Ustawi wa Jamii walivyoharibu maisha yangu, no# 1

Ustawi wa Jamii walivyoharibu maisha yangu, no# 1

Fact Check
1.Hakuna tarehe 2012/02/30 Kwenye gregorian calendar
2.Story yako haijaeleza ni lini mlianza mahusiano na Devo... manake ulimpa hela ya upatu ukiwa tayar ushapiga
3. Dem kuish nae siku 6 unaumita mke na isitoshe unatafuta wanaume wanaopiga kama wewe ...
4. Duka limefilisika kwa upumbavu wako...

Mauzo ya lak 2 ushapata na kiburi cha kuyatafuta matatizo kwa majina..sasa voice recorder kwa mwanamke si unatafuta kufa siku si zako mjomba.... lesson learned the hard way
 
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU no #3 baada ya kutumiwa namba za simu nikiwa mwenye hasira na wivu ulio kithili nahasira nikapiga Ile namba iliita kwa mda mlefu bila kupokelewa nikaona hapana hakuna haha ya kusubili acha niende Nika muulize yule mwanamke majibu yote yata Toka kwake nikiwa narudi nyumbani Nina hasira gafra simu yangu ikaita nilipo angalia namba ILIKUWA ninamba ngeni nikapokea ndipo nikaskia sauti ya kiume kiswahili harisia akiniambia samahani kwa usumbufu nimeona namba yako nilishindwa kupokea sababu nilikuwa kwenye mazingira ambayo siyo sahihi kwani hii namba Niya ofisini naitwa robini unaitwa Nani?? Nikamwambia naitwa killing machine 😉😉😉😉 akaniambia karibu japo nipo nje ya ofisi Kuna rafiki yangu was karibu ameniambia unatatizo na kaniambia kunamtu nimempa namba yako atakupigia. kanisisitiza nikusaidie nimeona jina lako nisawa na jina alilo Nipa nikusaidie Nini bwana killing?? Basi nikamjibu Kama nilivyo elezea hapo juu akani uliza unaweza nitumia hiyo audio?? Nikamwambia ndiyo. Akaniambia fanya hivyo. Baada ya kumyumia sauti niliyo kuwa nime irecord akaniambia nimpe dakika 30" Kisha baada ya dakika hizo akanipigia akaniuliza JE KWAMFANO IKATOKEA LABDA UKAGUNDUA UNAISHI NA MKE WA MTU UTAFANYAJE?? NIKAMWAMBIA SITO JALI NTAMUACHA" akauliza Tena KWAMFANO NIKIKUAMBIA HUYO MWANAMKE WAKO HAENDI MSIBANI BALI ANAENDA KWA MUMEWE UTA FANYAJE?? nikamjib nikamjibu sits fanya chochote ninacho taka kujua naishi na mtu wa aina gani? Ndipo akaniambia nimeskia mwanamke anajibu kwa upole na mwanaume nimakali KWAMFANO ANASEMA wewe ukowapi? mwanamke wako anajibu nipo kwa dada. Kwaukali mwanaume anauliza tena kufanya nn? Mwanamke kwauoga anajibu nakuja kesho. mwanaume anauliza kwa ukali unasemaje? Mwanamke anajibu nakuja kesho msibani.mwanaumae anauliza Tena kwa hasira msiba wanani? Mwanamke anajibu msba wa gwila mwanaume anauliza gwila yupi mbona una kazi ngumu Sana wewe mwanamke? Mwanamke ana endelea kusema nakuja kesho.mwanaume ana endelea kuita wewe?wewe? Mwanamke wako anamkatia simu. Niliendelea kumsikiliza akaniambia Sasa niskilize kwamakini na usiya sahau haya ninayo kuambia.akasema kwakawaida mwanaume na mwanamke wanapo kutatana kwa Mara yao yakwanza huanza kwa kuulizana majina baada ya hapo katoka mazungumzo yao yote huzungumza kwa kuitana majina yao waliyo tambulisha mfano. jeni ukowapi. Au Dani uko wapi? Lakini baada ya kuingia kwenye ndoa na wakadumu kwa zaidi ya miezi sita huwa Kuna kuchokana nahapo huanza kuitana wewe ukowapi? Wewe nope hiki au kile.yaani so jeni au Dani Tena hapo jina huitwa wewe😂😂 akaendelea kuniambia kwa muujibu wa audio yako uliyo nitumia nimegundua mkeo nimke wa MTU na mumewe anamtaka arudi na ndiko anako ends Soo MSIBANI Kama alivyo sema. Akaniuliza je unataka uhakikishe ninacho kuambia? Nikamjibu ndiyo akaniambia nitumie shilingi alfu tano Kisha nitakuambia ufanye nini.nduguzangu skuona shida nikatuma tano huku nikiwa na duku duku baada ya mda akaniambia tunaendelea akasema ukitoka hapa nenda nyumbani mwonyeshe mkeo mapenzi zaidi.mfanyie vitu hajawai kfanyiwa nawewe mwambie maneno mazuri Kisha lala kesho kukicha kabra hajaanza Safari mwambie hivi..... INAENDELEA......
 
Fact Check
1.Hakuna tarehe 2012/02/30 Kwenye gregorian calendar
2.Story yako haijaeleza ni lini mlianza mahusiano na Devo... manake ulimpa hela ya upatu ukiwa tayar ushapiga
3. Dem kuish nae siku 6 unaumita mke na isitoshe unatafuta wanaume wanaopiga kama wewe ...
4. Duka limefilisika kwa upumbavu wako...

Mauzo ya lak 2 ushapata na kiburi cha kuyatafuta matatizo kwa majina..sasa voice recorder kwa mwanamke si unatafuta kufa siku si zako mjomba.... lesson learned the hard way
Shukran kuhusu tarehe anzia mbele Rudi nyuma,na kuhusu kisa nashukuru umejua kabra Sija kuambia mkuu,.kuhusu kunona Nili Nona baada ya kumpa siyo kabra😉😉 na kuhusu mauzo ya lak 2 kunipa kiburi 🤔🤔so kweli mkuu mapenzi hayana kapensi😃😃 na kuhusu recorder nimazingira yalini force mkuu😂😂 yote kwa yote mjini hakuna mjanja KIla mjanja ana mjanja ake hivyo Basi Mimi niLIKUWA mshamba kwa yule mshamba wa Jana 😝😝thanx blood
Kumbe wanawake wasafa naowasumbufu eenh.
Nishidaa mkuu
 
Shukran mkuu jf c wote wana hakili zileee naa mini una amini kuskiliza kuliko kuongea
 
Kunakitu umesahau mkuu nilikuwa naingiza laki 2kwa siku lakini kadri nilivyo endelea kutoa 4000 kilasiku ndivyo mauzo yalipungua kutokana na upingufu wa bidhaaa frani frani.kama umewai kufanya biashara ya duka utakuwa unajua kwamba duka Hali hitaj kutoa Ila kuongeza vile vile Kuna matumizi binafsi. Hope itakuwa umenielewa mkuu,,
😄😄😄

😄😄😄
 
Kunakitu umesahau mkuu nilikuwa naingiza laki 2kwa siku lakini kadri nilivyo endelea kutoa 4000 kilasiku ndivyo mauzo yalipungua kutokana na upingufu wa bidhaaa frani frani.kama umewai kufanya biashara ya duka utakuwa unajua kwamba duka Hali hitaj kutoa Ila kuongeza vile vile Kuna matumizi binafsi. Hope itakuwa umenielewa mkuu,,
Tuendelee kwani iwe uwongo ama ukweli itamuongezea Nini msomaji ishu kubwa Ni elimu kujifunza
 
Hii kitu mpaka duka lako kudondoka umetumia muda gani mkuu??

Ila hilo duka lilivyokua kubwa ukahisi na ww unahitaji matumizi mengi sasa, mpaka hukuona shida kabisa kuoa.

Demu kukaa nae siku 6 ushampenda tayari duuh we noma.

Samahani una elimu gani mkuu??
 
USTAWI WA JAMII WALIVYO HARIBU MAISHA YANGU no #3 baada ya kutumiwa namba za simu nikiwa mwenye hasira na wivu ulio kithili nahasira nikapiga Ile namba iliita kwa mda mlefu bila kupokelewa nikaona hapana hakuna haha ya kusubili acha niende Nika muulize yule mwanamke majibu yote yata Toka kwake nikiwa narudi nyumbani Nina hasira gafra simu yangu ikaita nilipo angalia namba ILIKUWA ninamba ngeni nikapokea ndipo nikaskia sauti ya kiume kiswahili harisia akiniambia samahani kwa usumbufu nimeona namba yako nilishindwa kupokea sababu nilikuwa kwenye mazingira ambayo siyo sahihi kwani hii namba Niya ofisini naitwa robini unaitwa Nani?? Nikamwambia naitwa killing machine [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6] akaniambia karibu japo nipo nje ya ofisi Kuna rafiki yangu was karibu ameniambia unatatizo na kaniambia kunamtu nimempa namba yako atakupigia. kanisisitiza nikusaidie nimeona jina lako nisawa na jina alilo Nipa nikusaidie Nini bwana killing?? Basi nikamjibu Kama nilivyo elezea hapo juu akani uliza unaweza nitumia hiyo audio?? Nikamwambia ndiyo. Akaniambia fanya hivyo. Baada ya kumyumia sauti niliyo kuwa nime irecord akaniambia nimpe dakika 30" Kisha baada ya dakika hizo akanipigia akaniuliza JE KWAMFANO IKATOKEA LABDA UKAGUNDUA UNAISHI NA MKE WA MTU UTAFANYAJE?? NIKAMWAMBIA SITO JALI NTAMUACHA" akauliza Tena KWAMFANO NIKIKUAMBIA HUYO MWANAMKE WAKO HAENDI MSIBANI BALI ANAENDA KWA MUMEWE UTA FANYAJE?? nikamjib nikamjibu sits fanya chochote ninacho taka kujua naishi na mtu wa aina gani? Ndipo akaniambia nimeskia mwanamke anajibu kwa upole na mwanaume nimakali KWAMFANO ANASEMA wewe ukowapi? mwanamke wako anajibu nipo kwa dada. Kwaukali mwanaume anauliza tena kufanya nn? Mwanamke kwauoga anajibu nakuja kesho. mwanaume anauliza kwa ukali unasemaje? Mwanamke anajibu nakuja kesho msibani.mwanaumae anauliza Tena kwa hasira msiba wanani? Mwanamke anajibu msba wa gwila mwanaume anauliza gwila yupi mbona una kazi ngumu Sana wewe mwanamke? Mwanamke ana endelea kusema nakuja kesho.mwanaume ana endelea kuita wewe?wewe? Mwanamke wako anamkatia simu. Niliendelea kumsikiliza akaniambia Sasa niskilize kwamakini na usiya sahau haya ninayo kuambia.akasema kwakawaida mwanaume na mwanamke wanapo kutatana kwa Mara yao yakwanza huanza kwa kuulizana majina baada ya hapo katoka mazungumzo yao yote huzungumza kwa kuitana majina yao waliyo tambulisha mfano. jeni ukowapi. Au Dani uko wapi? Lakini baada ya kuingia kwenye ndoa na wakadumu kwa zaidi ya miezi sita huwa Kuna kuchokana nahapo huanza kuitana wewe ukowapi? Wewe nope hiki au kile.yaani so jeni au Dani Tena hapo jina huitwa wewe[emoji23][emoji23] akaendelea kuniambia kwa muujibu wa audio yako uliyo nitumia nimegundua mkeo nimke wa MTU na mumewe anamtaka arudi na ndiko anako ends Soo MSIBANI Kama alivyo sema. Akaniuliza je unataka uhakikishe ninacho kuambia? Nikamjibu ndiyo akaniambia nitumie shilingi alfu tano Kisha nitakuambia ufanye nini.nduguzangu skuona shida nikatuma tano huku nikiwa na duku duku baada ya mda akaniambia tunaendelea akasema ukitoka hapa nenda nyumbani mwonyeshe mkeo mapenzi zaidi.mfanyie vitu hajawai kfanyiwa nawewe mwambie maneno mazuri Kisha lala kesho kukicha kabra hajaanza Safari mwambie hivi..... INAENDELEA......
Mhmhh hii sehemu alielewa anisaidie, nimetoka mweupe hapa
 
Back
Top Bottom