Usiyoyajua Kuhusu Samia UN: Kumbe alitaka kuhutubia Kiswahili! Baada ya Kiswahili kuwa Lugha ya Afrika, Rais Samia kukipaisha kuwa Lugha ya Dunia

Paskali nikujibu hivi mama kapotoka sababu alizotoa ni za ajabu,eti alikosa mkalimani,hii ni aibu sana,wangekuchukua hata wewe tu,kuhusu john kukacha trip za majuu kuna mawili.

Betri kwenye moyo na lugha, kule UN unaweza kustukizwa tu kuwa rais wa USA anataka kuongea na wewe angeongea nini sasa
 
Pasikali.... kanyagia hapo hapoooo. nani anamteua mtu asiyefanana naye? asiyenia naye mamoja? wacha wakusakame watakuwa wa kwanza kukupa hongera by the way nimefurahia ripoti yako maana nimeelewa na kujifunza kitu.
 
Unapokuwa na msimamo chanya na UN ni bora ujitoe, ukiwa memba wa JF kisha unamsimamo chanya na JF ni bora ujitoe. UN si mali ya marekani ni mali ya nchi wanachama, unapoisusa huku ukiwa mwanachama maana yake nini! Jitoe.
Umeelewa hata nilichokiandika kweli?

Nimeongelea mtu kuwa na msimamo kwenye jambo lolote. Nani ameongelea UN na JPM?

Alikua natuma wawakilishi huko kwenye vikao vya UNGA, alitoa hotuba ya kiswahili AU na EA...nilichoshangaa ni mtu kusifiwa kwa nia ya kutaka kuongea kiswahili wakati alikua ana nafasi ya kuongea kiswahili.
 
Ukwli Hawezi kupaisha Lugha ya kiswahili, huu ni ujanja ujanja wa kutaka teuzi.

Mzembe aliyesahau kuwa na mkalimani huyo ndo anatka kukipaisha kiswahili?

Hahahahaha tuache sifa za kinafiki wana JF ni dhambi kusma uongo.
 
Mi nilidhan amehutubia kwa kiswahili kumbe ALITAKA KUHUTUBIA KWA KISWAHILI....bado kwakutaka kwake ( ila hakufanikiwa)bado watu wapuuz wanashangilia...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]THIS KANTREE BWANA
 
Upuuzi mtupu! Tuna wizara husika, tuna ubalozi UN, kikao Cha UNGA Kiko kwenye calendar ya UN kila mwaka; walishindwaje kufanya maandalizi husika kupata mkalimani?! Wacha kutetea ujinga,
 
Lipe makavu Hilo poyoyo, njaa inalitesa Sana na uchu wa uteuzi! Mayala, Njaa, Njala![emoji2][emoji2956]
 
Nimefurahishwa sana na hotuba kutoka kwa raisi wa taifa la Ghana. Ni hotuba iliyokuwa na muunganiko tofauti sana na hotuba ya mama yetu. Walioandika io hotuba bado sana.
Hakika wanaomsifia Hangaya nadhani hawakufuatilia vizuri UNGA!
Kuna VIONGOZI walitoa speech Matata Sana; kwa mfano Joe Biden, Nana Addo wa Ghana na HH wa Zambia!
 
Brother! Usipoteze nguvu na akil zako kuwajibu wapuuzi wa humu jf. Watz wengi ni mburula! Hayajui yanataka nini, wala hayajui yanakosa nini. Jikite kwenye masaala ya kuwaelimisha mambo ya msingi ikiwa ni pamoja na umuhimu wa kupiga kura na kusisimamia kura zao zisiibiwe
 

JPM alikuwa na msimamo gani kuhusu UN?
 
Safi sana Rais Samia Suluhu Hasan. Nashangaa wanaokiponda kiswahili bila kuwa na hoja maalum. Lisu na company yake waendelee tu na juhudi zao za kukiponda kiswahili, eti kwa vile yeye anakitawala kiingereza ndio iwe sababu yakufikiri kuwa huwezi kujenga hoja kwa kiswahili.

Atipasi Lisu angezunguka kwenye kampeni 2020 na kuhutubia watanzania kiingereza pengine angeshinda kwa kishindo.
 
Toka ugombee uwakilishi wa CCM pale Kawe umekuwa sio Pascal tena!
You are somebody else with empty brain, vuvuzela type of person!
Nimeumia sana kumkosa Pascal wa awali. RIP original Pascal, yule aliyemtwanga maswali Magu hadi akaishia kumwita "njaa" kwa utani kulegeza uzito wa maswali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…