Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwann waciwe tayar kuongozwa na mwanamkeLililo dhahiri ni hili;
1. Mwanamke Rais Samia Suluhu Hassan hawezi kuchukua form ya kugombea u - Rais aidha kwa hiari yake au kwa kukataliwa na chama chake iwapo tu ataendelea kupata neema ya kufika hadi hiyo 2025...
## Kwa hili uko sahihi, Tanzania haikuwa tayari na haitakuwa tayari kuongozwa na mwanamke tena labda mpaka baadaye miaka ya usoni..
2. Haijalishi huko CCM nani atachukua au hatachukua fomu za ugombezi wa u - Rais.
Ila, this is undisputed fact, kwamba, uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi unafikia ukingoni kama siyo kesho basi si zaidi ya 2025...!
Kwa hiyo, tunapojadili hatima ya uongozi wa taifa la Tanzania, tuna kila sababu ya kuanza kuiondoa CCM ktk hatima ya nchi hii...
haya waondoe ccm utawaweka wakina msigwa auSina hakika na unachozungumza kwenye hii post yako, au kwenye uzi huu, lakini mimi ni mmoja ya watu wasioamini tena kwenye uwepo wa CCM madarakani. Na ikibidi tuondoe kabisa huu mfumo wa chama kimoja kukaa madarakani kwa shuruti kwa muda mrefu. Naona akina Mwigulu wameanza kuiba pesa ili wakae madarakani kwa njia chafu.
Kwenye JF kwa watu wanaotumia fake ID wote wana umri sawa, unless mtu yuko verified kama Pascal Mayalla. Unaniita "dogo" nikiweka jina langu halisi unaweza kujilaumu. Maana naweza kuwa ndiye Boyfriend (Mchepuko) wa Mama yako mzazi. Heshimu watu tafadhali Dokta UchwaraDogo nakuruhumia sana unavyoteseka na mambo usiyoyajua.
DadekHabari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Utabiri una mafumbo, nabii kama Yusufu angepasua tu ng'ombe 7 wanono miaka 7 ya shibe na ng'ombe 7 waliokonda miaka 7 ya njaa haya hebu twambie Mabeyo ndiye anatabiriwa??Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Mbona inafahamika kijani tutakwenda na ****** wa ****** huo mwaka 2025!! Kuachia kigoda cha mjengoni kumempa nafasi ya kupata muda wa kushughulikia hilo!Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Ningekuwa Professor Lipumba, ningesema. "SAWA SAWA".Kama jpm angekuwa hai hii ilikuwa ni awamu yake ya vipindi viwili.Kwa.hiyo.huyu Ssh naye anamalizia sehemu ya kipindi kilichobaki maana naye alikuwa ni msaidizi wa jpm.Nasema tena naye atakuwa amemaliza kipindi chake cha utawala,hivyo ni lazima fomu zitolewa zaidi ya moja.Kidumu Chama cha .....
Nachukulia hii comment kama ni KUMTISHIA Rais aliyeko madarakani.ukitaka kuruka sharti agana na nyonga..
kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA"
na akikaidi ata leftishwa in Peace
Bado mbali sana mkuuHabari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Mapinduzi ya tanzania mazuri sana huwa hawatumii nguvu nyingi mmoja anaondoka mwingine katiba inamchukuaukitaka kuruka sharti agana na nyonga..
kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA"
na akikaidi ata leftishwa in Peace
Mawazo ya kisenge haya. Unasema "Taifa halijawa tayari kuongozwa na mwanamke", wakati anayeongoza ni mwanamke toka 2021 mwezi Machi? Ni utayari upi unaomaanisha? Pili je umesoma Katiba ya JMT imesemaje kuhusu sifa za Rais? Yaani Sukuma gang mnapagawa, Nchi iko salama na Rais SSHItakapofanyika hivyo bila shaka itagundulika taifa bado halijakua tayari kuongozwa na mwanamke.
Wananchi kuongelea uchaguzi 2025 ni ikiwa imebaki miaka 3 na nusu inatia shaka.Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
haya waondoe ccm utawaweka wakina msigwa au
Tatizo Si MWANAMKE, tuangalie capacity.Mawazo ya kisenge haya. Unasema "Taifa halijawa tayari kuongozwa na mwanamke", wakati anayeongoza ni mwanamke toka 2021 mwezi Machi? Ni utayari upi unaomaanisha? Pili je umesoma Katiba ya JMT imesemaje kuhusu sifa za Rais? Yaani Sukuma gang mnapagawa, Nchi iko salama na Rais SSH
Siku hizi urais ni dili tu kama madili mengine! Mpaka kina Pre-february wanaota urais, kisa ni mabingwa wa madili!!!Ningekuwa Professor Lipumba, ningesema. "SAWA SAWA".
Umenena vyema bt 2025 Bado mbaal mno. Bado tunamdai aliepo mengi hayajafanyika. Najua mmechoka.
Bt imebaki miaka 3 na nusu, Si sawa kupandisha "homa ya uchaguzi" muda huu.
Alitukosea sana kukiri kugombea 2025 Akali ana mwaka mmoja tu!
KATIBA mpya ni Muhimu kuliko utabiri wa Rais ajaye Kwa sasa. AmenHabari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
MkuuWananchi kuongelea uchaguzi 2025 ni ikiwa imebaki miaka 3 na nusu inatia shaka.
Ni kuashiria kuwa WAMECHOSHWA na yanayoendelea nchini Sema tu hawana la kufanya.
Tafadhali wabadilishwe Hawa mawaziri 4 labda minong'ono itapungua mtaani,
Mtumbue MADELUU, KAMBA, PENA na yule Mtoto wa NANII. Tafadhali kdogo tupumue, wametukalia kooni sana.
Amen