Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Dr Msukuma ndio nani?
 
ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.

kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Mpango ni mzee hawezi kuwa rais
 
Hivi Ukiwa kiongozi mkuu wa Nchi unaweza mwacha Mwigulu, Makamba na vijana wengine wafanye wanavojiskia wasikemewe??

Hoja hii pia hujaijibu, ukitafuta wanawake nchini wenye sifa za kuwa Marais ukiwachanganya wapigiwe kura, huyu atatoboa???
Kwani hao unaowataja wewe walikuwa hawajazaliwa wakati CC ya CCM inapitisha jina la Samia mwaka 2015?

Watanzania hamkijui mnachokitaka!! Alikuja JK mkasema mpole, akaja DIKTETA wa Chato akawa anawaua na kuwavuruga kwa kila namna!! Sasa unamtaka Asha Rose Migiro!! Kwa kipi ambacho amewahi kufanya akamzidi Samia?
 
Ndalichako ni msomi na mwanataaluma.

Samia ni mcheza vigodoro na sekretari wa NGO.

Chagua nani anafaa zaidi kati ya wawili hao.
Ulikwisha sikia English ya Ndalichako? Halafu unasema eti ni msomi na mwanataaluma?
 
Kwani hao unaowataja wewe walikuwa hawajazaliwa wakati CC ya CCM inapitisha jina la Samia mwaka 2015?

Watanzania hamkijui mnachokitaka!! Alikuja JK mkasema mpole, akaja DIKTETA wa Chato akawa anawaua na kuwavuruga kwa kila namna!! Sasa unamtaka Asha Rose Migiro!! Kwa kipi ambacho amewahi kufanya akamzidi Samia?
Ndugu me so wale wa kupinga Kila ktu.

Huyu aliepo tutamkumbuka vizazi Hadi vizazi kwakuwa kupitia YEYE, CHAMA chake kimetidhia mchakato wa KATIBA mpya uanze Sasa.

Naipenda sana TANZANIA yangu, maana Nchi zingine KATIBA huandikwa Kwa matone ya DAMU.
 
Mawazo ya kisenge haya. Unasema "Taifa halijawa tayari kuongozwa na mwanamke", wakati anayeongoza ni mwanamke toka 2021 mwezi Machi? Ni utayari upi unaomaanisha? Pili je umesoma Katiba ya JMT imesemaje kuhusu sifa za Rais? Yaani Sukuma gang mnapagawa, Nchi iko salama na Rais SSH
Kila kitu Sukuma Gang! Nani anateseka kati yao na wewe?
 
Ila huyu mama anajitahidi sana wakuu na nia yake ni njema. Amezungukwa na nguvu kubwa sana ya ubepari ambayo imemzidi. Ni hatari kwa maisha yake,ni hatari kwa maslahi yake na wapendwa wake kama ilivyo tu kwa viongozi wengine wa bara hili. Huyu naye ni binadamu mwenye damu na nyama kwa hiyo mambo mengine yako nje ya uwezo wake. Niwaambie tena,mama anapambana sana kwa ajili yetu na sehemu ya mapungufu tunayoona mengine ni makubwa kwake na yako nje ya uwezo wake

Tumuombee sana mama yetu na tumtie sana moyo!
Marais hulindwa, huongezewa ulinzi sio kuwaombea. Hupewa ulinzi kwa gharama ya kodi zetu ili aweze kufanya maamuzi bila woga.
By the way, hivi hata makanali, majenerali wa kijeshi, makamishina wa polisi, IGP na Katibu Mkuu Kiongozi watakopeshwa kwa ule mpango wa Mwigulu?
Na wakuu wetu wa mtaa wa mtakatifu Simoni je?
Ila Mwigulu ana short sightdness jamani! Mweheeeww!
 
Ila huyu mama anajitahidi sana wakuu na nia yake ni njema. Amezungukwa na nguvu kubwa sana ya ubepari ambayo imemzidi. Ni hatari kwa maisha yake,ni hatari kwa maslahi yake na wapendwa wake kama ilivyo tu kwa viongozi wengine wa bara hili. Huyu naye ni binadamu mwenye damu na nyama kwa hiyo mambo mengine yako nje ya uwezo wake. Niwaambie tena,mama anapambana sana kwa ajili yetu na sehemu ya mapungufu tunayoona mengine ni makubwa kwake na yako nje ya uwezo wake

Tumuombee sana mama yetu na tumtie sana moyo!
maza amepanga safu yake vizuri lazima atoboe.na namuombea mema maza anatangaza ajira kishenzi
jambo ambalo enzi za mkuu ilikua ndoto
 
Ulikwisha sikia English ya Ndalichako? Halafu unasema eti ni msomi na mwanataaluma?
Kwani English ndio usomi?

Ndalichako ni mathematician, msomi mwenye PhD na mkufunzi wa Chuo Kikuu (Doctorate) — A Professor of Mathematics.

Samia ni mcheza vigodoro. Sio mtaalamu. Hana Curriculum Vitae — Hajulikani hata ametokea wapi (Kuna fununu zinasema alikuwa SEKRETARI wa vikoba).

Yaani hapo hata wazee wa nchi wakikaa kupiga "ana ana doo", samia wanamfyeka chap bila kuulizana ulizana.
 
Sasa unamtaka Asha Rose Migiro!! Kwa kipi ambacho amewahi kufanya akamzidi Samia?

Asha Rose Migiro ni msomi mwenye CV iliyosheheni kweli kweli. Ana viwango vya kuhudumu kimataifa kwenye vyombo mbalimbali duniani.

Usimlinganishe na huyo bibi yenu samia ambaye ni sekretari wa NGO. Hana hata Curriculum Vitae.

Uwepo wa samia ni zali tu la kifo cha Magufuli. Hana uwezo wala sifa za kitaaluma. Ni rais wa urithi.

Asha Rose ni mwanamke wa shoka! Sijui kama unamfahamu vizuri au unamsikia kwenye magazeti ya udaku tu?
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Ndoto nyingine zinatisha! Acha kabisa! Unaota unakula pilao! Unashituka usingizini unajikuta unatafuna blanketi[emoji38]
 
Lililo dhahiri ni hili;

1. Mwanamke Rais Samia Suluhu Hassan hawezi kuchukua form ya kugombea u - Rais aidha kwa hiari yake au kwa kukataliwa na chama chake iwapo tu ataendelea kupata neema ya kufika hadi hiyo 2025...

## Kwa hili uko sahihi, Tanzania haikuwa tayari na haitakuwa tayari kuongozwa na mwanamke tena labda mpaka baadaye miaka ya usoni..

2. Haijalishi huko CCM nani atachukua au hatachukua fomu za ugombezi wa u - Rais.

Ila, this is undisputed fact, kwamba, uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi unafikia ukingoni kama siyo kesho basi si zaidi ya 2025...!

Kwa hiyo, tunapojadili hatima ya uongozi wa taifa la Tanzania, tuna kila sababu ya kuanza kuiondoa CCM ktk hatima ya nchi hii...
Taratibu usijikojolee ndugu mana unaota mchana kweupe! Mama Samia ni Rais mpaka 2030. Hutaki hama nchi!!!
 
Sukuma Gang mumekosa shughuli mwishowe kuwa WACHAWI. Tafuteni kazi mufanye za kupatia vipato, hizi ndoto za KIWENDAWAZIMU hazina maana.

Samia ndiye Mwenyekiti wa CCM na siyo mjinga hata kidogo. Kama ametumia busara kiasi hilki kuwatuliza wapinzani ambao mtangulizi wake alikuwa anawapiga risasi, anawanyang'anya fedha, anawatupa jela, je atashindwaje kuwatuliza wana CCM?

Nakuhakikishia kuwa Samia ni mgombea wa CCM wa 2025 na atashinda kwa kishindo bila kuiba kura kwa kuwa mipango yake ya uchumi iko vizuri.
Naamini ana mipango mizuri na anajitajid sana japo vita yake nayo si ya kitoto kikulacho ki nguoni mwako
 
Kama jpm angekuwa hai hii ilikuwa ni awamu yake ya vipindi viwili.Kwa.hiyo.huyu Ssh naye anamalizia sehemu ya kipindi kilichobaki maana naye alikuwa ni msaidizi wa jpm.Nasema tena naye atakuwa amemaliza kipindi chake cha utawala,hivyo ni lazima fomu zitolewa zaidi ya moja.Kidumu Chama cha .....
Khaaa hebu punguza hasira kidogo
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
kwahiyo msukuma atahama chama na kuazisha chake, by lini?
 
ukitaka kuruka sharti agana na nyonga.

kwa upepo ulivyo. nafasi ya urais itakuwa ya kuogofya kwani kabla ya 25 mpango atakuwa rais tayari.
mama yenu atapumzishwa kwa manufaa ya "UMMA' na akikaidi ata leftishwa in Peace
Na iwe hivyo. Huyo utopolo akapumzike.
 
Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.

Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.

1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.

2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.

3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.

4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.

5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.

6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.

7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.

Asanteni
Mkuu

Atakayeshinda uchaguzi wa mwaka 2025 iwe kwa halali au mabavu na hila ni sharti nyota yake inayoundwa na herufi za majina matatu, tarehe ya kuzaliwa, mwezi na mwaka pamoja na tarehe ya uchaguzi jumla yake iwe inagawanyika kwa mbili ndio mshindi. Kinyume na hapo ni balaa hatodumu hata siku moja ofisini.

Mfano: JPM [10+16+13] + [Date29Month10+Year59] + [Election Date29=1+6+6 =1+3=4=WINNER by aggregate of one point above 50%

The same formula for 2025!!!!
 
Back
Top Bottom