Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kwa CCM form ina printiwa fomu moja tuu, the one and only!.Kwani kuchukua form mtu mwingine huwa hairuhusiwi mkuu,ni uoga tu wa kuonekana unampinga Mwenyekiti
Inamaana hapo jibu ni twende na Mwenyekiti tu........basi kuna ukuta hapo kwa wahitaji uraisKwa CCM form ina printiwa fomu moja, the one and only!.
Hii ndio demokrasia ya CCM!.
P
No democrasia haiminywi, hii ni utaratibu wa CCM, hivyo ndio demokrasia yao.Mkuu unamaanisha huwa Demokrasia inaminywa?
Kama ni traditional basi inabidi wakubali na kusubilia 2030........japo lolote linaweza kutokeaNo democrasia haiminywi, hii ni utaratibu wa CCM, hivyo ndio demokrasia yao.
P
Ni pale tu Zanzibar itakapoacha. Ubaguzi kwa Wabara kwa sababu zao, we mlamba asali jipe moyo ila kuna siku litabutuka.Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.
Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.🙏🙏🙏
Baada ya lolote linaloweza kutokea, kutokea, sasa hatuna tena sababu ya kusubiria hadi hilo lolote linaloweza kutokea, litokee, tunalizuia kabla halijatokea ndio maana tunamshauri, Mama, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje MwanamkeKama ni traditional basi inabidi wakubali na kusubilia 2030........japo lolote linaweza kutokea
Where are you DR UCHWARA?Huyu mtoto anayeitwa Stuxnet hawezi kuelewa hizi hisabati za kisiasa.
Yeye anakwambia sukuma gang wanakomeshwa.
Membe haezi kuleta mshituko Kwa upinzani hata kidogo.Au Benard Membe?
Sawa Mungu atupe uhai, lkn kimya chake kinanishangazaMembe haezi kuleta mshituko Kwa upinzani hata kidogo.
CCM Ina hazina ya viongozi walioandaliwa vizuri.
We ndio umeongea ukweli mchungu, wengine wanajitia moyo tu.Kwa CCM form ina printiwa fomu moja tuu, the one and only!.
Hii ndio demokrasia ya CCM!.
P
Sawa!We ndio umeongea ukweli mchungu, wengine wanajitia moyo tu.
Na Wazanzibara wote tuseme AMINA!!ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.
kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Debe tupu lile!!Sawa Mungu atupe uhai, lkn kimya chake kinanishangaza
Kati ya nani na nani?mchuano ni mkali
This was November 8, 2022.
Jina lake Dotto Biteko.
Ndio Rais anayefuata baada ya Samia Suluhu. Ndio Rais ataefanya transformation kubwa za kiuchumi kwa taifa.
Atachanganya demokrasia na dictatorship kwa pamoja. Atakutana na vikwazo vingi ila raia watamuelewa na kumuunga mkono.
Haya ni maono yangu tu, sio habari za chini ya kapeti.
Tanzania itakuwa na Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini na Afrika.
Ukishakuwa waziri/naibu waziri mkuu, urais sahauThis was November 8, 2022.
Okay