Utabiri: Mbowe utaalikwa kwenda Magogoni, ila nakushauri ukienda kwa siku hizi za karibuni

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 

Angalia kinachoendelea sasa hivi huko kwa Madiba ndio utaelewa kwa upana haswa hayo unayoyaita “matokeo chanya “.
 

Mkuu wewe utakuwa ni nabii. Ulitabiri yakatimia. Si utuambie tu na katiba mpya mchakato utaanza lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…