Usiyoyajua kuhusu nguvu za mnyama simba

Kuna kijana mmoja ni muathirika wa mitazamo hasi, basi akawa anatumia nguvu zake zote kuniingiza kwenye hilo kundi la mitazamo ya kushindwa.
 
Wenyewe wanasema simba ni "social animals" zaidi ya kuwa predator (muwindaji mlangwa nyama).
 
Motivesheno spika bana amka uteseke dunia haiko hivyo
 
Mbali na mtazamo wake, Simba anaheshimika kama mfalme wa nyika kutokana na tabia zao za asili.Simba huishi katika familia (Pride) na huishi kwa kutaka heshima katika eneo lake.Tabia hizi ni za ufalme.Ukijumlisha na manyoya mengi aliyonayo shingoni humpa simba muonekano wa dume la mbegu.Tiger ni mkubwa na mwenye nguvu kuliko simba.Lakini haheshimiki sana kama simba kutokana na lifestyle yake yeye haishi katika familia na wala hahangaiki kulinda territory. Tiger tunaweza kumuita Warrior kutokana na lifestyle yake lakini sio Mfalme!
 
Hajapewa Jina la Mfalme ila aina tu ya maisha yake hata kama yeye hajui ila automatically anaishi kifalme. Chuo hana Pride wala territory. Mfalme gani asiye na territory
 
Simba ni King na sababu za kuwa King ni chache lakini zinashabiana na wafalme watu. Kwanza Simba akitoa sauti lake tu basi hata mtaa wapili wanajuwa mfalme anatawala, ana nguvu na anamiliki ardhi kubwa kuliko yote shujaa haogopi mnyama yoyote na ana muonekano wa kifalme good body. Fisi ni mpinzani wa Simba kwa maana wanagombania chakula kimoja na Simba lakini fisi angekuwa na muonekano mzuri angeweza kuwa anajina ila wao kumtoa Simba kwenye chakula lazima wawe wengi. Simba anaamua nyama gani ale na zaidi ni mnyama anapumzika zaidi ya masaa 15 kimyaa kama wafalme wetu. Chui muoga hasa akimuona Simba ndio maana akipata windo anakimbia juu ya mti. Fisi anasubiri King amaliza mnyama ndio wanakuja group kufanya fujo ni kama panya road tu fisi pora pora tu lakini mwizi wa maana anapiga hesabu mzigo mzito ndio King Simba.
 
Safi kabisa, na kuna kale kamnyama kadogo (sikajui jina) kenyewe nako kanajiamini balaa........kanamkoromea mpaka Simba na kagumu kufa hatari.
Nyegere au honey badger ni mgumu mno cjawahi ona kiumbe kigumu kukata tamaa kama hicho
 
Hajapewa Jina la Mfalme ila aina tu ya maisha yake hata kama yeye hajui ila automatically anaishi kifalme. Chuo hana Pride wala territory. Mfalme gani asiye na territory
mkuu wewe ndio hujui kitu chui ana territory ,pride aliyo nayo simba ni kwa simba wenzie sio wanyama wengine.

chui anaishi peke yake,na eneo husika akikatiza predator mwingine chui lazima apambane naye hakimbii.
 
Binadamu ndie mnyama aliyepewa Nguvu na mamlaka juu ya wanyama wote duniani.
 
mkuu wewe ndio hujui kitu chui ana territory ,pride aliyo nayo simba ni kwa simba wenzie sio wanyama wengine.

chui anaishi peke yake,na eneo husika akikatiza predator mwingine chui lazima apambane naye hakimbii.
Sasa Mfalme anaishi peke yake? Namkubali chui ila namkubali zaidi kama Warrior sio King.Mfalme lazima awe na pride na kingdom to protect na aheshimiwe na wenzake
 
Yeah mfalme wa popote pale akikukuta gladiator amekaa vibaya anamvua bila nyavu..

Huyo sio Mfalme sasa! Mfalme havui anasubiri aletewe mezani! Huyo labda tumwite Shujaa (Warrior) Lakini sio Mfalme! Mfalme anaishi maisha ya Kifalme! Analala muda wote ! Amezungukwa na malkia muda wote! Anapigana pale tu inapobidi
 
Huyo sio Mfalme sasa! Mfalme havui anasubiri aletewe mezani! Huyo labda tumwite Shujaa (Warrior) Lakini sio Mfalme! Mfalme anaishi maisha ya Kifalme! Analala muda wote ! Amezungukwa na malkia muda wote! Anapigana pale tu inapobidi
Hapo upo sahihi.
Simba dume hawindi..ni kulinda territory yake tu.
Japo ni mzuri sana kwenye kuwinda akiamua kuwinda hakosi.
 
Yaani tembo amuogope Simba πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜‚ Unachekesha kweli
 

Very wrong! Kinachombeba simba ni umoja nguvu na mwili wake ulivyo , Simba ni mnyama social sana, huishi kwa makundi na simba akibaki peke yake huwa anatafuta kundi au anakufa. Hakuna simba mmoja au wawili wanaweza muwinda tembo, sahau bali simba wengi ndo huwida tembo. Hii ndo tofauti iliyopo (ushirikiano) tofauti na wanyama wengine simba mmoja akishambuliwa huwa anapata msaada kwa wenzake. Simba hugawana majukumu hasa ya uwindaji wanajua muda mzuri wa kuwinda na muda mzuri wa kupumzika. Factor kubwa hapo ni social factor na ndo hii inambeba mwanadamu hata mbele ya hao simba, mwanadamu in large numbers and social corporation ameweza kuwa mfalme wa kila mnyama duniani.
 
mkuu wewe ndio hujui kitu chui ana territory ,pride aliyo nayo simba ni kwa simba wenzie sio wanyama wengine.

chui anaishi peke yake,na eneo husika akikatiza predator mwingine chui lazima apambane naye hakimbii.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Chui hamna kitu mkuu, chui hana uwezo wa kupambana hata na fisi aliyeshiba . Chui ni mnyama mwenye aibu na muoga sana labda iwe vs wanyama wadogo kama mbwa au jackar . Chui dume aliyeshiba hafui dafu kwa simba jike ni anakimbia au kupanda mti .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…