Chatterman
Senior Member
- May 25, 2024
- 185
- 378
Acha porojo bhana!!!Kwa hiyo, umeandika nini sasa? Kusema wewe ni Mkristo ina mchango/maana gani kuhusiana na swali alilouliza aliyeanzisha uzi huu? Kama ukisoma bila kutafakari ina maana unasoma bila kupata maana ya kile unachokisoma - yaani kusoma kama kasuku. Kusoma kwa kutafakari ni kusoma kwa kutumia akili/intelligent reading au reflection. Sasa wewe unasema tusome Biblia bila kutumia akili, siyo? Mimi siwezi kufanya hivyo na wala siwezi kumshauri mtu anahitaji ushauri namna hiyo. Kukosoma Biblia bila kutafakari ni kama kutafuta kitu mchangani huku umefumba macho. Kwa Kiingereza ningeweza kusema unintelligent reading of the Bible na hakuna kitu kibaya kama kufanya hivyo. Mungu amekupa rational facultities na inabidi tuzitumie na siyo kusoma blindly.
Si ndivyo unavyotaka wewe? Sasa unaposema tusome Biblia bila kutafakari maana yake ni nini? Hebu eleza hapa. Nasubiri.Acha porojo bhana!!!
Mtu ameweza kutumia akili kuweka uzi JF useme anashindwa kutumia akili hiyohiyo kuisoma Biblia, acha dharau!
Kuandika huu uzi tu ametumia nguvu kubwa kuliko nguvu anayotakiwa kuitumia kuisoma Biblia.
Soma kama unavyosoma masimulizi/hadith zingine, unataka kutafakari nini sasa na kitu umekisoma zaidi ya mara 10?Si ndivyo unavyotaka wewe? Sasa unaposema tusome Biblia bila kutafakari maana yake ni nini? Hebu eleza hapa. Nasubiri.
Mkuu ulikuwanga Mod kitambo sana 😂😂😂Si ndivyo unavyotaka wewe? Sasa unaposema tusome Biblia bila kutafakari maana yake ni nini? Hebu eleza hapa. Nasubiri.
Oi 😁Hebu nifafanulie kwanza
Injiri❌Labda nikupe muongozo kidogo, Wakatoliki wote yani Roman, Anglican na Lutheran wana Liturujia, kwenye liturujia kuna injili ya mwaka mzima.
Wanachofanya wachungaji wenye bible knowledge ni kukufafanulia injiri ya siku husika kutokana na lugha ngumu ya kibiblia, kuna kiswahili cha zamani na kiswahili cha kisasa.
Kama kuna sehemu kanisa la Roman Catholic wameferi ni kwenye kuhubiri injiri, hapo ndipo kina Mwamposa walipowapiga bao achana na kuombea wagonjwa na miujiza, watu wa kariba ya Mwamposa akihubiri injiri anaeleweka vizuri.
Makanisa katoliki yamebase kwenye misa retuals, ndio maana Lutheran na Anglican wana wainjilist wao kazi yao ni kuhubiri injili tu kwenye misa, mchungaji au Padre afanye jukumu la kusalisha misa tu, huwezi kusinzia wakati Mwamposa anahubiri injili.
Biblia ya kujisomea mwenyewe tu bila wainjilishaji huwezi kuelewa kitu zaidi ya kuzaliwa kuteswa kufa na kufufuka kwa Yesu tu, itaielewa injili ya Luka labda na matendo ya mitume kwingine utatoka kapa.
Pihechidii holda huyoooo 🤣🤣🤣🤣Injiri❌
Injili✅
Kuferi❌
Kufeli✅
yes sirOi 😁
Ukielewa ujumbe inatosha, acha unoko mkongwe!Injiri❌
Injili✅
Kuferi❌
Kufeli✅
Kwa kawaida, Kila mwaka unatakiwa usome BIBLIA mwanzo Hadi ufunuo na kuimaliza,Inawezekana hapa si mahala pake lakini ningependa kusaidiwa na wahusika ambao najua wapo hapa.
Ni vile nimelitafuta jukwaa la dini katika forums zilizopo na sijaliona.
HIvi, mantiki ya kusoma Biblia iko wapi? Kwakifupi tu ni kwamba sisi wengine (kama walivyo wengi) tumezaliwa katika dini. Kanisani nakwemda toka sijitambui mpaka najielewa hivi.
Nikiwa mtoto mdogo kabisa nimeshashika tayar amri zoote kulingana na utaratibu wa kanisa ambalo nimekua nikisali (ambalo nimekuta wazaz wanasali nami nikafuata humo, though baada ya kuoa nikaamua kubadili mwelekeo na ninasali kanisa lenye mlengo mwingine, japo ni ukristo tu kama ambavyo nilizaliwa).
Sasa miaka yoote hii, tika sijui kusoma, nimekua nikisia mahubiri, maandiko ya biblia, mpaka nafikia kujua kusoma ,ujana na sasa utu uzima, nimekua nikisikia na kusoma habar za Mungu na Yesu na mitume wake na historia yao nzima katika maandika na hii imenifanya kuwa kama naijua biblia.
Sio yote in such na sijawahi kuisoma yoote kimfululizo nikaimaliza but ile kugusa hapa na pale na kusikiliza na kusikiliza, tena na tena all my life mpaka sasa third floor ya umri. Na hii imenifanya kwamba, 90% ya chochote utakacho au yeyote yule atakayezungumza kuhusu maandika ya Biblia, NAVIJUA.
Hali hii kiukwel, inanitaabisha sana.
Maana hata leo asubuh nilipochukua biblia nisome (maana niko kwenye maombi yangu tu binafsi) honestly,nimejikuta kuboreka kias flan na ndio likanijua swali hili nikajiuliza, NASOMA MAANDIKO HAYA ILI IWEJE?? ILI NIPATE NINI??MBONA SIONI KIPYA, I KNOW THESE STUFFS, AU KUNA NAMNA LABDA NAPASWA KUISOMA KIUTOFAUTI BUT HOW?
ndio namuomba Mungu kabla ya kusoma but MBONA NILICHOKIONA JANA NA JUZI NDIO HIKI HIKI AMBACHO TAYARI NAKIJUA???...
kuna ulazima gani wa kuendelea kusoma mambo ambayo tayar nimekua nikiyasikia na kusoma miaka mingi mpaka leo??...
Kuna kitu watu huwa nasikia wakisema na pia naamini inawezekana, kknaitwa REVELATION /UFUNUO(MAFUNUO). how do i come to this point.
Yan kwamfano leo nimeanza kusoma Mathew Chapter 2, ile kuanza tu habari kuzaliwa kwa Kristo, akilini tayari ufahamu wangu ukajawa na ile flow nzima ya matukio mpaka mpaka kufa kwake, sasa najiuliza, NIENDELEE KUSOMA ILI IWAJE??????..
Wakuu wenye dini na imani, naomba mawazo na kusaidiwa katika hili.
Natangukiza shukrani.
Rabbon Tayana-wog Carleen matunduizi na wengine wote
View attachment 3032379
Nimehuzunika sana kuniita Sir, wakati Mimi ni Mnyantuzu wa Ikungulyabashashiyes sir
24/7 sio 22/7mchana na usiku 22/7.
Nmekosea 24/724/7 sio 22/7
Inabidi upate ufahamu sahihi wa nini maana ya mwanadamu kua ndani ya Kristo na Kristo kua ndani ya mwanadamu(Kuokoka),ufahamu wa dhambi kwake,ufahamu wa haki nk(yaani mafundisho ya Kristo na kumfanania yeye maana ametuita tufanane nae)Mathayo 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁷ Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.
¹⁸ Kwa maana, amin, nawaambia ,Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya torati haitaoondoka ,hata yote yatimie.
Naomba kuuliza.
Nikiua sasa hivi sihesabiwi dhambi?
Nimeitikia wito baba mchungaji wangu,Carleen umeitwa huku, mama mchungaji wangu.