Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi mkuu daaah nimepata hasira za ghaflaIpo hapo chini boss wangu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU NO..6# Devo aliendelea kuzungumza mbele za watu. huku akilia nanukuu. yaani jamani huyu mwanaume! msimwone hivi.amenipa hela ya mboga.shilingi alfu 2 "nimenunua chainizi.nimepika anafika ndani. anasema anataka nyama nikamjibu mme wangu mbona umenipa Hera kidogo ?"akaanza kunipiga"yaani yeye anataka nyama tuu"mboga za majani hali. huku akilia Devo kilio Cha kinafki.kinacho fanana na ukweli""mwisho wakunukuu.basi BAADA ya hapo akadakia barozi mmoja linaloho mbaya sana hilo etii??mnasubili Nini tulipeleke ndani hili😀😀kijana unavutabange za wapi?nikamjibu mzee umemsikia alivyo ongea je Mimi umeniskiliza? Basi mama mmoja miongoni mwao akadakia kweli acha tumsiklize na yeye hatuwezi jua. Ehee ongea kijana akadakia mwingine miongoni mwao nakumbuka alikuwa mzee kijana hivi.basi BAADA ya hapo nikaanza kuelezea Kama ilivyo kuwa kuhusu kwenda msibani, kumtega kwenye simu, mpaka kunimwagia maji, na kuanza kupigana!Basi palebarozi aka dakia aka sema kijana naomba unifundishe hako kambinu ka kutega simu😂😂 wengine wakadakia kweli ilikuwa HIVYO? namimi nifundishe Tena Sasa hivi😀😀binafsi Nika gundua nimesha wagawanya tayari sjakaa sawa nikaskia Dada ake mtaarifu kama.mama Debo Ana Seema nikweli jamani" naomba mnisikilize huyu nimdogo wangu anamume mbeya na kuhusu kupigiwa simu Mimi nilimwambia mme wake ampigie simu huyu mdogowangu, nakuhusu msiba nimimi nilimwambia Kuna msiba lengo langu aende nyumbani akifika kule akutane na mumewe waendelee na MAISHA kwanini awe na ndoa mbilii Dada ake akiongea kwa uchungu?Basi nikaskia watu wanasema kumbe ndiyo hivyoo.. gafra mama mmoja akamuuliza Devo eti wewe mtoto unawezaje kuishi na ndoa mbili? kwa wakati mmoja? Basi Devo akajibu siyo kweli mama.Mwingine akadakia wewe wewe acha kubisha je. huyu siyo Dada ako?akajibu nidada angu! Sasa unabisha Nini?kwahiyo yeye nimjinga kuya ongea haya? sjakaa sawa nikaskia barozi mmoja anasema wewe ni Dada yake?huku akimuuliza mama Debo.mama Debo akajibu ndiyo.umesema mdogo wako Ana mume ?mama Debo akajibu ndiyo.nahuyu Ninani barozi alimuuliza mama debo? Mama Debo akajibu simjui labda atuambie yeye ninani?basi Basi barozi akarudi kwa Devo akamuuliza huyu ninani wewe mtoto?Basi Devo akajibu huyu ni siyo mme wangu Ila aliniomba alale tu kwani Hana pakulala Hana nahiki chumba nicha kwangu.nimekipanga Mimi siyo yeye.mama mmoja akadakia subili kidogo umesema hiki chumba nichako? Devo akajibu ndiyo.mama akauliza Tena umepata wapi pesa zachumba? Devo akajibu nilikuwa nachanga mchango.yule mama akamuuliza Tena hizo pesa za mchango ilikuwa unapata wapi? Devo akajibu nafanya kazi kwa Dada Ana Nipa alfu mbili Kila siku.sasa kabla yule Dada hajauliza swali lingine Dada ake Devo akadakia hapanaa hapanaa huyu Hera za chumba amepata kutoka kwa huyu mwanaume Basi nikaskia yoweee arudi kwa mumewe huyooo aondoke hapaa hatumtaki mgombanishi atamuuwa mwanaume wa watu anandoa mbili huyooo kadri WALIVYO kuwa wanaongea ndivyo WALIVYO kuwa Wana msogelea mala nikaskia wanasema nyenyukaa tokaaa chumba Cha mwanaume hikiii nenda kwa mumewako mbeyaaa mungu mwema ndugu zangu Devo akafukuzwa kwa nyimbo na vigeregere na wamama wenzie Basi Mimi nikatoka pale kwa jirani nikaenda ndani kwangu Nika kuta pamevurugika siyo kidogo.nikalala kibabe nikaona kesho nta fanya usafi nikalala pembeni naka value INADELEA
😂😂😂Mwamba valuer imemzima mpaka leo
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU NO..6# Devo aliendelea kuzungumza mbele za watu. huku akilia nanukuu. yaani jamani huyu mwanaume! msimwone hivi.amenipa hela ya mboga.shilingi alfu 2 "nimenunua chainizi.nimepika anafika ndani. anasema anataka nyama nikamjibu mme wangu mbona umenipa Hera kidogo ?"akaanza kunipiga"yaani yeye anataka nyama tuu"mboga za majani hali. huku akilia Devo kilio Cha kinafki.kinacho fanana na ukweli""mwisho wakunukuu.basi BAADA ya hapo akadakia barozi mmoja linaloho mbaya sana hilo etii??mnasubili Nini tulipeleke ndani hili😀😀kijana unavutabange za wapi?nikamjibu mzee umemsikia alivyo ongea je Mimi umeniskiliza? Basi mama mmoja miongoni mwao akadakia kweli acha tumsiklize na yeye hatuwezi jua. Ehee ongea kijana akadakia mwingine miongoni mwao nakumbuka alikuwa mzee kijana hivi.basi BAADA ya hapo nikaanza kuelezea Kama ilivyo kuwa kuhusu kwenda msibani, kumtega kwenye simu, mpaka kunimwagia maji, na kuanza kupigana!Basi palebarozi aka dakia aka sema kijana naomba unifundishe hako kambinu ka kutega simu😂😂 wengine wakadakia kweli ilikuwa HIVYO? namimi nifundishe Tena Sasa hivi😀😀binafsi Nika gundua nimesha wagawanya tayari sjakaa sawa nikaskia Dada ake mtaarifu kama.mama Debo Ana Seema nikweli jamani" naomba mnisikilize huyu nimdogo wangu anamume mbeya na kuhusu kupigiwa simu Mimi nilimwambia mme wake ampigie simu huyu mdogowangu, nakuhusu msiba nimimi nilimwambia Kuna msiba lengo langu aende nyumbani akifika kule akutane na mumewe waendelee na MAISHA kwanini awe na ndoa mbilii Dada ake akiongea kwa uchungu?Basi nikaskia watu wanasema kumbe ndiyo hivyoo.. gafra mama mmoja akamuuliza Devo eti wewe mtoto unawezaje kuishi na ndoa mbili? kwa wakati mmoja? Basi Devo akajibu siyo kweli mama.Mwingine akadakia wewe wewe acha kubisha je. huyu siyo Dada ako?akajibu nidada angu! Sasa unabisha Nini?kwahiyo yeye nimjinga kuya ongea haya? sjakaa sawa nikaskia barozi mmoja anasema wewe ni Dada yake?huku akimuuliza mama Debo.mama Debo akajibu ndiyo.umesema mdogo wako Ana mume ?mama Debo akajibu ndiyo.nahuyu Ninani barozi alimuuliza mama debo? Mama Debo akajibu simjui labda atuambie yeye ninani?basi Basi barozi akarudi kwa Devo akamuuliza huyu ninani wewe mtoto?Basi Devo akajibu huyu ni siyo mme wangu Ila aliniomba alale tu kwani Hana pakulala Hana nahiki chumba nicha kwangu.nimekipanga Mimi siyo yeye.mama mmoja akadakia subili kidogo umesema hiki chumba nichako? Devo akajibu ndiyo.mama akauliza Tena umepata wapi pesa zachumba? Devo akajibu nilikuwa nachanga mchango.yule mama akamuuliza Tena hizo pesa za mchango ilikuwa unapata wapi? Devo akajibu nafanya kazi kwa Dada Ana Nipa alfu mbili Kila siku.sasa kabla yule Dada hajauliza swali lingine Dada ake Devo akadakia hapanaa hapanaa huyu Hera za chumba amepata kutoka kwa huyu mwanaume Basi nikaskia yoweee arudi kwa mumewe huyooo aondoke hapaa hatumtaki mgombanishi atamuuwa mwanaume wa watu anandoa mbili huyooo kadri WALIVYO kuwa wanaongea ndivyo WALIVYO kuwa Wana msogelea mala nikaskia wanasema nyenyukaa tokaaa chumba Cha mwanaume hikiii nenda kwa mumewako mbeyaaa mungu mwema ndugu zangu Devo akafukuzwa kwa nyimbo na vigeregere na wamama wenzie Basi Mimi nikatoka pale kwa jirani nikaenda ndani kwangu Nika kuta pamevurugika siyo kidogo.nikalala kibabe nikaona kesho nta fanya usafi nikalala pembeni naka value INADEA ...
Mkuu vp mbona kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
hii ilikuwa ni mwaka gn?USTAWI WAJAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU.NO 7 # baada ya kulala hasubuhi nikashtuka hasubuhi tayari Nika amka Nika endelea na usafi baada ya kunawa nikiwa najiandaa kuondoka gafra Nika skia geti la nje Lina gogwa jirani yangu akaenda kulifungua na ndipo gafra Nika mwona devotha akiwa ameongozana na mwenyekiti wa mtaa baada ya kuingia waka salimiana na jirani yangu pale jirani aka wapa viti wakakaa Kisha mwenyekiti akauliza nimeskia kulikuwa na ugomvi mzito hapa Jana. je ninani mume wa huyu mwana mke hapa nyumbani?BASI jirani yangu akamjibu Sija mjua labda amtaje yeye mwenyewe si yupo,! jirani yangu alimjibu huku akini angalia kwa jicho peevu wakati huo Mimi nilikuwa nimeturia mlangoni kwangu nawacheki tu.basi mwenyekiti akauliza je niyupi mumeo?huku akimtazama Devo.Devo akamjibu yule pale kwa sauti ya chini huku akini point mimi.ohooo ah kumbe niwewe akanisemesha mwenyekiti vipi kijana mzima? nikamjibu Mimi mzima mzee kunashida? Akaniambia hapana hakuna shida ispokuwa nina ma ongezi na wewe BASI nikasogea nikakaa baada ya mazungumzo machache ya hapa na pale ya kusomana hakili na mwenyekiti. akaniambia SASA kijana wangu nimekuja hapa nataka kujua ninani alikipanga hiki chumba je niwewe au mkeo?BASI nikawa nime mwelewa nini lengo lake nikamuuliza unataka nikujibu?akaniambia ndiyo Nika inuka nikaingia NDANI nikachukua nguo zangu tuu nikazijaza kwenye begi Kisha Nika toka nalo nje nika muuliza je lengo lako si nihili? Akani tazamaa huku akiwa ametumbua macho kwangu alishindwa ku nijibu Nika toka zangu mpaka kibandani nikaendelea na kazi ilipo fika mchana wakaja wazee wawili wa ule mtaa pale kibandani akiwemo mwenyekiti wa mtaa wa eneo la biashara wakasema samahani bwana killing machine tumekuja hapa tuna Jambo la kuzungumza na wewe nikawauliza je mtazungumza namimi hapa au?waka nijibu hapana tuna omba uje chumba Cha pili hapa grocery BASI nikawa ambia nakuja si mda Kama kawaida nikaweka Mambo sawa nika jikamuri a kiroba changu kimoja Kisha Nika toka mpaka kwenye Ile grocery nilipo fika mle NDANI nikamkuta DEVO katulia yeye na watu Kama watatu mwanne akiwemo mwenyekiti aliye kuwa amekuja nae pale nyumbani Yani yule aliye niuuliza hiki chumba kapanga Nani?basi akiwa confident hana hata AIBU basi nikawa salimia baada ya saramu akaanza mwenyekiti kwakusema nanukuu.. BWANA KILLING HUYU UNAMFAHAMU?nikamjibu bila Shaka unalijua Hilo mzee wangu! akarudia Tena hujanijibu swali langu nikamjibu mzee kumbuka nime simamisha kazi NAOMBA twende na mda Kama tutaishia hapa basi niwahi tafadhali huku Niki inuka.basi yule mzee MWINGINE AKA dakia aa hpana kijana usinyenyuke Kisha akaongezea mzee mwenzangu NAOMBA tuende moja kwa moja kwenye point Kisha akaendelea.NANUKUU.....kijana wangu bilashaka huyu unamfahamu nasisis tuna mfahamu pia tuna wafahamu wote KWAMBA nyinyi niwatu ambao mpo kwenye mahusiano na tuna habari mnaishi lakini hatuja shuhudia ndoa Wala sherehe yakuwa tambulisha KWAMBA nyinyi ni Wana ndoa lakini kimjini mjini tunatambua KWAMBA nyinyi ni Wana ndoa.akaendelea lakini huyu mwenzio amefika kwetu na kutuambia ana mazungumzo nawewe mbele yetu basi tukaona tukuite umsikilize kwahiyo tunaomba umsikilize! karibu mama huku akimgeukia devo.Alimaliza mazungumzo mzee yule.basi Devo akaanza kuzungumza maneno haya mazito.. NANUKUU.mbele ya mwenyekiti Mimi devotha Sina mume nahuyu siyo mume wangu nimekuja kumuonya kule nyumbani asije aka ka nyaga kwani pale nikwangu nachumba nicha kwangu iwapo ata kanyaga Nita mwitia mwizi MWISHO WA KUNUKUU.baada ya kimya kidogo mwenyekiti akadakia ume maliza ? Devo akamjibu ndiyo.kisha mwenyekiti akageukia kwangu akaniuliza umemsikia? Nikamjibu ndiyo.akaniuliza Tena unasemaje kuhusu kauri yake? Nika fikilia kidogo nikaona Hawa wanataka kujua nawaza Nini juu ya kuondoka kwangu pale nyumbani nikagundua hofu NDANI ya mwanamke na viongozi KWAMBA wana hofia Nita enda Kule nyumbani usiku na kumfanya kitu kibaya kwahiyo Nika gundua wamekuja kujua nafikilia Nini ili wasijue nafikilia Nini inabidi niwa jibu kwa busara ili lolote likimpata lisini husu mfano kupigwa,kubakwa, kuumizwa, au kutishwa kwa nanna yoyote Ile namtu yeyote yule iwapo yata mtokea haya. MTU wakwanza kumhisi ITAKUWA Mimi kufuatana na majibu nitakayo yatoa hapa.hakili yangu ikaniambia jitahidi wasijue unacho waza uwe kinyume chake.
baada ya kusema na hakili yangu nikapata jibu Kisha nika jibu Kama ifwatavyo nikawa ambia HUYU NI MWANAMKE AMBAYE NAMPENDA NA NINACHOPENDA KUKIONA KWA MWANAMKE NINAYE MPENDA NIKUMWONA ANA FRAHA HIVYO BASI KAMA HILI ALILO LIAMUA LITAMPA FRAHA ITAKUWA NIJAMBO JEMA KWANI FRAHA YANGU NIKUMWONA ANA FRAHA.basi Nika maliza maneno yangu.mwenyekiti akaniuliza nihayo tuu mwanang? nikamjibu nime maliza mzee wangu basi wote pale walikaa kimya kwa mda huku wakiangaliana kwa macho ya pembeni basi yule mzee mwingine akahema kwanguvu Kisha aka muuliza Devo umeyaskia hayo maneno? Devo akamjibu huku akiwa ana kapaniki kaliko jificha. ndiyo nimeskia. unasemaje?mzee alimuuliza? Devo akaanza kujibu kwa hasira siwezi kuwa na mwanaume taka taka Kama wewe" mbwa wewe "huna lolote Fara wewe". Nikacheka kinaa 😋😋Kisha Nika sepa zangu kibandani nikawasha feg na kikali nikatulia zangu nikiwa nime vurugwa.🤫🤫baada ya lisaa limoja Devo akaja pale kibandani na kuni ita KILLING MACHINE??" skuamini naitwa nayeye nikamuuliza mteja mmoja pale anasemaje huyo mwanamke? Mteja aka nijibu sjaskia kitu zaidi ya jina killing machine nikabaki najiuliza mbona kaita af kapita kwa speed?? 🤔🤔 .....INAENDELEA wakuu SASA hivi nikiangazi na Kama mnavyo jua Mimi na deal na biashara za mazao kwahiyo NAOMBA tuvumiliane Mambo nimengi.mda kidogo nilio nao ndiyo huu Ila nitaimaliza kadri mungu atakavyo Nipa mda nitaiandika. ahsanten....INA ENDELEA..
Nasubiri mwendelezoUSTAWI WAJAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU.NO 7 # baada ya kulala hasubuhi nikashtuka hasubuhi tayari Nika amka Nika endelea na usafi baada ya kunawa nikiwa najiandaa kuondoka gafra Nika skia geti la nje Lina gogwa jirani yangu akaenda kulifungua na ndipo gafra Nika mwona devotha akiwa ameongozana na mwenyekiti wa mtaa baada ya kuingia waka salimiana na jirani yangu pale jirani aka wapa viti wakakaa Kisha mwenyekiti akauliza nimeskia kulikuwa na ugomvi mzito hapa Jana. je ninani mume wa huyu mwana mke hapa nyumbani?BASI jirani yangu akamjibu Sija mjua labda amtaje yeye mwenyewe si yupo,! jirani yangu alimjibu huku akini angalia kwa jicho peevu wakati huo Mimi nilikuwa nimeturia mlangoni kwangu nawacheki tu.basi mwenyekiti akauliza je niyupi mumeo?huku akimtazama Devo.Devo akamjibu yule pale kwa sauti ya chini huku akini point mimi.ohooo ah kumbe niwewe akanisemesha mwenyekiti vipi kijana mzima? nikamjibu Mimi mzima mzee kunashida? Akaniambia hapana hakuna shida ispokuwa nina ma ongezi na wewe BASI nikasogea nikakaa baada ya mazungumzo machache ya hapa na pale ya kusomana hakili na mwenyekiti. akaniambia SASA kijana wangu nimekuja hapa nataka kujua ninani alikipanga hiki chumba je niwewe au mkeo?BASI nikawa nime mwelewa nini lengo lake nikamuuliza unataka nikujibu?akaniambia ndiyo Nika inuka nikaingia NDANI nikachukua nguo zangu tuu nikazijaza kwenye begi Kisha Nika toka nalo nje nika muuliza je lengo lako si nihili? Akani tazamaa huku akiwa ametumbua macho kwangu alishindwa ku nijibu Nika toka zangu mpaka kibandani nikaendelea na kazi ilipo fika mchana wakaja wazee wawili wa ule mtaa pale kibandani akiwemo mwenyekiti wa mtaa wa eneo la biashara wakasema samahani bwana killing machine tumekuja hapa tuna Jambo la kuzungumza na wewe nikawauliza je mtazungumza namimi hapa au?waka nijibu hapana tuna omba uje chumba Cha pili hapa grocery BASI nikawa ambia nakuja si mda Kama kawaida nikaweka Mambo sawa nika jikamuri a kiroba changu kimoja Kisha Nika toka mpaka kwenye Ile grocery nilipo fika mle NDANI nikamkuta DEVO katulia yeye na watu Kama watatu mwanne akiwemo mwenyekiti aliye kuwa amekuja nae pale nyumbani Yani yule aliye niuuliza hiki chumba kapanga Nani?basi akiwa confident hana hata AIBU basi nikawa salimia baada ya saramu akaanza mwenyekiti kwakusema nanukuu.. BWANA KILLING HUYU UNAMFAHAMU?nikamjibu bila Shaka unalijua Hilo mzee wangu! akarudia Tena hujanijibu swali langu nikamjibu mzee kumbuka nime simamisha kazi NAOMBA twende na mda Kama tutaishia hapa basi niwahi tafadhali huku Niki inuka.basi yule mzee MWINGINE AKA dakia aa hpana kijana usinyenyuke Kisha akaongezea mzee mwenzangu NAOMBA tuende moja kwa moja kwenye point Kisha akaendelea.NANUKUU.....kijana wangu bilashaka huyu unamfahamu nasisis tuna mfahamu pia tuna wafahamu wote KWAMBA nyinyi niwatu ambao mpo kwenye mahusiano na tuna habari mnaishi lakini hatuja shuhudia ndoa Wala sherehe yakuwa tambulisha KWAMBA nyinyi ni Wana ndoa lakini kimjini mjini tunatambua KWAMBA nyinyi ni Wana ndoa.akaendelea lakini huyu mwenzio amefika kwetu na kutuambia ana mazungumzo nawewe mbele yetu basi tukaona tukuite umsikilize kwahiyo tunaomba umsikilize! karibu mama huku akimgeukia devo.Alimaliza mazungumzo mzee yule.basi Devo akaanza kuzungumza maneno haya mazito.. NANUKUU.mbele ya mwenyekiti Mimi devotha Sina mume nahuyu siyo mume wangu nimekuja kumuonya kule nyumbani asije aka ka nyaga kwani pale nikwangu nachumba nicha kwangu iwapo ata kanyaga Nita mwitia mwizi MWISHO WA KUNUKUU.baada ya kimya kidogo mwenyekiti akadakia ume maliza ? Devo akamjibu ndiyo.kisha mwenyekiti akageukia kwangu akaniuliza umemsikia? Nikamjibu ndiyo.akaniuliza Tena unasemaje kuhusu kauri yake? Nika fikilia kidogo nikaona Hawa wanataka kujua nawaza Nini juu ya kuondoka kwangu pale nyumbani nikagundua hofu NDANI ya mwanamke na viongozi KWAMBA wana hofia Nita enda Kule nyumbani usiku na kumfanya kitu kibaya kwahiyo Nika gundua wamekuja kujua nafikilia Nini ili wasijue nafikilia Nini inabidi niwa jibu kwa busara ili lolote likimpata lisini husu mfano kupigwa,kubakwa, kuumizwa, au kutishwa kwa nanna yoyote Ile namtu yeyote yule iwapo yata mtokea haya. MTU wakwanza kumhisi ITAKUWA Mimi kufuatana na majibu nitakayo yatoa hapa.hakili yangu ikaniambia jitahidi wasijue unacho waza uwe kinyume chake.
baada ya kusema na hakili yangu nikapata jibu Kisha nika jibu Kama ifwatavyo nikawa ambia HUYU NI MWANAMKE AMBAYE NAMPENDA NA NINACHOPENDA KUKIONA KWA MWANAMKE NINAYE MPENDA NIKUMWONA ANA FRAHA HIVYO BASI KAMA HILI ALILO LIAMUA LITAMPA FRAHA ITAKUWA NIJAMBO JEMA KWANI FRAHA YANGU NIKUMWONA ANA FRAHA.basi Nika maliza maneno yangu.mwenyekiti akaniuliza nihayo tuu mwanang? nikamjibu nime maliza mzee wangu basi wote pale walikaa kimya kwa mda huku wakiangaliana kwa macho ya pembeni basi yule mzee mwingine akahema kwanguvu Kisha aka muuliza Devo umeyaskia hayo maneno? Devo akamjibu huku akiwa ana kapaniki kaliko jificha. ndiyo nimeskia. unasemaje?mzee alimuuliza? Devo akaanza kujibu kwa hasira siwezi kuwa na mwanaume taka taka Kama wewe" mbwa wewe "huna lolote Fara wewe". Nikacheka kinaa [emoji39][emoji39]Kisha Nika sepa zangu kibandani nikawasha feg na kikali nikatulia zangu nikiwa nime vurugwa.[emoji2958][emoji2958]baada ya lisaa limoja Devo akaja pale kibandani na kuni ita KILLING MACHINE??" skuamini naitwa nayeye nikamuuliza mteja mmoja pale anasemaje huyo mwanamke? Mteja aka nijibu sjaskia kitu zaidi ya jina killing machine nikabaki najiuliza mbona kaita af kapita kwa speed?? [emoji848][emoji848] .....INAENDELEA wakuu SASA hivi nikiangazi na Kama mnavyo jua Mimi na deal na biashara za mazao kwahiyo NAOMBA tuvumiliane Mambo nimengi.mda kidogo nilio nao ndiyo huu Ila nitaimaliza kadri mungu atakavyo Nipa mda nitaiandika. ahsanten....INA ENDELEA..
Ngoja niweke kambi hawa wanawake jamani daaa
😂😂Nime fatana na wewe nishuhudie nika jikuta naumia Macho na kujigonga meno..tusamehe mkuu
Nasubiri mmwendele
hii ilikuwa ni mwaka gn?
nimemaliza kusoma macho yako hoi
aisee jaribu kuweka aya, jaribu pia kutochonganya kati ya R na s
Nisamehe mkuu ndugu yako NI memkwa kwahiyo jitahidi kuelewa hivyo hivyo🤫🤫nimemaliza kusoma macho yako hoi
aisee jaribu kuweka aya, jaribu pia kutochonganya kati ya R na L
Katika story yako nimejifunza hakuna kitu kibaya kama mwanamke akishajua udhaifu wako atakuchuna hela mpk utakubali akili zikukae sawaUSTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU NO.8#nili endelea kujiuliza kwanini Devo ameniita wakati so mda tumetoka ku dhalili Shana? Nikaona niachane nayo hayo,nikaendelea na kazi yangu kwa bahati nzuri akaja yule mteja wangu wa soda aina ya Pepsi na sgara (MARTINI)tuka salimiana nika mjulisha kuhusu tukio zima akacheka Kisha akaniuliza je kwahiyo mme achana na devo?kwa uzuni Nika mjibu ndiyo brother kanitema kiivyo akacheka akasema Devo bwana,tukiwa tuna endelea nama zungumzo gafra akatoke Devo kwenye dilisha la kibandani akasema killing Nina shida na ww nyumbani naomba uje"kwa mshangao nikamuuliza Nije nyumbani kwako ulikopanga kwa Hera zako je ukiniita mwizi KAMA ulivyo ahidi itakuje?akasema nakuapia siwezi naomba uje Mara moja Kisha aka ondoka Nika Baki Nime duwaa[emoji848][emoji848][emoji848]martini akaniuliza umeonaa?huyo nimkeo tuu atakuwa amefikilia maneno uliyo mwambia nikamuuliza je Nini nifanye?akanijibu nenda kwako Sasa hivi kile nichumba chako hawezi kuku zingua nikawaza kwa mda Kisha Nika mwambia martini natoka Mara moja niangalizie kibanda. Nika Toka na kuelekea nyumbani nilipo fika nyumbani.nikakuta amekaa[emoji87][emoji87][emoji87]anawaza nilipo angalia mezani nikaona nguo (ped) ina damu nika shtuka kidogo[emoji3064][emoji3064]Kisha nika kaa nika muuliza kunashida gani ume niitia? Huku niki iangalia ile pedi pale mezani aka kohoa kidogo kusafisha koo Kisha akasema KILLING NILIKUWA NA MIMBA YA MIEZI MIWILI ULIPO NIPIGA MIMBA IME HARIBIKA NIME ENDA HOSPITAL WAME NIAMBIA NIKACHUKUE PF3 POLICE KISHA WANI TIBU NIME WAZA NIKAONA NIKIENDA POLICE UTAFUNGWA KWAHIYO NIMEONA NIKA TIBIWE HOSPITALI YA BINAFSI NIME ENDA HOSPITAL BINAFSI NIME AMBIWA NITAFTE HERA SHILNGS 70000/= MIMI HERA SINA KWAHIYO NINA OMBA UNIPE HERA NIKA TIBIWE KAMA UTASHINDWA KUFANYA HIVYO BASI NIENDE POLICE WAKANIPE PF3 akaendelea kuongea huku akii angalia pedi pale mezani nakusema HIYO PEDI UNAYO IONA NIYA TANO NABADILISHA DAMU ZINANI VUJA NA NAJISKIA MAUMIVU PIA"KAMA HUNIAMINI TWENDE PALE PRIVATE HOSPITAL UKAJI HAKIKISHIE.devo aka maliza kuongea basi Mimi killing nkawaza nakuwazua Nika mwambia Sina zaidi ya alfu 50000/=hapa na hizi pesa niza kibandani tuna fanyaje? Akaniambia Nita ENDA kuwa OMBA wani saidie nikampa ile hera Kisha Nika muuliza Dada ako anajua kuhusu hii issue? Akanijibu hajui NIMEONA niku ambie Kwanza wewe ukikataa ndiyo ni ombe msaada kwa Dada Nika mpa Hera Kisha nika muonya asi mwambie mtu anijulishe kile kita kacho endelea nikatoka pale ndani huku nikiwaza ile Hera niliyo itoa ofisini nai rudishaje?nilipo kuwa na Rudi kibandani njiani.nikakuta sigara zime vunjwa vunjwa"" nikajiuliza Nani kavunja sgara hivi? Nikaongeza speed kuelekea kibandani chaku shangaza nilipo fika kibandani nikakuta pako wazi na hakuna mtu niliye muacha (Martini)pale.ambaye ni martini nilipo angalia sigara Nika gundua packet 2 hazipo nikajiuliza je sio zile? Nikarudi pale nilipo kuta sigara zime vunjwa Nika gundua nizangu" Tena mtu yule alikuwa anazivunja huku ana tembea"**hakili ikanijia faster nika Rudi kibandani Nika chukua daftari la kumbu kumbu za bidhaa nilipo fungua nilipo kagua bidhaa zote zika onekana zipo sawa" ispokuwa packet ya sgara embassy 2sm 1na sports moja Hanna ambazo SM na sport's nizile nilizo kuwa nime ziweka mezani ili kurahisisha uuzaji.kuhusu pesa bahati nzuri nots money zote nilikuwa nime ondoka nazo silver niliacha kidogo Ila skuzi hesabu kwa bahati mbaya kwani mtu niliye kuwa nime muacha pale kibandani ni mwenye MAISHA yake imean anajiweza KWAHIYO silver nizilibaki kidogo Sana nikajiuliza kwanini brother martin kafanya hivi? Kwann asini pigie simu kwamba anatoka? Je niyeye aliye vunja sigara zangu?na kwanini anifanyie hivi?kwa ugomvi gani? Nilijiuliza maswali mengi lakini mwisho wa siku Nika amua nimpigie baada ya kumpigia aka pokea nilpo muuliza akanijibu nilikuwa na haraka na Mambo yangu Kisha aka ikata simu." kwa sauti iliyo kaza aki onyesha he is ready fo everythings gonna be. kwani ana Hera nikaona Haina haja ya kumpigia Tena Nika funga kibanda nikawaza nitoke kidogo nje ya hili eneo la kazi NIENDE sehemu nitulize hakili nikajiuliza je NIENDE wapi? Hakili yangu ikaniambia vuka upande wa Zambia kanunue pombe Kari ya Zambia unywe uta lewa haraka kuliko ukiingia bar au grocery kwenye bia ili uitulize hakili yako basi Nika mwita boda Nika panda nakumwambia nipeleke ng'ambo,,safari iliendelea huku boda akiwa ameweka wimbo wa FID Q AUGUST 13 nakumbuka[emoji2][emoji2][emoji2]ilini ongezea machungu. na mistari yake ya hasira[emoji21][emoji21][emoji21] basi Nika mwambia boda punguza speed ndugu yangu ili nipate kumsikiliza ngosha kwa utulivu japo kidogo.safari iliendelea huku nikifkilia nii pate wapi ile 50 niliyo itoa kibandani? [emoji848][emoji848]nikiwa kwa boda.na KAMA unavyo jua Sheria zetu mama"hazi ruhusiwi piki piki au baiskeri kupita ndani ya castam za Tanzania na Zambia wataaramu wetu Wana SEMA Zina chafua castams zetu[emoji2][emoji2] basi boda aka amua spite kwa bara bara ya pembeni ili tutokee upande wa Zambia tulipo kuwa tuna Anza kuingia kwa njia ya pembeni kwa mbele nikaona fuso KAMA tatu hivi zime ziba kale ka bara bara kapembeni [emoji37][emoji37][emoji37]basi na kwa kuwa nyimbo niliyo kuwa naiskiliza imeisha nika mwambia boda ishia hapa.nta tembea kwa mguu Nika shuka nikamlipa Kisha Nika endelea na safari kupitia ki bara bara kile kile Cha pembeni nilipo zisogelea zile fuso Nika gundua zilkuwa zime beba mahindi kutoka Zambia Zina kuja Tanzania nitumie fursa hii pia kuku jurisha kwamba 95% YA TONES ZA MAHINDI YANAYO ENDA KENYA YANA TOKEA ZAMBIA CHUKUA HIYO...tuna endelea baada ya kuziona zile fuso zime beba mahindi nikajiwa nawazo lakutaka kujua mahindi Yana TOKEA wapi?basi Nika amua kuzunguza na dreva mmoja wapo.nikamuuliza vipi boss mbona mmezuia njia?akanijibu gari yangu ina poteza upepo kwahiyo nime mtuma konda aniitie fundi pale juu.nikamuuliza Tena hivi haya mahindi mna pakilia wapi boss Kuna mtu kaniambia NIENDE kwenye soko la mahindi nikamchukulie Hera Sasa sja jua niwapi huku ng'ambo?? Dreva akanijib nyooka nahii bara bara ukifika hapo juu utaona mahindi ya mengi yame mwagwa.ukiona mahindi tu jua pata kuwa ndiyo hapo hapo. basi wakuu wazo la pombe Nika ahilisha nilipo fika pale sokoni niliona ma roli mengi ya Zambia Yana shusha mizigo ya mahindi yaani ni tones of tones nikaona vijana wakipima nakupakia mahindi"wengine Wana shusha wengine wanalipana pesa nikaona kibanda pembeni.nikaenda pale nilipo fika nikaa Giza soda badara ya pombe" Nika kaa pale kwenye kiti ndipo Nika shuhudia vijana makuri.waki tumia pesa kwa vurugu waki tajiana pesa walizo ingiza lakini mmoja alini fanya nifikilie kujifunza kubeba gunia[emoji2][emoji2] baada ya kusema Jana nime tumia laki leo nime ingiza laki 2 sbebi Tena gunia saizi mpaka kesho[emoji849][emoji849]aiseeh skuamini nikaona nitulize Hakili sjakaa sawa akaja kuri mmoja aka mwambia muuza kibanda nipigie hesabu ya bili yangu Toka hasubuhi.basi yule mwenye kibanda aka mwambia Nakudai 55600/= nikaona yule kuri akizama mfukoni na kuchomoa kibunda Kisha akatoa alfu 70000/=akampa mwenye kibanda huku aki mwambia mwanangu eeh.kata Hera yako chenji inayo Baki mpe bia huyu jamaa ni mwanangu ana goal KAMA wewe.Majengo pale afu HIYO teni inayo zidi utajua mwenye nme kubarikia kiuni au sio? basi yule jamaa pale kibandani akajibu fresh mwanangu.jamaa akaondoka nikiwa najaribu kumbuka. sjakaa sawa Nika ulizwa unatumia pombe gani? Basi Nika mwambia kata ya soda kisha nipe chenji[emoji23][emoji23]INAENDELEA...