Utabiri: Mbowe utaalikwa kwenda Magogoni, ila nakushauri ukienda kwa siku hizi za karibuni

Utabiri: Mbowe utaalikwa kwenda Magogoni, ila nakushauri ukienda kwa siku hizi za karibuni

Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.


Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Mataga
JamiiForums-1732882270_375x384.jpg
 
Una hoja nzuri mkuu lakini katika harakati za mapambano kama hizi sio BUSARA wala HEKIMA, KUSUSIA (Sulk!) kukutana na mshindani wako (pratagonist) hususani pale wote mnapoamini kwamba "Round table" aka meza ya mazungumzo ndio suluhu, tofauti na hivyo ni kuchukua silaha na kusahau AMANI!
Hayati Nelson Mandela hata baada ya miaka 27 gerezani bado hakususa kukutana na watesi wake, sembuse miezi 8 tu ya FAM! Na Madiba alipata matokeo chanya yaliyotarajiwa na wanachi wa Azania.

Angalia kinachoendelea sasa hivi huko kwa Madiba ndio utaelewa kwa upana haswa hayo unayoyaita “matokeo chanya “.
 
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.

Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.

Mkuu wewe utakuwa ni nabii. Ulitabiri yakatimia. Si utuambie tu na katiba mpya mchakato utaanza lini?
 
Back
Top Bottom