Suzanne Kainerugaba
Member
- Nov 8, 2022
- 12
- 21
Sijasema tuanzishe hoja nani ni nani, bali kufuatia kufanya makosa fulani huko nyuma katika kuchagua viongozi wetu, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa!. Aliyeumwa na nyoka, akiona unyasi anashituka!, tumeisha umwa na nyoka, tusirudie makosa!.
P
Acha ubaguzi Ndugu.Utawaliwe na mnyarwanda. Unawajua vizuri kweli. Kaulizie wilaya ya biharamulo ngara wanavosumbuliwa na hawa wahima.
Ulitaka wafikirie masaburi?Aliwahi kusema Rais Obama kuwa Afrika haiendelei kwa sababu watu wanafikiria vyeo badala ya maendeleo.
Mkuuukitaka kuruka sharti agana na nyonga.
kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Utakua wewe su mukyaNgoja tusikilizie pengine yaweza kua kweli
Aweza kua mama mzazi wako neema ikawa juu ya neema kwenuUtakua wewe su mukya
Adui wa mtu hatoki nje, Bali ni mtu wa karibu nyumbani mwako.Kuna sehemu nimeikuta hiiView attachment 2411296
Haya bwana. Aliyetabiri kuanguka ndege utabiri umetimia. Ngoja tusubiri wa kwako.Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Hata Muhoz Kainerugaba anafaa Sana Hapo uganda!umeshamshauri mzee apumzike na ni zamu ya Kijana wake!!?Kuwa Rais anaweza,ila kuwa Rais mwenye mafanikio kuliko yeyote Africa ni kutudanganya! Kwa watu wapi atakaofanya nao kazi? Kwanini waliopita hawakuwa marais bora Africa afanikiwe Dotto? Tunapaswa kuutazama urais kuwa si kitu cha mtu na kutazama nguvu kubwa waliyonayo wanaomzunguka Rais kwenye mafanikio ya taifa.
Hata Muhoz Kainerugaba anafaa Sana Hapo uganda!umeshamshauri mzee apumzike na ni zamu ya Kijana wake!!?
Kuhusu ukorofi ule atatulia tu akiwa chini ya uangalizi kama Rais wa Uganda!!
Wasalimie kina iliharugo Hapo Mbarara!!
Mkuu hilo jina limekufanya unitoe Tanzania kunipeleka Ikulu ya Uganda. Nitazifikisha salamu nikiwa Tanzania kama Mtanzania.Hata Muhoz Kainerugaba anafaa Sana Hapo uganda!umeshamshauri mzee apumzike na ni zamu ya Kijana wake!!?
Kuhusu ukorofi ule atatulia tu akiwa chini ya uangalizi kama Rais wa Uganda!!
Wasalimie kina iliharugo Hapo Mbarara!!
Sijaongea popote kuhusu bibi maushungiKwahiyo bibi maushungi ndo anafaa?
Wewe ni Yesu?!wewe ni Mungu?