Suzanne Kainerugaba
Member
- Nov 8, 2022
- 12
- 21
Kuwa Rais anaweza,ila kuwa Rais mwenye mafanikio kuliko yeyote Africa ni kutudanganya! Kwa watu wapi atakaofanya nao kazi? Kwanini waliopita hawakuwa marais bora Africa afanikiwe Dotto? Tunapaswa kuutazama urais kuwa si kitu cha mtu na kutazama nguvu kubwa waliyonayo wanaomzunguka Rais kwenye mafanikio ya taifa.