Usomaji wa Maandiko ya kidini (Biblia)

Usomaji wa Maandiko ya kidini (Biblia)

Kwanza naomba ujue hii hali Haikukuti pekee yako.. Ni rahisi mtu kuomba Lakini sio rahisi kusoma neno.. ni struggle.. inawezakana tunaongea kwa wepesi ila ni kitia nia kwamba nataka kusoma na kuelewa neno.. unapolisoma unakuwa na uhitaji wa kupata kitu kutoka kile unachokisoma.. pia neno hilo hilo unaweza ukalisoma Kwa sauti kama upo mwenyewe.. rudia rudia ule mstari utajikuta tu unapata insight katika kile unachoma..


Mfano mimi nilisoma hili neno la Yohana 3:16.
16. Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.



Kwa sauti na nilikuwa na wasomea watoto kadri nilivyo lisoma Kwa nguvu na kulirudia nikajikuta napokea kitu kingine tofauti na nilivyolizoea..

Yaani wakati nalisoma likajichambua.. Kwa namn hii.. Yaani Mungu (huyu aliyeumba mbingu na nchi na binadamu)alinipenda kiasi akamtoa Mwana wa pekee ili nisipotee bali niwe na uzima wa milele..


So nimetoa tu namna ambavyo ukilisoma tofauti na mazoea utakapokea pia kitu tofauti na ulivyoluwa unalichukulia.. na hapo ndipo neno linakiwa na maana kwako..
Sasa hicho kifungu kimoja tu cha Yohana, muinjirishaji anaweza akatumia masaa mawili kwenye crusade kukifafanuwa bila wasikilizaji kuboreka, au Mwakasege kifungu hicho tu kimoja kinaweza kuwa ndio somo lake kwa siku hiyo.

Sasa mtu anasoma vitabu kadhaa ndani ya biblia kwa masaa tu unategemea ataelewa nini zaidi ya maluweluwe.

Biblia inasema ukiwa na imani unaweza kuamuru mlima uhame na ukahama, sasa kwa akili zako timamu unadhani kuna imani ya kuhamisha mlima kilimanjaro?

Sasa hapo ndio kazi ya Wainjiristi mlima ni mfano tu lakini ukiwa na imani unaweza kufanya abcd.
 
Ukisoma ukimaliza hakuna jipya.. Narudia neno la Mungu ni jipya kila siku.. unaweza ukatumia warumi 8:11 leo mfano Kwa case ya uponyaji afu ukalitumia kesho wala lisikupe matunda unayo tarajia ukaona Mungu sio mtendaji.. Na ndio maana ni vyema ukajifunza kusoma neno kila siku
Anayeponya ni Mungu, sio Biblia!
Unaweza kupata uponyaji bila kusoma Biblia.
 
Labda nikupe muongozo kidogo, Wakatoliki wote yani Roman, Anglican na Lutheran wana Liturujia, kwenye liturujia kuna injili ya mwaka mzima.

Wanachofanya wachungaji wenye bible knoledge ni kukufafanulia injiri ya siku husika kutokana na lugha ngumu ya kibiblia, kuna kiswahili cha zamani na kiswahili cha kisasa.

Kama kuna sehemu kanisa la Roman Catholic wameferi ni kwenye kuhubiri injiri, hapo ndipo kina Mwamposa walipowapiga bao achana na kuombea wagonjwa na miujiza, watu wa kariba ya Mwamposa akihubiri injiri anaeleweka vizuri.

Makanisa katoliki yamebase kwenye misa retuals, ndio maana Lutheran na Anglican wana wainjilist wao kazi yao ni kuhubiri injili tu kwenye misa, mchungaji au Padre afanye jukumu la kusalisha misa tu, huwezi kusinzia wakati Mwamposa anahubiri injili.

Biblia ya kujisomea mwenyewe tu bila wainjilishaji huwezi kuelewa kitu zaidi ya kuzaliwa kuteswa kufa na kufufuka kwa Yesu tu, itaielewa injili ya Luka labda na matendo ya mitume kwingine utatoka kapa.
Nimekusoma chief..ahsante
 
I know Pastor Chris..Naonaga kama anaongea vitu vya kawaida tu sio vipya sana

Kwamba Pastor Chris Oyakhilome anaongea vitu vya kawaida???!!

Inawezekana tatizo liko upande wako basi mkuu, inawezekana unajaribu kuelewa revelation kwa akili yako ya kawaida wakati hii ni spiritual knowledge mkuu.

Kuna level nne za knowledge kwny bible:

1. Kuna Gnosis;
Hii ni knowledge ya kawaida ambayo mtu hupata kwa kujifunza shuleni, semina, warsha ama kusikiliza toka kwa wengine ama kusoma vitabu nk. Mfano biblia inaposema kwny (1petro 3:7)… “men live with your wives according to knowledge” hilo neno knowledge ni “gnosis” kigiriki, i.e marriage knowledge as taught by the bible. Hii haihusishi revelation kabisa.

2. Kuna Ginosko

Hii ni revelation knowledge, neno revelation linatokana na neno “reveal” maana yake to unveil something hidden.

Hii knowledge ni ile unapata kwa kufundishwa na Roho Mtakatifu mwenyewe.

Mfano ukisoma hosea 4:6 biblia inasema “my people are destroyed for lack of knowledge (revelation). Hilo neno knowledge hapo ukicheki kwny biblia ya kiebrania ni neno “da‛ath” ambalo kigiriki linatafsirika “ginosko”.

Mfano mwingine ni kwny efeso 3:19 …”and to know(ginosko) the love of God which passes all knowledge(gnosis)”. Maana yake huwezi elewa upendo wa Mungu kwa akili ya kawaida bali inahitaji revelation knowledge.

3. Kuna Epignosko/epignosis;
Hii ni zaidi ya ginosko, yaani ni accurate ama precise knowledge.

4. Level ya mwisho ni Eido, hii ni highest level inayokufanya kuwa na awareness. hii unaipata kutokana na kuwa na ginosko

Sorry sijafafanua hizi mbili, niko na assignment kidg ila ukiwa interested nitafanya hivyo kwa baadaye mkuu
 
Kuna watu wanasema soma na vitabu vingine.. usifanye hilo kosa.. wewe kama mkristo soma kile kinachohusiana moja Kwa moja na imani yako.. usije ukacorrupt imani yako
Waraka kwa Wakorinto, wewe msambaa unakuhusu vipi?

Kiswahili rahisi kabisa hicho.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Sasa hicho kifungu kimoja tu cha Yohana, muinjirishaji anaweza akatumia masaa mawili kwenye crusade kukifafanuwa bila wasikilizaji kuboreka, au Mwakasege kifungu hicho tu kimoja kinaweza kuwa ndio somo lake kwa siku hiyo.

Sasa mtu anasoma vitabu kadhaa ndani ya biblia kwa masaa tu unategemea ataelewa nini zaidi ya maluweluwe.

Biblia inasema ukiwa na imani unaweza kuamuru mrima uhame na ukahana, sasa kwa akili zako timamu unadhani kuna imani ya kuhamisha mlima kilimanjaro?

Sasa hapo ndio kazi ya Wainjiristi mlima ni mfano tu lakini ukiwa na imani unaweza kufanya abcd.
Sure neno ni kubwa zaidi ya tunavyolichukulia..
 
Biblia ni kitabu kinachokufundisha historia ya dini yako. Baada ya kuisoma yote na KUIELEWA hakuna kipya utakachojifunza, kilichobakia ni kutekeleza/kufanya kwa vitendo vile ulivyojifunza katika biblia. Funga, fanya maombi, toa sadaka.

Unataka kusoma zaidi? Soma vitabu vya imani za dini nyingine, unaweza kusoma Quran. Itakuongezea kitu, unaweza kufanya kama unajiuliza swali hivi, vipi kama ningezaliwa katika familia ya Kiislamu? Ngoja nisome Quran nione ningekuwa mtu wa namna gani kiimani, pia nijifunze elimu gani ningeipata katika Quran.

Ni ushauri kutoka kwangu Mkristo mwenzio!​
Hiv nawezaje kupata Qur'an?
Na je ioonkatika lugha ya kiswahili?
 
Neno la Mungu ni taa, soma zaburi afu unasoma kama story tafakuri liishi,lisambaze kwa wengine,afu soma kwa muongozo tafuta kitabu cha jesus always by sarah
 
Kwanza naomba ujue hii hali Haikukuti pekee yako.. Ni rahisi mtu kuomba Lakini sio rahisi kusoma neno.. ni struggle.. inawezakana tunaongea kwa wepesi ila ni kitia nia kwamba nataka kusoma na kuelewa neno.. unapolisoma unakuwa na uhitaji wa kupata kitu kutoka kile unachokisoma.. pia neno hilo hilo unaweza ukalisoma Kwa sauti kama upo mwenyewe.. rudia rudia ule mstari utajikuta tu unapata insight katika kile unachoma..


Mfano mimi nilisoma hili neno la Yohana 3:16.
16. Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.



Kwa sauti na nilikuwa na wasomea watoto kadri nilivyo lisoma Kwa nguvu na kulirudia nikajikuta napokea kitu kingine tofauti na nilivyolizoea..

Yaani wakati nalisoma likajichambua.. Kwa namn hii.. Yaani Mungu (huyu aliyeumba mbingu na nchi na binadamu)alinipenda kiasi akamtoa Mwana wa pekee ili nisipotee bali niwe na uzima wa milele..


So nimetoa tu namna ambavyo ukilisoma tofauti na mazoea utakapokea pia kitu tofauti na ulivyoluwa unalichukulia.. na hapo ndipo neno linakiwa na maana kwako..
Ahsante sana kaka
 
unasoma kama kitabu cha hadithi, namshukuru Mungu mimi nikisoma naelewa na kamwe hilo neno nililosoma halitoki na huwa napata wasaa wa kuwasadia wengine
 
Okay endelea na mtazamo wako.. siku ukielewa maana ya hizo nyaraka utajua ulichokiandika..
Sina uelewa mkubwa lakini naelewa, hasa kitabu cha Ufunuo wengi hawajui kuna mengi mule yameshatokea siyo mambo yajayo.

Mnyama 666 mpinga kristo alikuwa mtawala wa dola la Rumi.
 
Back
Top Bottom