Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Ngosha wane,,unaharibu uzi wawatuuuNiite Ngoshi Wane sio Sir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngosha wane,,unaharibu uzi wawatuuuNiite Ngoshi Wane sio Sir
Mungu hana muda wa kukuwekea wewe mafumbo, Mungu akuwekee mafumbo ili iweje?Nimeitikia wito baba mchungaji wangu,
Ivan,
Nimesoma comments, wengi wamekushauri vyema kabisa..!! Neno la Mungu wetu ni jipya kila iitwapo Leo, Neno la Mungu halizoeleki, halichuji, wala haliboi kabisa..!!
Unaiona tofauti sababu unalisoma Neno la Mungu kama unasoma hizi makala nyingine, huwa unasoma Neno mpaka unahisi 'mtetemo' flani hivi kwenye moyo wako..? Unaona kabisa hichi hasa ndiyo hasa ulitamani kukisikia kwa wakati huo..? Ama unasoma Neno kana kwamba unasoma Jibu la kilichokuwa kinakutatiza hasa kwenye maisha yako..?
Kama jibu lako ni Hapana, basi itafute hasa kuijua nguvu iliyopo kwenye Neno la Mungu, Biblia inasema Neno la Mungu ni Pumzi ya Mungu, maana yake siyo maneno tu Hapana, ila ni maneno yenye 'uhai' ndani yake..!!
Hivyo basi ili uielewe Biblia vizuri inakubidi ukae darasani kwa Roho Mtakatifu na umruhusu akufundishe vile apendavyo yeye mwenyewe. Muombe Roho wa Mungu akufundishe, kabla ya kuanza kusoma mruhusu Roho Mtakatifu akufundishe na kukuongoza,
Natumaini unafahamu Roho Mtakatifu ndiye msaidizi na muangalizi wetu tuliyeachiwa baada ya Bwana wetu Yesu kurudi Mbinguni, na Biblia inatusisitiza kabisa kuwa Roho Mtakatifu hutuombea kwa kuugua kusikotamkika..!! Hivyo jitahidi kabla hujaanza kusoma Biblia, Omba kwanza usaidizi wa Roho, ili kufahamu hasa hekima na ufunuo uliopo kwenye Neno..!!
1 Wakorintho 2 : 10-11
10 Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu. 11 Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila Roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.
Ivan Stepanov, thank you. Nauachia huu uzi 😅😅Ngosha wane,,unaharibu uzi wawatuuu
😂 😂 😂Mungu hana muda wa kukuwekea wewe mafumbo, Mungu akuwekee mafumbo ili iweje?
Sawa Mr. George...Mungu hana muda wa kukuwekea wewe mafumbo, Mungu akuwekee mafumbo ili iweje?
Asante Carleen!Sawa Mr. George...
Na hakuna anayelazimishwa mkuu, kila mtu aishi vile anavyoona yeye ni sawa, wengine tumemuona Mungu kwenye maisha yetu, wacha tuendelee kumuamini..!!😂 😂 😂
Mambo mengi ni myths tu halafu Waafrika ndio tunaumizwa sana na hizi dini hasa huu Ukristo. Angalia China, Japan, Korea hawana stress za kijinga zinazo sababishwa na hizi dini hasa ukristo.
Hakuna asiyemuamini Mungu, Sisi waafrika tumekuwa watumwa wa hizi dini hasa Ukristo. Inawezekana wewe umemuona Mungu kupitia dini lakini kumbuka kuna Wajinga wengi wamekuwa kama misukule. Wameshindwa hata kuwa na maamuzi na maisha yaoNa hakuna anayelazimishwa mkuu, kila mtu aishi vile anavyoona yeye ni sawa, wengine tumemuona Mungu kwenye maisha yetu, wacha tuendelee kumuamini..!!
Mbona sijakushauri kitu au unamsemea mleta mada? Pole sana. Ngoja nikatafari maneno fulani ya Biblia kabla sijalala. Eti wengine wanasoma tu kama kasuku! Shauri yao.Toka hapa na ushauri wako wa ovyo!
Weh katafakari tu!Mbona sijakushauri kitu au unamsemea mleta mada? Pole sana. Ngoja nikatafari maneno fulani ya Biblia kabla sijalala. Eti wengine wanasoma tu kama kasuku! Shauri yao.
Neno linasema ktk 1 YOHANA 3:4 'Kila atendaye dhambi afanya uasi,kwakua dhambi ni uasi.Sina muda wa audio.
Kosoa kwa maandishi kwa uelewa wako sio kwa mawazo ya wengine.
Nionyesha mstari unaosema alitengua torati.
Ssaasssa je! Weee kila unaloambiwa unalibeba kama lilivo😊! Utabaa
AHsante sana, niseme tu hii class au bideo hii ya huyu nwana nimeshawahi iona.
Ameelezaa yooooote hayo nakubaki na ninaelewa, but
swali langu ni hili, HOW DO YOU COME INTO ACQUIRING ALL THOSE SPOKEN STUFFS???
nimeshajua hizo ginosco, epigniss etc, HOW DO I THEY COME INTO ME?????.
666 ni mwili wako mwanadamu..... chapa kwenye paji la uso ni nia ovu moyoni na chapa kwenye mikono ni matendo maovu ambayo yote hayo yana tokana na huyo mnyama (mwili) yaani kuzifuata tamaa za mwili ....chapa ya mnyama maana yake ni DHAMBI👉 siyo mtu fulani au kiumbe fulani kijacho au kipitacho kwa sababu imeandikwa wenye chapa ya huyo mnyama ndiyo watakao ingia motoni na tunajua kuwa kitu pekee kinacho mpeleka mtu motoni ni dhambi ....kwenye ufunuo 666 pia maana yake ni moja na yale maandiko yanayo sema KAHABA mkuu ambaye wafalme wamezini naye huyo KAHABA ndiyo 666 (yaani mwili wako ) na (wafalme ni nafsi inayo utawala mwili) kahaba kulewa kwa maombi ya watakatifu ni wachamungu kuzishinda tamaa za mwili ambao ndiyo huyo kahaba .....hivyo hizo funuo mbili maana yake ni moja .....huyo kahaba na 666 maana yake ni moja tu kuzini na huyo kahaba ni kufuata tamaa za mwili kwa sababu nguvu ya dhambi ipo kwenye miili yetu.👉kuhusu kuuza wala kununua isipokuwa watakuwa na chapa ya mnyama) hapo nadhani umesha jua maana yake, kwa kuwa chapa ya mnyama ni DHAMBI hivyo maana yake ni kuwa kila kitu atendacho mwadadamu kitakua kiovu chenye kutawaliwa na dhambi itokanayo na tamaa za mwili ...sasa ikiwa huyo mnyama ni papa je waliokufa kabla ya kuwako papa wataingia peponi ? Je ikiwa huyo mnyama ni kiumbe kijacho je walio kufa kabla ya hicho kiumbe wataingia peponi wote ? Kwa vyovyote vile nilazima huyo mnyama yupo sikuzote za mwanadamu duniani....maana imeandikwa wenye chapa yake ndiyo watakao tupwa motoni je.. chapa ni nini kama siyo dhambi maana ni dhambi tu ndiyo itakayo mpeleka mtu motoni .mkuu , kidogo unaweza nifafanulia 666 na zile events zitakazotokea mpka kunatokea kuuza na kutokuuza bila ya chapa ya mpinga kristo 666 na ujio wa yesu? mana huwa nachanganyikiwa sana.
HAYA NI MAFUNDISHO YA INJILI FEKI ZA MADHEHEBU YA DINI ...NENO DHEHEBU MAANA YAKE NI HEKATU LA SHETANIIli uweze kusoma kitabu (biblia) na kuelewa au kupata ufahamu wa juu zaidi lazima uyajue yafuatayo:-
1.Majira saba za kanisa na manabii waliongoza majira hizo.
2.Hatua kumi za uumbaji.
3.Vizazi vinne vya kanisa toka kiuno cha Ibrahimu na walioongoza hivyo vizazi.
4.Nyota 12 zilikatika ufunuo 12:1.
Sababu kila kilichoandikwa katika biblia kiliandikwa kitimie maana Muumba anafanya kazi kwa majira au wakati.
Warumi 11:36
Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.
Zekaria 14:9
Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na jina lake moja.
Uebert Angel aliyenaswa na camera za Aljazeera akifanya biashara ya magendo ya dhahabu kutoka Zimbabwe?Hata me niliposoma bandiko lake cha kwanza akanijia kichwani Uebert Angel maana nimetoka kumsikiliza muda mfupi na ninamsikiliza kila wakati.
Linapokuja suala la revelation, Uebert Angel ni next level aisee.
Huyo Uebert Angel ni gold mafia pia.Nikiri wazi sikuwah mfahamu, ahsante kwa hili, nitaanza kumfuatilia nijifunze vitu
Kaka yanayokukuta wewe kama yanayonikuta mimi ila kwangu naona ni zaidi.Jibu zuri kaka..
Na mimi nimesema hapo nikatoa mfano, leo i was about to read certain chapter in nee testament, lakin nikaboreka maana nikafikiri, mbona hiz bmhabar zote nishazisoma na kuzisikia, sasa nisome tena ili iweje????
Ndio maana naukiza, au kuna namna mpya ya kusoma napaswa kuifahamu?