George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Acheni kuipa dini ugumu hivi. Mungu hajafanya dini kuwa ngumu kiasi hiki mnachoaminisha watu. Haihitaji tafakari yoyote kuisoma biblia, zingine ni mbwembwe tu za hapa na pale!Kuna tofauti ya kusoma Biblia na kusoma kitabu cha historia. Kusoma Biblia kunahitaji kutafakari, kusoma kitabu cha historia kunahitaji kuweka kumbukumbu (kama unavyosema Biblia kwa sasa).
Kwahiyo ukila malaya saa hii hiyo sio dhambi?Hakuna dhambi mpya dhambi zote Kristu alishazifia pale Msalabana kwa hio wewe ni kiumbe kipya kisicho na dhambi na kisichotenda dhambi
Unatakiwa usome Ili ujue kuwa Yesu alisema Ili update uzima wa milele lazima uamini kuwa Mungu ni mmoja na yeye Yesu ni nabii tu aliyetumwa na huyo Mungu mmojaInawezekana hapa si mahala pake lakini ningependa kusaidiwa na wahusika ambao najua wapo hapa.
Ni vile nimelitafuta jukwaa la dini katika forums zilizopo na sijaliona.
HIvi, mantiki ya kusoma Biblia iko wapi? Kwakifupi tu ni kwamba sisi wengine (kama walivyo wengi) tumezaliwa katika dini. Kanisani nakwemda toka sijitambui mpaka najielewa hivi.
Nikiwa mtoto mdogo kabisa nimeshashika tayar amri zoote kulingana na utaratibu wa kanisa ambalo nimekua nikisali (ambalo nimekuta wazaz wanasali nami nikafuata humo, though baada ya kuoa nikaamua kubadili mwelekeo na ninasali kanisa lenye mlengo mwingine, japo ni ukristo tu kama ambavyo nilizaliwa).
Sasa miaka yoote hii, tika sijui kusoma, nimekua nikisia mahubiri, maandiko ya biblia, mpaka nafikia kujua kusoma ,ujana na sasa utu uzima, nimekua nikisikia na kusoma habar za Mungu na Yesu na mitume wake na historia yao nzima katika maandika na hii imenifanya kuwa kama naijua biblia.
Sio yote in such na sijawahi kuisoma yoote kimfululizo nikaimaliza but ile kugusa hapa na pale na kusikiliza na kusikiliza, tena na tena all my life mpaka sasa third floor ya umri. Na hii imenifanya kwamba, 90% ya chochote utakacho au yeyote yule atakayezungumza kuhusu maandika ya Biblia, NAVIJUA.
Hali hii kiukwel, inanitaabisha sana.
Maana hata leo asubuh nilipochukua biblia nisome (maana niko kwenye maombi yangu tu binafsi) honestly,nimejikuta kuboreka kias flan na ndio likanijua swali hili nikajiuliza, NASOMA MAANDIKO HAYA ILI IWEJE?? ILI NIPATE NINI??MBONA SIONI KIPYA, I KNOW THESE STUFFS, AU KUNA NAMNA LABDA NAPASWA KUISOMA KIUTOFAUTI BUT HOW?
ndio namuomba Mungu kabla ya kusoma but MBONA NILICHOKIONA JANA NA JUZI NDIO HIKI HIKI AMBACHO TAYARI NAKIJUA???...
kuna ulazima gani wa kuendelea kusoma mambo ambayo tayar nimekua nikiyasikia na kusoma miaka mingi mpaka leo??...
Kuna kitu watu huwa nasikia wakisema na pia naamini inawezekana, kknaitwa REVELATION /UFUNUO(MAFUNUO). how do i come to this point.
Yan kwamfano leo nimeanza kusoma Mathew Chapter 2, ile kuanza tu habari kuzaliwa kwa Kristo, akilini tayari ufahamu wangu ukajawa na ile flow nzima ya matukio mpaka mpaka kufa kwake, sasa najiuliza, NIENDELEE KUSOMA ILI IWAJE??????..
Wakuu wenye dini na imani, naomba mawazo na kusaidiwa katika hili.
Natangukiza shukrani.
Rabbon Tayana-wog Carleen matunduizi na wengine wote
View attachment 3032379
Tatizo liko hapoπActually zile ni hadith za kale in first place, mengine yanafuata baada ya hapo kama revelations na mafunzo toka kwenye hizo hadith
Sio dhambi Ila km ulikuepo enzi Musa na Torati kabla ujio wa Yesu hio ni dhambi kwa mujibu wa Amri za Torati ya MusaKwahiyo ukila malaya saa hii hiyo sio dhambi?
Hilo neno natakiwa kulisoma kutoka wapi?mfano unaomba uponyaji, utatakiwa kusoma neno lililobeba ahadi ya uponyaji, hautakiwi kusoma biblia (mkusanyiko wa maneno).
Acheni pia ku'simplify' dini to the extent ya kufanya dini isiwe/ikose maana. To make religion too simple to have any meaning in your life. Acheni kufanya hivyo pia.Acheni kuipa dini ugumu hivi. Mungu hajafanya dini kuwa ngumu kiasi hiki mnachoaminisha watu. Haihitaji tafakari yoyote kuisoma biblia, zingine ni mbwembwe tu za hapa na pale!
Hamna alipokosea. Kwani nini maana ya hadithi mkongwe?Tatizo liko hapoπ
Huna imani, Imani ndio msingi wa kuielewa biblia.
Sawa sawa chief..Matendo ya Mitume 2 (Biblia Takatifu)
Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―
Β³β· Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu? (how do i came to this point?)
Β³βΈ Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.
Kwa Mungu hakuna Dini Dini ni creation ya mwanadamu km ilivyo kwamba mbinguni kwa Mungu hakuna usiku hakuna Mchana hakuna majira hakuna saa kuna Nuru ya Uzima tu kwa hio suala Dini halimuhusu Mungu linamuhusu mwanadamu mwanadamu ndie alietengeneza DiniAcheni kuipa dini ugumu hivi. Mungu hajafanya dini kuwa ngumu kiasi hiki mnachoaminisha watu. Haihitaji tafakari yoyote kuisoma biblia, zingine ni mbwembwe tu za hapa na pale!
Anavyo ongea huyu Mwamba hata Bibilia haielezei hivi πππUMenena vyema.ni kwel kabisa
Unatubu nini wakati huna dhambi? Dhambi zako Yesu mwenyewe Yesu alishatubu kwa ajili yako pale Msalabana "Baba uwasamehe kwa maana hawajui walitendalo" sasa wewe unatubu nini wakati Yesu alishamaliza kila kitu pale Msalabana au Wewe ni Mkristu Jina?Sawa sawa chief..
Ngoma inakuja sasa tayar ushatubu ,mbona bado kasheshe zinakua nyingi??
asante,, nasubiri aanze hapaNakukumbusha tu yupo Tanga wiki hii
Sasa hapa chief, hii inaweza kunivuruga zaid, kwamba unageuka muislam?Ila jambo la kushangaza hapo ukiamini hayo Maneno ya Yesu ya Yohana 17:3
Na ukifanya vitendo alivuovifamya Yesu katika hiyo Mathayo 26:39
alipokuwa anamuomba na kumsujudia Mungu wake automatically unageuka kuwa Muislam
Jenga IMANI YAKO KWA KRISTO, atakuongoza. Ukiwa na mashaka na unaehitaji msaada wake, utaupataje?Sawa sawa chief..
Ngoma inakuja sasa tayar ushatubu ,mbona bado kasheshe zinakua nyingi??
Lakin Maandika hayo hayo yanam quite Yesu akisema "hakuja kubadilo wa kutengea torati wala manabii". Kwamba kila kitu kakiacha kama alivyokikuta, hii imekaaje??Sio dhambi Ila km ulikuepo enzi Musa na Torati kabla ujio wa Yesu hio ni dhambi kwa mujibu wa Amri za Torati ya Musa
Yesu alizifia dhambi hizo pale Msalabana akatutakasa kuanzia hapo hakuna dhambi
Mkongwe?????Hamna alipokosea. Kwani nini maana ya hadithi mkongwe?
Hata walimu wazuri wa mashuleni walifundishwa na walimu wa zaman hata wafanyakaz pia,,mimi mwakasege hua namwelewa sana.Uko sahihi Ms R lakini hata mimi nilikua na mtazamo huu na pia sio kwamba yeye si mwalim mzuri hata sasa no, but nilipoanza kuwafuatilia watu wengine haswa wa nje mfano Dr. Myles Monroe, nikaja kuanza kuona kumbe hata hawa akina mwakasege pia wanajifunza vitu vingi toka hukoo so nimepunguza kidogo kumfuatilia maana vingi ambavyo nimekua nikimsikia, nikagundua bimeshaongelewa na watu miaka mingii sanaa, yan ni sio vipya japo kwa huku kibongo bongo vinaonekana vipya
ππUnatubu nini wakati huna dhambi? Dhambi zako Yesu mwenyewe Yesu alishatubu kwa ajili yako pale Msalabana "Baba uwasamehe kwa maana hawajui walitendalo" sasa wewe unatubu nini wakati Yesu alishamaliza kila kitu pale Msalabana au Wewe ni Mkristu Jina?