Ustawi wa Jamii walivyoharibu maisha yangu, no# 1

we jamaa weka aya
 
Kweli kuishia la Saba b si mchezo [emoji848][emoji848]

Nimetoka bila bila
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yan ukawapigia voda kuwambia wakusaidie kumpata mchepuko wa mchepuko wako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hii story n ya kweli yote haya uliyataka mwenyewe
 
"BAADA ya Kama nusu saa akaja moja kwa moja mpaka kibandani bila saramu wala Nini na kuniambia naomba funguo na Hera ya mboga nikamuuliza unaongea na Mimi? Akajibu ulijua unaongea na Nani? Basi nikamtazama kwa mdaa Kisha nikampa funguo na Hera ya mboga akaondoka bila kuaga nikacheka huku nikisema kweli taahira wewe"




Ustahimilivu umeishia hapa aseee
 
Niliwahi kuandika na ninarudia, hizi story tusisome kama kufurahisha na kupotezea muda kuna kitu cha kujifunza pia kuna fulsa hapo kwa hapo!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…