Utabiri: Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Sugu atavunja record kwa kupata kura ambazo hakuna mgombea mwingine aliwahi kupata

Huu si utabiri,hili jambo liko wazi kabisa.
 
Naomba uniwekee baadhi ya tabiri zako zilizo materialize, usiku hii ya Sugu kugombea urais ni gia tuu ya kumkimbia Betina!.
P
Mimi sio mtaalam sana wa tabiri, lkn huu utabiri wa Sugu umenijia ndotoni ghafla nikaona nije niwashirikishe watu hapa JF, ili likitokea niseme kumbe nilichokiona ndotoni ndio kilichotokea.
 
Mimi sio mtaalam sana wa tabiri, lkn huu utabiri wa Sugu umenijia ndotoni ghafla nikaona nije niwashirikishe watu hapa JF, ili likitokea niseme kumbe nilichokiona ndotoni ndio kilichotokea.
Usisahau pia kurudi hapa na kukiri kwamba ulikula sana ukalala na kuota kisichowezekana.Time will tell ingawa najua visingizio havitakosekana.
 
Usisahau pia kurudi hapa na kukiri kwamba ulikula sana ukalala na kuota kisichowezekana.Time will tell ingawa najua visingizio havitakosekana.
Na utabiri wangu ukiwezekana, utarudi kunipongeza mkuu?
 
Nashauri uzi huu ungeendana na vigezo anazotakiwa kuwa nazo Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, halafu tuangaloe kama Sugu anakidhi vigezo hivyo.
Utabirri usiozingatia vigezo n8 utabiri wa kiajali ajali.
 
Sijui umeandika nini,
 
Kuna vitu viwili mkuu. Kuwa makini

1. Kupata kura nyingi
2. Kutangazwa mshindi

Hivi vitu havichangamani na havitegemeani kwa Tz. Be careful
Ndio maana kama ulisoma vizuri hapo chini niliandika kwamba utabiri wangu hauzungumzii wala kuona kwamba Sugu atamshinda mgombea wa chama tawala, iwe kihalali au kiwizi.

Utabiri unanionesha tu kwamba ataibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama chake, pia atapata kura nyingi (huenda sio kuzidi za mgombea uraisi wa chama tawala) kuliko wagombea wengine waliowahi kugombea kupitia upinzani kama vile Mrema 1995, Lipumba 2000 - 2005, Dr Slaa 2010, Lowasa, Lisu nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…