Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Ndalichako ni msomi na mwanataaluma.Kwa akili yako unaona Prof Ndalichako ana uwezo wa kuwa Rais mzuri kumzidi Samia?
Samia ni mcheza vigodoro na sekretari wa NGO.
Chagua nani anafaa zaidi kati ya wawili hao.