Usomaji wa Maandiko ya kidini (Biblia)

Usomaji wa Maandiko ya kidini (Biblia)

Biblia huijui ndugu, sikiliza mahubiri ya watu wa rank kubwa zaidi yako kama kina uebert angel uone na usikie nn maana halisi ya ufunuo, biblia inaishi isipo kufunulia uielewe na hauta weza utasoma tu kwa kua unaweza kusoma then basi.

Hata me niliposoma bandiko lake cha kwanza akanijia kichwani Uebert Angel maana nimetoka kumsikiliza muda mfupi na ninamsikiliza kila wakati.

Linapokuja suala la revelation, Uebert Angel ni next level aisee.
 
Hata me niliposoma bandiko lake cha kwanza akanijia kichwani Uebert Angel maana nimetoka kumsikiliza muda mfupi na ninamsikiliza kila wakati.

Linapokuja suala la revelation, Uebert Angel ni next level aisee.
Nikiri wazi sikuwah mfahamu, ahsante kwa hili, nitaanza kumfuatilia nijifunze vitu
 
Naweza nikakubaliana na wewe

Mfatilie huyu Prophet Uebert Angel ndio utajua hujui na unahitaji kujua vingi sana.

Kama level ya revelation itakutatiza, mfatilie Pastor Chris Oyakhilome, ni watu ambao wanafundisha same message lakini Pastor Chris anafundisha in the most simplified language.
 
H

ujasoma vizuri rafiki yangu neno ni jipya kila siku..
Huwa inasema hii kila siku, na kwa namna flan naweza amini BUT,
inategemea na unavyolisoma kama unascan ndio litakuwa halimanufaa yoyote kwako
ndio maana nikajiuliza leo ,inabid iweje ili mtu uwe unasoma katika namna isiyoitwa scanning?? Yan nisome vipi, kwamfano wewe how do you do it??
lakini kama ni kwaajili ya ufahamu haliwezi kuwa sawa..
How this??? Maana binafs mpaka leo kufikia hatua hii ni kwamba am fed up!! Naona kabisa kuna kitu am missing katika usomaji probably maana mbona habar hiz ni zile zile, zinawezaje zikafanyika upya kunipatia ufaham mpya everytime??

How do you do it??
 
Umeshawahi kujiuliza kwanini? unaweza kushinda mtandaoni siku nzima ukiperuzi habari mbalimbali bila kuchoka lakini ukianza utaratibu wa kusoma biblia hata dakika chache unaanza kupata usingizi ?
Mtandaoni unakutana na habari mpya lakini maandiko ya biblia ni yaleyale, ndio maana akisoma biblia anasinzia ila akiwa mtandaoni hasinzii.
 
Mfatilie huyu Prophet Uebert Angel ndio utajua hujui na unahitaji kujua vingi sana.

Kama level ya revelation itakutatiza, mfatilie Pastor Chris Oyakhilome, ni watu ambao wanafundisha same message lakini Pastor Chris anafundisha in the most simplified language.
I know Pastor Chris..Naonaga kama anaongea vitu vya kawaida tu sio vipya sana
 
Mtandaoni unakutana na habari mpya lakini maandiko ya biblia ni yaleyale, ndio maana akisoma biblia anasinzia ila akiwa mtandaoni hasinzii.
Jibu zuri kaka..
Na mimi nimesema hapo nikatoa mfano, leo i was about to read certain chapter in nee testament, lakin nikaboreka maana nikafikiri, mbona hiz bmhabar zote nishazisoma na kuzisikia, sasa nisome tena ili iweje????

Ndio maana naukiza, au kuna namna mpya ya kusoma napaswa kuifahamu?
 
Inawezekana hapa si mahala pake lakini ningependa kusaidiwa na wahusika ambao najua wapo hapa.
Ni vile nimelitafuta jukwaa la dini katika forums zilizopo na sijaliona.

HIvi, mantiki ya kusoma Biblia iko wapi? Kwakifupi tu ni kwamba sisi wengine (kama walivyo wengi) tumezaliwa katika dini. Kanisani nakwemda toka sijitambui mpaka najielewa hivi.
Nikiwa mtoto mdogo kabisa nimeshashika tayar amri zoote kulingana na utaratibu wa kanisa ambalo nimekua nikisali (ambalo nimekuta wazaz wanasali nami nikafuata humo, though baada ya kuoa nikaamua kubadili mwelekeo na ninasali kanisa lenye mlengo mwingine, japo ni ukristo tu kama ambavyo nilizaliwa).

Sasa miaka yoote hii, tika sijui kusoma, nimekua nikisia mahubiri, maandiko ya biblia, mpaka nafikia kujua kusoma ,ujana na sasa utu uzima, nimekua nikisikia na kusoma habar za Mungu na Yesu na mitume wake na historia yao nzima katika maandika na hii imenifanya kuwa kama naijua biblia.

Sio yote in such na sijawahi kuisoma yoote kimfululizo nikaimaliza but ile kugusa hapa na pale na kusikiliza na kusikiliza, tena na tena all my life mpaka sasa third floor ya umri. Na hii imenifanya kwamba, 90% ya chochote utakacho au yeyote yule atakayezungumza kuhusu maandika ya Biblia, NAVIJUA.

Hali hii kiukwel, inanitaabisha sana.
Maana hata leo asubuh nilipochukua biblia nisome (maana niko kwenye maombi yangu tu binafsi) honestly,nimejikuta kuboreka kias flan na ndio likanijua swali hili nikajiuliza, NASOMA MAANDIKO HAYA ILI IWEJE?? ILI NIPATE NINI??MBONA SIONI KIPYA, I KNOW THESE STUFFS, AU KUNA NAMNA LABDA NAPASWA KUISOMA KIUTOFAUTI BUT HOW?
ndio namuomba Mungu kabla ya kusoma but MBONA NILICHOKIONA JANA NA JUZI NDIO HIKI HIKI AMBACHO TAYARI NAKIJUA???...

kuna ulazima gani wa kuendelea kusoma mambo ambayo tayar nimekua nikiyasikia na kusoma miaka mingi mpaka leo??...

Kuna kitu watu huwa nasikia wakisema na pia naamini inawezekana, kknaitwa REVELATION /UFUNUO(MAFUNUO). how do i come to this point.

Yan kwamfano leo nimeanza kusoma Mathew Chapter 2, ile kuanza tu habari kuzaliwa kwa Kristo, akilini tayari ufahamu wangu ukajawa na ile flow nzima ya matukio mpaka mpaka kufa kwake, sasa najiuliza, NIENDELEE KUSOMA ILI IWAJE??????..

Wakuu wenye dini na imani, naomba mawazo na kusaidiwa katika hili.

Natangukiza shukrani.
Rabbon Tayana-wog Carleen matunduizi na wengine wote

View attachment 3032379
Nimekuelewa.....haikukuti wewe tu ni wengi
Niko safrini....

Nitarudi
 
Hivyo inakuwezesha kuielewa Biblia vyema na pia kuisoma na kuitafakari kwa wakati, na kadri unavyozidi kudumu kwenye kanisa na ndivyo unavyozidi kuisoma zaidi na zaidi na kuielewa
Shukrani, nafikiri hapa labda ndio kunaweza kuwa na point.
Hiv mtu anaposema "kuitafakari" biblia, anakua anamaanisha nini??
Ni kwamba kukaa kuiwaza na ku memorize au what does it mean? Maana hiv vitu nafikiri havifundishwi sawa sawa na hawa watu wengi wanafahamika kama waalimu wa neno la Mungu.

Natafakari vipi bible?
 
Mtu hafundishwi baiskeli mara mbili akishajua
Nimekusoma chief, ila kwa hapa mimi nafikiri hii kitu nahitaji kujua zaidi.. level niliopo nimekaa na kugundua kwamba, i know the stories na histories but WHAT IS THE ESSENCE of all this stuffs???
 
Mbona husemi kua kila siku unakula chakula na matokeo yake unayajua kua ni kushiba tu na kukujenga kiafya,mbona huachi kula?

Endelea tu kusoma unachokiamini ili iwe ni kama unajikumbusha,au anza kuwafundisha wasiojua ili iwe ndio njia mojawapo kwako kua na kumbukumbu nayo na ikujenge kiimani zaidi,

Atakuja kuongezea Mama mchungaji Donatila
Ahsante sana chief. Nimekuelewa ingawa nahitaji kwemda beyond hapa nilipo na hiki umesema maana naona ndipo nilipo kwasasa and i need new stuff out of the same stuff
 
Okay,Mkuu Biblia ni pana na kuna mitazamo miwili ya kusoma, 1. Mtazamo wa kawaida ambao ndiyo huo unaoitumia na wa pili 2. Kutazama unabii na utimilifu wake haswa kukijua kitabu cha Ufunuo. Nicheki +255762425312 na tutajifunza bure kabisa kama upo Dar-es-Salaam na kama upo mkoani itakuwa kwa Zoom meeting
Nashukuru, honestly, i will contact you
 
Back
Top Bottom