Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Kuwa Rais anaweza,ila kuwa Rais mwenye mafanikio kuliko yeyote Africa ni kutudanganya! Kwa watu wapi atakaofanya nao kazi? Kwanini waliopita hawakuwa marais bora Africa afanikiwe Dotto? Tunapaswa kuutazama urais kuwa si kitu cha mtu na kutazama nguvu kubwa waliyonayo wanaomzunguka Rais kwenye mafanikio ya taifa.
 
CCM mnamtisha maza eee? mmesahau kwamba yeye ndiye Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote? unless mwenyewe aamue kumpumzika vinginevyo mnajua vitu vizito ambayo hutua kichwani - 😀 😀 😀
 
Kuna sehemu nimeikuta hii
Screenshot_20221107-105321_Facebook.jpg
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Haya bwana. Aliyetabiri kuanguka ndege utabiri umetimia. Ngoja tusubiri wa kwako.
 
Kuwa Rais anaweza,ila kuwa Rais mwenye mafanikio kuliko yeyote Africa ni kutudanganya! Kwa watu wapi atakaofanya nao kazi? Kwanini waliopita hawakuwa marais bora Africa afanikiwe Dotto? Tunapaswa kuutazama urais kuwa si kitu cha mtu na kutazama nguvu kubwa waliyonayo wanaomzunguka Rais kwenye mafanikio ya taifa.
Hata Muhoz Kainerugaba anafaa Sana Hapo uganda!umeshamshauri mzee apumzike na ni zamu ya Kijana wake!!?

Kuhusu ukorofi ule atatulia tu akiwa chini ya uangalizi kama Rais wa Uganda!!

Wasalimie kina iliharugo Hapo Mbarara!!
 
Hata Muhoz Kainerugaba anafaa Sana Hapo uganda!umeshamshauri mzee apumzike na ni zamu ya Kijana wake!!?

Kuhusu ukorofi ule atatulia tu akiwa chini ya uangalizi kama Rais wa Uganda!!

Wasalimie kina iliharugo Hapo Mbarara!!

Hata Muhoz Kainerugaba anafaa Sana Hapo uganda!umeshamshauri mzee apumzike na ni zamu ya Kijana wake!!?

Kuhusu ukorofi ule atatulia tu akiwa chini ya uangalizi kama Rais wa Uganda!!

Wasalimie kina iliharugo Hapo Mbarara!!
Mkuu hilo jina limekufanya unitoe Tanzania kunipeleka Ikulu ya Uganda. Nitazifikisha salamu nikiwa Tanzania kama Mtanzania.
 
Back
Top Bottom