Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo POPOMA umetoa ushauri mzuriKabla ya Kuvuta Bangi hakikisheni kuwa mmekula Kwanza na mmeshiba vyema sawa?
Soma kwa makini ulichoandika basi, ili kuwe na DOUBLE STANDARD au kusiwe na DOUBLE STANDARD ?Shafii dauda na wengine waliofungiwa wafunguliwe basi ili kuwe na double standard.... nashukuru Ile kamati ya tff haina siasa...lungu litaendelea msijipe moyo kwa vitu ambavyo havipo
Mnapenda kujidanganya halafu mnamuona Manara mungu mtu wenu, huyo akisamehewa kwasababu yoyote ile na wengine wote nao wafunguliwe, hana special wowote zaidi ya ujuaji wa kishamba.
Kabla ya Kuvuta Bangi hakikisheni kuwa mmekula Kwanza na mmeshiba vyema sawa?
Kwasababu halihusu shughuli za kimpira ambazo zinasimamiwa na FIFA?Umeenda mbali sana mambo mengine FIFA hayawahusu swala la msemaji wa team sio la FIFA
Kwahiyo kama walijibizana na kutishiana. Na kunyoosheana vidole. Why Karia yeye hajaitwa kushitakiwa, kujitetea?Hakuna kosa, hayo ni maelezo ya shahidi kuwa wakati manara akiongea hivyo, alikuwa ameshika vitu hivyo
Sawa angesema alikuwa ameshika gazeti
Kwahiyo kama walijibizana na kutishiana. Na kunyoosheana vidole. Why Karia yeye hajaitwa kushitakiwa, kujitetea?
Wamechepusha kusema ukweli jamaa alikuwa na bangiil anaipuliza kabisaKuna kosa eti la kuwa na Embassy na kibiriti. TFF[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa mbugilambugila hawajui kuwa wanazidi kumchongea huyu zeruzeru waoKabla ya Kuvuta Bangi hakikisheni kuwa mmekula Kwanza na mmeshiba vyema sawa?
Kwani Haji ni msemaji wa bongo movie? Hili suala la mpira ndiyo maana amehukumiwa na kamati ya maadili ya TFFUmeenda mbali sana mambo mengine FIFA hayawahusu swala la msemaji wa team sio la FIFA
Kama unataka aanza kui challenge hiyo Sheria na kanuni iliyotumika kumliga hizo nyundo,au unafikiri amehukumiwa kwenye kijiwe cha kahawa.Kwann afunguwe miaka 2 halafu ile Faini yake iwe kubwa?
Kuna namna hii kesi inaendeshwa?
Mbwana Makata na mwenzake walikula mvua ya miaka 5 na faini juu,ikapunguzwa hadi kufikia miezi 6
Kuna namna ile miaka 2 inaenda kufutwa na kubaki faini ya milioni 20 na huyu kuwa Huru
Unategemea kupata jibu hapa? Ndiyo maana kapewa siku 21 za kukata rufaa. Nyie watopolo ni mazuzu sanaKwahiyo kama walijibizana na kutishiana. Na kunyoosheana vidole. Why Karia yeye hajaitwa kushitakiwa, kujitetea?
Labda mrogeUnamaanisha TFF ni paper tiger [emoji234][emoji234][emoji234] kama USA[emoji23][emoji23]