Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Kwa akili yako unaona Prof Ndalichako ana uwezo wa kuwa Rais mzuri kumzidi Samia?
Ndalichako ni msomi na mwanataaluma.

Samia ni mcheza vigodoro na sekretari wa NGO.

Chagua nani anafaa zaidi kati ya wawili hao.
 
Ina MAANA Kinana ndiyo Mwenyekiti wa CHAMA sio!!!?
Nakumbuka hotuba yake Baada kuteuliwa m.kiti alisema CHAMA NDIO KINAIELEKEZA SERIKALI NA SIO SERIKALI INAELEKEZA CHAMA!!

TUSUBIRI
KWELI mjoli Anaweza penya KWA kura za kanda ya ziwa ndani ya CHAMA!!!
Ngoja TUONE!
Kuna hoja imeibuliwa na Dr Uchwara kuwa aliepo amechaguliwa uenyekiti Kwa miaka 2, yaani Kwa matazamio, chimbua ukwelii wa hoja hiyo.
 
Kuna hoja imeibuliwa na Dr Uchwara kuwa aliepo amechaguliwa uenyekiti Kwa miaka 2, yaani Kwa matazamio, chimbua ukwelii wa hoja hiyo.
Hoja hiyo inalandana na kifungu cha kikatiba kisemacho namba Moja anapoitwa Kule makamu hushika kiti chini ya uangalizi wa miaka MBILI kuona kama anaweza!!kama hawezi anaambiwa achia ashike Mwingine Mwenye capacity!!
Nadhani CHAMA ni chambo tu lakini hatma ipo kikatiba kabisa ya sasa!

Na hapo zengwe huchezwa kukutemesha kitumbua !inawezekana hata hayo makodi na wamasai ikawa shere ya kumtoa Relini Kumbuka pia kumnanga marehemu kukazua hasira ya kanda ya nyanza akapoteza uungwaji mkono wa kanda kubwa MBILI hizo!!!
Wakamuweka kapuni!!

Tayari wamefanikiwa kule kanda ya nyanza na Sasa wanakamilisha kanda ya kaskazini halafu rasmi wamwambie umepoteza mvuto HUKO!!!
TUSUBIRI
 
Hoja hiyo inalandana na kifungu cha kikatiba kisemacho namba Moja anapoitwa Kule makamu hushika kiti chini ya uangalizi wa miaka MBILI kuona kama anaweza!!kama hawezi anaambiwa achia ashike Mwingine Mwenye capacity!!
Nadhani CHAMA ni chambo tu lakini hatma ipo kikatiba kabisa ya sasa!

Na hapo zengwe huchezwa kukutemesha kitumbua !inawezekana hata hayo makodi na wamasai ikawa shere ya kumtoa Relini Kumbuka pia kumnanga marehemu kukazua hasira ya kanda ya nyanza akapoteza uungwaji mkono wa kanda kubwa MBILI hizo!!!
Wakamuweka kapuni!!

Tayari wamefanikiwa kule kanda ya nyanza na Sasa wanakamilisha kanda ya kaskazini halafu rasmi wamwambie umepoteza mvuto HUKO!!!
TUSUBIRI
Vizuri.

Tusubiri.
 
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
Huyo mwanamme uliyeonyeshwa kwenye maono yako ni mimi.
Kwa hali hiyo nimeamua kutochukua tena form na hivyo kumpisha Mama aendelee mpaka 2030; na hivyo hatakuwa na upinzani tena kutoka ndani ya chana chake ifikapo 2025
 
Hoja hiyo inalandana na kifungu cha kikatiba kisemacho namba Moja anapoitwa Kule makamu hushika kiti chini ya uangalizi wa miaka MBILI kuona kama anaweza!!kama hawezi anaambiwa achia ashike Mwingine Mwenye capacity!!
Nadhani CHAMA ni chambo tu lakini hatma ipo kikatiba kabisa ya sasa!

Na hapo zengwe huchezwa kukutemesha kitumbua !inawezekana hata hayo makodi na wamasai ikawa shere ya kumtoa Relini Kumbuka pia kumnanga marehemu kukazua hasira ya kanda ya nyanza akapoteza uungwaji mkono wa kanda kubwa MBILI hizo!!!
Wakamuweka kapuni!!

Tayari wamefanikiwa kule kanda ya nyanza na Sasa wanakamilisha kanda ya kaskazini halafu rasmi wamwambie umepoteza mvuto HUKO!!!
TUSUBIRI
Turudi kwenye HOJA,

Upande wa chama Cha KIJANI Wana Utaratibu huu.

Rais mpya anapoingia madarakani, Rais mstaafu anaendelea na Uenyekiti wa chama Kwa miaka 2.

Utakumbuka Magu amekabidhiwa baada ya miaka 2 akiwa madarakani

Hii wanaofanya makusudi kumlinda mstaafu japokuwa anayo Kinga ya kutoshtakika.

Kwa scenario iliyotokea ktk Taifa letu, NANAKI Hana mamlaka juu ya mkt sababu ameshapewa uenyekiti, mamlaka hayo wanayo WAZEE wa JIKONI watumie mwanya wa KATIBA.

Kupita Kwa mjoli hesabu yake ni ya ki MUNGU, hesabu ya kibinadamu inabaki Kwa mtoto wa Mzee ruksa au yule wa kigoma. Amen
 
Tafsiri; ina maana God had doomed the kingdom of Belshazzar.
Screenshot_20220622-132809_Google.jpg


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.

kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Hapa kidogo umeanza vizuri ila hujamalizia na mpango nae je?
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Ila kiukwel mm NAICHUKIA cccccmmm kuliko hata kiongozi aliepo.

Chama hicho ni UGONJWA mbaya sana.
 
Hakuna chama cha upinzani nchi hii kinaweza kulinda misingi na Tunu za Taifa. Kama hadi leo upinzani unafikiria kubomoa Taifa eti Muungano wa Serikali sijui tatu au nne; bila kutumia akili ndogo kwamba Dola ya Tanzania ilishaundwa, kufikiria kuchukua nchi iliyojengwa na kiumbe anaitwa Mwalimu Nyerere wasahau. Mungu pekee labda aamue.

Kutwa kutukana vyombo vya ulinzi na usalama, kudhalilisha nchi na mengi tu ya ovyo.# Nchi ina misingi.🙏🙏🙏
Yaani wapinzani wa nchi hii ukiwaangalia kiundani ni kama hawana mpango wa kuchukua dola, wao kufanya vizuri ni mpaka ccm wakosee ccm wakifanya vizuri wanapoteana. Ukifuatilia vizuri utagundua kuwa toka JPM ameingia madarakani na kutekeleza sera za upinzani kwa asilimia kubwa upinzani uliyeyuka kama barafu, sababu wananchi hawakuona sababu ya kuunga mkono upinzani ambao wao sera zao zilihamia kwenye kukosoa serikali kwa kila jambo.
 
Wakati viongozi wote wa kamati kuu ni team Makunduchi. Yani hizi ni ndoto ichingi buana. Jina ni moja tu na tayari alishajipanga mwanzo mwisho
Kwamba mama ni mjanja kuliko menta wake?

Nini kilimkuta menta hata akapitisha jina la Jiwe? Hakuwa amejipanga? Wajuvi waliandika humu sababu za Mangula kurudishwa kwenye mfumo kipindi kile, ni kweli alihutajika kuokoa jahazi?

Ni kweli kuwa bila marehemu kuingilia kati pale, leo tungekuwa na chama b?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dogo unahangaika sana na samia.

Huyo hafiki popote baada ya 2023.

Jiandae kuwa chawa wa kibaraka mwingine atakayewekwa ikulu kuanzia mwaka huo.

Utateseka mno bwana mdogo.
Endelea kuota! Ni haki yako
 
Tafsiri na Kwa KISWAHILI. Amen
Kwa kiswahili
[emoji116][emoji116]
Danieli 5
25 Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.

26 Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.

27 TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.

28 PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi.
Screenshot_20220622-132809_Google.jpg


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
CCM wana print fomu moja tu kama 2020. Sasa huyo wa kiume labda aje na fom yake
 
Sukuma Gang mumekosa shughuli mwishowe kuwa WACHAWI. Tafuteni kazi mufanye za kupatia vipato, hizi ndoto za KIWENDAWAZIMU hazina maana.

Samia ndiye Mwenyekiti wa CCM na siyo mjinga hata kidogo. Kama ametumia busara kiasi hilki kuwatuliza wapinzani ambao mtangulizi wake alikuwa anawapiga risasi, anawanyang'anya fedha, anawatupa jela, je atashindwaje kuwatuliza wana CCM?

Nakuhakikishia kuwa Samia ni mgombea wa CCM wa 2025 na atashinda kwa kishindo bila kuiba kura kwa kuwa mipango yake ya uchumi iko vizuri.
Samia atashinda bila kuiba kura? Nani sasa atamchagua! Watanzania hawa ambao wanajionyesha wazi hawamkubali ndo watampigia kura? We itakuwa haupo TZ huyajui yaliyopo.
 
Back
Top Bottom