pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Labda raisi wa kanda yako huko!
Hatuwezi tena kufanya makosa kama yale ya kumpa nchi mwendazake.
Hatuwezi tena kufanya makosa kama yale ya kumpa nchi mwendazake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Kanda Ina maforeigner wengi sana. Mmoja alishaharibu kila kitu hatuwezi kuruhusu tena kuwapa jumba jeupeLabda raisi wa kanda yako huko!
Hatuwezi tena kufanya makosa kama yale ya kumpa nchi mwendazake.
Mbona hujachoka kutawaliwa na WA Oman?jamani mhajachoka tuuu kutawaliwa na wahutu??? yule meko alikuwa wa huko na huyu mnataka kumleta ni mhutu kabsaaaaaaaaaaa
roho mbaya haijengi mkuuHizo ni ndoto za mchana kweupe. Hata huo uwaziri alipwwa na Magu kwa upendeleo; na Mama amemuacha tu kwa muda
wewe ni Mungu?Na ww huyo Biteko ni shangazi ako em tulia
Lini nchi ishatengemaa?Nyie mnaotuletea maraisi wa ajabu ndio mnaharibu nchi
Hapo ni No! Demokrasia na taasisi imara YES!dictatorship
tunashukuru kutuwekea tangazo wateja waje kukufumuaHuyu shoga hawezi kuwa rais. Juzi tu nilikuwa naye guest nakula mzigo
Kwani mana yeye hajapewa kwa kubebwa?Hizo ni ndoto za mchana kweupe. Hata huo uwaziri alipwwa na Magu kwa upendeleo; na Mama amemuacha tu kwa muda
Kwahiyo Rais Samia ndo anafaa?Ila nyie vijana
Yani uzunguke kote kote ety huyo anafaa kua rahisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]
Nani mlamba asali!!??Lini nchi ishatengemaa?
Walamba asali mkishakaa jikoni mnasahau maisha ya wenzenu huku mtaani.
Mikoa yote ya mipakani tuna majirani zetu wengi waliohamia kwetu, wakalowea kwetu, wakaoa au kuolewa kwetu, wakazaa watoto ambao ni wenzetu ila watoto wao wana akili kuliko watoto wetu!. Hivyo kwa kila maeneo ya mipakani, wahamiaji wazawa ni the adjecent tribes!.Walihamia kutokea wapi ?
Ukinijibu itapendeza sans
Ova
Jibu hoja sasa.Nani mlamba asali!!??
Kumbe we mpumbavu kama FURUSHI LA CHANJO
Na ukitaka tuianzishe hojaMikoa yote ya mipakani tuna majirani zetu wengi waliohamia kwetu, wakalowea kwetu, wakaoa au kuolewa kwetu, wakazaa watoto ambao ni wenzetu ila watoto wao wana akili kuliko watoto wetu!. Hivyo kwa kila maeneo ya mipakani, wahamiaji wazawa ni the adjecent tribes!.
Ila pia, baadhi ya watambuzi huwatambua kwa ethinicy features!, ukiwatazama, sura zao, rangi zao, macho yao na meno yao, unaweza kuwajua na kuwa distinguish na wazawa halisi!.
P
Naam, taifa la mbilikimo sharti liongozwe na mbilikimo! Utadhani Nyerere, Mkapa walitokea Mauritius!
Jina lake Dotto Biteko.
Ndio Rais anayefuata baada ya Samia Suluhu. Ndio Rais ataefanya transformation kubwa za kiuchumi kwa taifa.
Atachanganya demokrasia na dictatorship kwa pamoja. Atakutana na vikwazo vingi ila raia watamuelewa na kumuunga mkono.
Haya ni maono yangu tu, sio habari za chini ya kapeti.
Tanzania itakuwa na Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini na Afrika.
Sijasema tuanzishe hoja nani ni nani, bali kufuatia kufanya makosa fulani huko nyuma katika kuchagua viongozi wetu, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa!. Aliyeumwa na nyoka, akiona unyasi anashituka!, tumeisha umwa na nyoka, tusirudie makosa!.Na ukitaka tuianzishe hoja
ya nani ni nani nchi hii!
Huko CCM ndio wamejificha wa kutosha.