Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.

Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.🙏🙏🙏
Ni pale tu Zanzibar itakapoacha. Ubaguzi kwa Wabara kwa sababu zao, we mlamba asali jipe moyo ila kuna siku litabutuka.
Eti mgawane madaraka ya nchi (sawa kwa sawa) yenye watu milioni 60 na watu waliokusanywa milion 2 katika wilaya !!
Yaani mgawane keki ya taifa sawa kwa sawa.
Yaani mgawane fedha za mikopo sawa kwa sawa, ila kulipa isiwe sawa kwa sawa!
 
We ndio umeongea ukweli mchungu, wengine wanajitia moyo tu.
Sawa!

Lakini si mpaka tufikie huko 2025!?

Kwanini mnapenda ku project mambo kabla ya Muda!?

Mnamchuria Sasa 2025 BADO mbali Sana kwanini !!!?mnamsababishia vita vya Bure tu! mwacheni atimize ilani KWANZA!

Aiseh!!
 
ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.

kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Na Wazanzibara wote tuseme AMINA!!
 
Tunaenda na mama mpaka 2030 mama mpenda haki Mungu amlinde na amtunze!
 
Kuna mtu anajiita #MguseMamaNinuke huko Twitter ngoja nimlete humu Ili anuke.
 

Jina lake Dotto Biteko.

Ndio Rais anayefuata baada ya Samia Suluhu. Ndio Rais ataefanya transformation kubwa za kiuchumi kwa taifa.

Atachanganya demokrasia na dictatorship kwa pamoja. Atakutana na vikwazo vingi ila raia watamuelewa na kumuunga mkono.

Haya ni maono yangu tu, sio habari za chini ya kapeti.

Tanzania itakuwa na Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini na Afrika.
This was November 8, 2022.

Okay
 
Back
Top Bottom