Ustawi wa Jamii walivyoharibu maisha yangu, no# 1

Ustawi wa Jamii walivyoharibu maisha yangu, no# 1

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,052
Reaction score
2,995
Habari za jioni ndugu na jamaa humu ndani leo nimeona nizungumzie jambo moja ambalo linaathiri Jamii yetu bila kujua na limekuwa ni tatizo ambalo katika maisha ya watu wengi.

Wapo waliouza nyumba zao, waliokimbia miji, pia wapo ambao mpaka sasa naandika huu Uzi wapo jela, japo hawana hatia wengine ndio hao wametopea kwenye mapombe.

Pia kumekuwa naongezeko la vikundi tofauti tofauti vya kihalifu nchini kama vile wakolea "WEUSI" pale Mbeya, kwa Dar es Salaam kuna hawa vijana wanao sikika kila kukicha kwenye vyombo vya habari jinsi wanavyo uchachafya mji, je, ulishawahi kujiuliza nini chanzo cha haya yote?

Kwa utafiti wangu binafsi nimekuja kugundua chanzo ni malezi mabaya, watoto kukaa mbali na wazazi vipindi vya utoto, maisha magumu na kingine kikubwa ambacho jamii imekifumbia macho ni talaka ambazo zinatokana na utovu wa nidhamu kwa wanandoa hasa kwa jinsia ya kike ambayo msingi wake ni WATU WA USTAWI WA JAMII.

Ilikuwa mwaka 2012/2/30 rasmi nilihamia Tunduma Mkoani Songwe nilianza kujishughulisha na kazi ndogondogo ndani ya miezi mitatu nikapata kamtaji nikafungua kibanda Mitaa ya Majengo, basi pale nilikuwa nikiuza sigara, soda, pombe, sabuni na viroba kabla havijakatazwa.

Mungu mwema wateja walianza kumimi Nika nikawa naingiza mpaka lakimbili kwa KWA SIKU mtajiwangu ulikuwa kwa Kasi nikanunua bidhaaa zakutosha mpaka nikafikia hatua Sina pakuweka"kibanda kimejaa nafasi hakuna kwabahati nzuri pembezoni mwakibanda changu kulikuwa na dada mmoja alikuwa akiitwa PENDO

Ni dada ambaye alikuwa mweupe mlefu mkalimu ukimwangalia kwa haraka haraka yeye alikuwa anauza mgahawa pale pembeni Basi kwakuwa kibanda changu kilikuwa kimejaa Sana nikamwomba hifadhi ya baadhi ya bidhaaa pale hakubisha kwa uchangamfu akani kubaria nikaanza kuhifadhi bidhaaa pale nakwakuwa alikuwa akinihifadhia bidhaaa zangu nikaona sio vyema nikale sehemu nyingine chakula nivyema Nile hapa hapa kwahiyo nikajiwekea.

Utaratibu wa kwenda Kula pale kilasiku skujua aani wazia Nini hakika skujua ningejua Leo nisingekuwa hapa......

INAENDELEA....

Niliendelea Kula pale kwa mda wa miezi miwili lakini kwakuwa nilikuwa bize na kazi kunawakati skuweza kutoka kibandani hivvyo niliomba aniletee chakula pale kibandani kwa bahati nzuri alikuwa namdogo wake ambaye alimtuma alete chakula pale mdogowake wakike huyo alikuwa anaitwa Devo ILIKUWA hivyo kwa mud.

Tukaanza kuzoeana na ndogo wake huyo ikafikia kipindi akawa anakuja kibandani pale tuna zungumzia mengi Basi nikataka kumjua nimwenyeji wa wapi ndipo akaniambia anatokea mbeya ni msafwa na kwenye maelezo yake ilionekana alikuwa nijirani yetu urafiki ukazidi kuiva skujua alikuwa na lengo gani Mimi niliona ni urafiki tu.

Basi siku moja akaja akaniambia bwana Mimi nachangisha mchango unatoa shilling alfu mbili Kila siku tupo watu tisini ikifika zamu yako unachukua hela yako na KIla siku mtu anachukua mchango nikapiga hesabu ikaonekana nisawa na 2000*90=180000/= nikaona ni vema nikamwambia ngoja nifikirie tuangalie kesho, kesho yake ilipofika akafika pale kibandani akanikumbusha kuhusu mchango nikamwambia nipo tayari niandike majina mawili kilasiku ntakuwanatoa shilingi 4000/= ili Nije nichukue shilingi 360000/=Basi nikaandika jina pale utaratibu ukaanza nilitoa mchangok kwajuhudi zote mpaka mwisho wa mchango kakibanda kalikuwa nahali mbya😉😉

Basi nikamfuata yule Devo mdogo wa yule dada ilianipe mchango wangu kwani tarehe zimesha fika nilipo mfuata akaniambia nakupa kesho kesho ilipofika ikawa kesho nikaona hapa nikizubaa mtaji umeenda🤔🤔🤔niliamua kwenda kwa sura husika na hapo kwa sauti akaniambia mchango nimechukua nimekodi chumba ili tuishi wote kama hutaki nenda polisi ukawaonyeshe tulipo andikishana.

Akili ilisimama kidogo nikaona nikitumia paniki Hera yangu kwisha habari Basi kwasauti yenye uturivu nikamwambia kesho Hera iwe tayari nikatoka nikarudi kibandani pale kibandani kulikuwa namteja mmoja yeye alikuwa mtumiaji wa sigara na soda aina ya Pepsi kazi yake ILIKUWA kuchenji kwacha alikuwa anaitwa MARTINI alikuwa ni msafwa pia kwabahati nzuri narudi kibandani nikamkuta anani subiri pale nikamwambia nikamwambia brother afadhali umekuja kuna jambo naomba unishauri.

Basi nikamwomba Aingie kibandani akaingia nikamjulisha kuhusu lile tatizo baasi akacheeka akaniambia mdogowangu si nibahati hyoeeh? Kakupenda unamke kwani? Nikamwambia brother sinamke lakini sikuwatayali kuingia huko akaniambia mdogowangu mwanamke kakupenda chakufanya mwambie akuonyeshe chumba alicho tumia Hela yako ukikiona mwambie akupeleke kwa balozi andikisha majina Anza kuishi nae Kama huwezi kufanya hivyo basi Hela yako imeenda.

Nikawaza Sana nikamuuliza vpi polisi nikienda? martini akaniambia atasema umemhonga mlikubaliana na sikuhizi wanawake wanatetewa Sana naserikali Basi Kama unav yoju kila mtu ana rafiki anaye mwamini Nika amini ushauri wake nikafanya alivyo niambia ushamba na utoto jumlisha tamaa zamda mfupi jumlisha ushauri wamtu aliye kuzidi hakili nikaingia tegoni nikahamisha kila nilichokuwa nacho na kuhamia makazi mapya nikaanza kuitwa shemeji bwana😂😂😂 Maisha halisia ya ndoa yalidumu kwa siku 6 tu unajua nini kilifuata baada ya hizo siku??

TWENDE PAMOJA......
 
Endelea mkuu umeeleweka vyema tu!

Habari za jioni ndugu na jamaa humu ndani Leo nimeona nizungumzie Jambo moja ambalo linaiathili JAMII yetu bila kujua na limekuwa nitatizo ambalo limeathili Maisha ya watu wengi. wapo waliouza nyumba zao, waliokimbia miji, pia wapo ambao mpaka Sasa naandika huu Uzi wapo jera, japo hawana hatia wengine ndio hao wametopea kwenye mapombe. hivyo kupoteza nguvukazi ya taifa letu.pia kumekuwa naongezeko la vikundi tofauti tofauti vyakihalifu nchini mwetu Kama vile wakolea "WEUSI"pale mbeya kwa dareslam kunahawa vijana wanao skika KIla kukicha kwenye vyombo vya habari jinsi wanavyo ucha ChaChafya mji je ulishawai kujiuliza Nini chanzo Cha haya yote?? Kwautafiti wangu binafsi nimekuja kugundua chanzo nimalezi mabaya.watoto kukaa mbali na wazazi vipindi vya utoto.Maisha magumu.nakingine kikubwa ambacho jamii imekifumbia macho ni taraka ambazo zinatokana na utovu wa nidhamu kwa wanandoa hasa kwajinsia ya kike ambayo msingi wake ni WATU WA USTAWI WA JAMII je ninamna gani Hawa watu Wana husika kwa haya yote?? Basi fuatana nami ushuhudie nikwa namnagani watu Hawa Wana husika nahaya karibu... ILIKUWA MWAKA 2012/2/30 rasimi Nili hamia tunduma mkoani songwe nilianza kujishughulisha nakazi ndogo ndogo ndani yamiezi mitatu nikapata kamtaji nikafungua kakibanda mitaa ya majengo Basi pale nilikuwa nikiuza sgala soda pombe sabuni na viroba kabla havijakataza.mungu mwema wateja walianza kumimi Nika nikawa naingiza mpaka lakimbili kwa KWA SIKU mtajiwangu ulikuwa kwa Kasi nikanunua bidhaaa zakutosha mpaka nikafikia hatua Sina pakuweka"kibanda kimejaa nafasi hakuna kwabahati nzuri pembezoni mwakibanda changu kulikuwa na dada mmoja alikuwa akiitwa PENDO nidada ambaye alikuwa mweupe mlefu mkalimu ukimwangalia kwa haraka haraka yeye alikuwa anauza mgahawa pale pembeni Basi kwakuwa kibanda changu kilikuwa kimejaa Sana nikamwomba hifadhi ya baadhi ya bidhaaa pale hakubisha kwa uchangamfu akani kubaria nikaanza kuhifadhi bidhaaa pale nakwakuwa alikuwa akinihifadhia bidhaaa zangu nikaona sio vyema nikale sehemu nyingine chakula nivyema Nile hapa hapa kwahiyo nikajiwekea. Utaratibu wa kwenda Kula pale kilasiku skujua aani wazia Nini hakika skujua ningejua Leo nisingekuwa hapa...... INAENDELEA.... Niliendelea Kula pale kwa mda wa miezi miwili lakini kwakuwa nilikuwa bize na kazi kunawakati skuweza kutoka kibandani hivvyo niliomba aniletee chakula pale kibandani kwa bahati nzuri alikuwa namdogo wake ambaye alimtuma alete chakula pale mdogowake wakike huyo alikuwa anaitwa Devo ILIKUWA hivyo kwamda tukaanza kuzoeana na ndogo wake huyo ikafikia kipindi akawa anakuja kibandani pale tuna zungumzia mengi Basi nikataka kumjua nimwenyeji wa wapi ndipo akaniambia anatokea mbeya ni msafwa na kwenye maelezo yake ilionekana alikuwa nijirani yetu urafiki ukazidi kuiva skujua alikuwa na lengo gani Mimi niliona ni urafiki tu Basi siku moja akaja akaniambia bwana Mimi nachangisha mchango unatoa shilling alfu mbili Kila siku tupo watu tisini ikifika zamu yako unachukua hela yako na KIla siku mtu anachukua mchango nikapiga hesabu ikaonekana nisawa na 2000*90=180000/= nikaona ni vema nikamwambia ngoja nifikilie tuangalie kesho kesho yake ilipo fika akafika pale kibandani akanikumbusha kuhusu mchango nikamwambia nipo tayari niandike majina mawili kilasiku ntakuwanatoa shilingi 4000/= ili Nije nichukue shilingi 360000/=Basi nikaandika jina pale utaratibu ukaanza nilitoa mchangok kwajuhudi zote mpaka mwisho wa mchango kakibanda kalikuwa nahari mbya😉😉 Basi nikamfuata yule Devo mdogo wa yule dada ilianipe mchango wangu kwani tarehe zimesha fika nilipo mfuata akaniambia nakupa kesho kesho ilipofika ikawa kesho nikaona hapa nikizubaa mtaji umeenda🤔🤔🤔niliamua kwenda kwa sura husika nahapo kwasauti akaniambia mchango nimechukua nimekodi chumba ili tuishi wote kamahutaki nenda polisi ukawaonyeshe tulipo andikishana""hakili ilisimama kidogo nikaona nikitumia paniki Hera yangu kwisha habari Basi kwasauti yenye uturivu nikamwambia kesho Hera iwe tayari nikatoka nikarudi kibandani pale kibandani kulikuwa namteja mmoja yeye alikuwa mtumiaji wa sigara na soda aina ya Pepsi kazi yake ILIKUWA kuchenji kwacha alikuwa anaitwa MARTINI alikuwa ni msafwa pia kwabahati nzuri narudi kibandani nikamkuta anani subiri pale nikamwambia nikamwambia brother afadhari umekuja kunajambo naomba unishauri Basi nikamwomba Aingie kibandani akaingia nikamjulisha kuhusu lile tatizo baasi akacheeka akaniambia mdogowangu si nibahati hyoeeh? Kakupenda unamke kwani? Nikamwambia brother sinamke lakini sikuwatayali kuingia huko akaniambia mdogowangu mwanamke kakupenda chakufanya mwambie akuonyeshe chumba alicho tumia Hera yako ukikiona mwambie akupeleke kwabarozi andikisha majina Anza kuishi nae Kama huwezikufanya hivvyo Basi Hera yako imee nda nikawaza Sana nikamuuliza vpi polisi nikienda?martini akaniambia atasema umemhonga mlikubaliana na sikuhizi wanawake wanatetewa Sana naserikali Basi Kama unav yoju kilamtu anarafiki anaye mwamini Nika amini ushauri wake nikafanya alivyo niambia ushamba na utoto jumlisha tamaa zamda mfupi jumlisha ushauri wamtu aliye kuzidi hakili nikaingia tegoni nikahamisha KIla nilichokuwa nacho nakuhamia makazi mapya nikaanza kuitwa shemeji bwana😂😂😂 Maisha halisia yandoa yalidum kwasiku 6 tu unajua nini kilifuata baada ya hizo siku?? TWENDE PAMOJ......
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU NO2.... baada ya kuanza kuishi pamoja ndani ya siku 6 zenye fraha gafra ndoa ili ingia dosali nikiwa najiandaa kwenda kwao ILIKUWA hivi nilikuwa nimetokea kazini ILIKUWA mida ya ya saa tatu jioni nikafika nyumbani
na Nili ingia bila taarifa nilipo ingia ndani nikamkuta anaongea nasim lakini gafra akaikata huku akiniangalia kwa mshangao sikuuliza kitu Ila nilikuwa nime not kitu nikamsalimia nikaanza huhesabu mauzo Nika mwazima cm yake nikamwambia nataka nipigie hesabu yakwangu imezima chaji akanipa cm yake nikaingia kwenye call settings nikatafta auto voice recorder Nika nikaiwasha Kisha nikamkabidhi Nika mwambia tayali nimemaliza hesabu baada ya hapo nikiwa najiandaa kwenda kuoga akaniambia kunatatizo naomba tuzungumze nikamwambia sawa niambie akaniambia kunamsiba umetoka kwetu na kesho inabidi niende. nikahoj Nani kafarik? Akaniambia nibinam yangu. nikahoj mbona gafra umeniambia nagfra saizi unaniambi a unataka kuondoka kesho hasubuhi Kwann usinipe mda angalau uondoke kesho jioni? Akaniambia haiwezekani iwe isiwe lazima niondoke kesho hasubuhi Basi nikazama mfukoni nikampa tsh 50000/=nikamwambia hiki ndicho ninacho weza kukupa kwa Sasa akapokea nikaingia bafuni baada ya kurudi nikakuta chakula kipo tayali nikiwa nakula Basi yeye alikuwa akiniangalia kwamda mlefu japo hakujua najua ananiangali 😉😉gafra cm yake ikaita akapokea huku akisema nae huyu" alipo pokea cm skujua alikuwa anaongea nanani Ila niliskia akisema nakuja kesho,,nakuja keshoi"akaikata nakuiweka mezani. baada ya Kula nikachukua Sim yake nakuenda nayo NJE nikimwambia nafika dukani hapo NJE maramoja itanisaidia mwanga kwani mvua zilikuwa bado zinanyesha nilipotoka nje nikaingia kwenye audio iliyo rekodiwa skuamini nilichokuwa naskia alikuwa ni mwanaume Tena anaongea kwanguvu zote sauti Kali akiuliza ukowapi wewe? Basi mama chanja kwaupole akaitikia nipo kwadada tunduma, unafanyanin huko?? Nakuja kesho hasubuhi. Unasemaje wewe mwanamke mbona unkazingum Sana wewe mwanamke??nakuja kesho hasubuhi msinabani..msiba gani? Jamaa aliendelea kuuliza kwa ukali amekufa gwila. hivi wewe mwanamke unaniona Mimi mjinga gwila yupi aliye kufa? Basi mama chanja akaikata cm nikawa nimedata kiasi😖😖 nikaenda dukani jirani nikachukua kavarue nikajimiminia nikawaza Nika piga sim vodacom nikiomba wanisaidie kumpata huyo jamaaa anae niibia mke.voda wakaniambia huyo kwako nimkeo sisi kwetu nimteja na hatuwezi kutoa information s zake bila ruhusa yake iwapo utataka kufanya hivvyo Basi nenda polisi kachukue kibari Kisha uje huku nikauliza hakuna njia nyingine yakunisaiidia Basi yule muudum alikuwa wakiume akaniambia Kuna meseji ntakutumia ifanyie kazi itakusaidia baada ya dakika tat u meseji ili ingia ILIKUWA ninamba namaelezo mafupi yaliyo andikwa MPIGIE JITAMBULISHE MWAMBIE KILAKITU ATAKUSAIDIA....... TWENDE MBELE.....
 
Back
Top Bottom