Usiyoyajua kuhusu nguvu za mnyama simba

Chukua supu ya mbuzi uiweke kwenye gazeti...
 
Huyu mdudu anakula mpaka nyoka tena kwa kumtafuna mithili ya Binadamu akitafuna miwa.
 
Simba sio mwoga aisee, katika Cats Simba na Tiger ni majasiri sana

Simba ananyang'anywa chakula na fisi kwasababu fisi anakuwa kero, anamsumbua simba akila

Chui na Cheater wanaweza kumwogopa fisi lakini simba hapana aisee.

Simba ni mnyama jasiri na mpambanaji sanaa ingawa ana mwili mdogo
 
Mfalme halisi wa pori ni chui.
Huyu mwamba hata simba akikaa vibaya analiwa
Yupo sharp, mkali na anapanda miti lakini sio jasiri na hajiamini hata kama Simba jike

Chui hawezi kumuattack simba ila simba anamuattack Chui

Na Chui ni mwepesi na ana spidi sana ya uwindaji
 
Yeah mfalme wa popote pale akikukuta gladiator amekaa vibaya anamvua bila nyavu..

Huyo ni Jaguar sio Chui, Jaguar anaishi kwenye misitu minene sio kwenye savanna au tambarare

Huyo Jaguar ni paka mkali sana kuliko hata hawa Chui waliopo kwny mbuga zetu
 
Ni mkatili mmoja huyo
Hakuna tofauti hapo
 
Huyo ni Jaguar sio Chui, Jaguar anaishi kwenye misitu minene sio kwenye savanna au tambarare

Huyo Jaguar ni paka mkali sana kuliko hata hawa Chui waliopo kwny mbuga zetu
Huyu paka anamla simba vizuri tu akijichanganua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…