nguvu zake zote kuniingiza kwenye hilo kundi la mitazamo ya kushindwa.
Sawa, lakini mfano katika andiko hili ulilenga wanyama wa poriniBinadamu ndie mnyama aliyepewa Nguvu na mamlaka juu ya wanyama wote duniani.
🤣🤣🤣Kanakinyampo kikali Sana kale,huwa kanafukuza nyuki kwa kutumia kinyampo basi kanakula asali..😂
YES!Anaitwa honey badger..Yule ndy kiboko Yao sasa😅
Ukisikia deadliest animal ndy Yule,hakuna kiumbe yoyote anayemwogopa hata huyo Simba anamwona km kirikuu Tu..namkubali sn Yule mdudu..ni bad ass animal
Yote Kwa yote andiko ni zuri sn na linatia moyo Kwa waliokata tamaa
View attachment 2231426
Anhaa, kumbe! ShukraniNyegere (le)
🙏🙏 sana kiongozi, nimelinyaka hiloNyegere huyo mkuu
[emoji112][emoji112][emoji120][emoji120]Ubarikiwe zaidi kwa Somo zuri sana,
Nimejifunza kwa mara nyingine.
Uwe unaleta tena na tena mali adimu hizi humu.