Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Hapa unataka kumvuruga mavi Lord denning

Yeye anaamini mama yupo mpaka 2040.

Kumbe kuna vidume vimeshacheza karata vinasubiri kumbetua mama kibabe kabla ya 2023.
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni

Watu watatekwa fomu utairudishaje hapo Lumumba ON na Dom.
 
Lililo dhahiri ni hili;

1. Mwanamke Rais Samia Suluhu Hassan hawezi kuchukua form ya kugombea u - Rais aidha kwa hiari yake au kwa kukataliwa na chama chake iwapo tu ataendelea kupata neema ya kufika hadi hiyo 2025...

## Kwa hili uko sahihi, Tanzania haikuwa tayari na haitakuwa tayari kuongozwa na mwanamke tena labda mpaka baadaye miaka ya usoni..

2. Haijalishi huko CCM nani atachukua au hatachukua fomu za ugombezi wa u - Rais.

Ila, this is undisputed fact, kwamba, uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi unafikia ukingoni kama siyo kesho basi si zaidi ya 2025...!

Kwa hiyo, tunapojadili hatima ya uongozi wa taifa la Tanzania, tuna kila sababu ya kuanza kuiondoa CCM ktk hatima ya nchi hii...

Sina hakika na unachozungumza kwenye hii post yako, au kwenye uzi huu, lakini mimi ni mmoja ya watu wasioamini tena kwenye uwepo wa CCM madarakani. Na ikibidi tuondoe kabisa huu mfumo wa chama kimoja kukaa madarakani kwa shuruti kwa muda mrefu. Naona akina Mwigulu wameanza kuiba pesa ili wakae madarakani kwa njia chafu.
 
Sina hakika na unachozungumza kwenye hii post yako, au kwenye uzi huu, lakini mimi ni mmoja ya watu wasioamini tena kwenye uwepo wa CCM madarakani. Na ikibidi tuondoe kabisa huu mfumo wa chama kimoja kukaa madarakani kwa shuruti kwa muda mrefu. Naona akina Mwigulu wameanza kuiba pesa ili wakae madarakani kwa njia chafu.
Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.

Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.🙏🙏🙏
 
Fanya kazi kwa bidii upate hela za kulea watoto wako,
hizi siasa za nchi zinahitaji utulivu Sana ktk kuzifuatilia, tunahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo na kifkra kuliko kubadilisha badilisha watu,
Maana watu wengi hawasimami na hoja Bali wanaangalia watu
 
Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.

Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.🙏🙏🙏

Hiyo misingi ni ya kiccm. Na kwa taarifa yako muda wa CCM kukaa madarakani umepita, huo muda wa kulinda misingi ya kukimbiza ushirikina uitwao mwenge umepita boss. Hakuna anayetukana vyombo vya dola, bali vyombo vya dola vinapewa ukweli wake kwa kujiingiza kwenye kuibeba CCM badala ya kulinda taifa.
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Utabiri mfu huu.
Chief ameishapanga safu yake ni nani wa kumshinda?
 
Back
Top Bottom