Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu si unamuona yuko na micSiku ya mwananchi ni leo, vipi yupo huru au utabiri wako ni MENE MENE TEKELI na PERESI?
Njoo umtake radhi huyu mtabili anae sitahiki kuitwa nguli kwa mashariki na kati mwa [emoji288]Kabla ya Kuvuta Bangi hakikisheni kuwa mmekula Kwanza na mmeshiba vyema sawa?
Kuja umuone Hajj Manara.Mnapenda kujidanganya halafu mnamuona Manara mungu mtu wenu, huyo akisamehewa kwasababu yoyote ile na wengine wote nao wafunguliwe, hana special wowote zaidi ya ujuaji wa kishamba.
Mwambie kabla ya kuparamia tabiri za watu, kwanza awe anawasiliana namizimu yake yote , Ile kisenyi Na ya Butiama.Leo POPOMA umetoa ushauri mzuri
Wacha waseme Chama cha mapinduzi kina wenyewe[emoji445][emoji445]Lete Maneno........
By JK Wa Msoga Mboga Chalinze Tanzania Afrika Mashariki
😁😄😄Ila Yule Baba Ana Maneno SanaWacha waseme Chama cha mapinduzi kina wenyewe[emoji445][emoji445]