Ila limagu nalo lilikuwa lioga duh🤣🤣🙌Form itakua moja tuu kama 2020
Lazima tuwanyooshe wote
Zile fujo zote zilikuwa mikwara mbuzi kubabeki ndo maana wakamleftisha kilaini tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila limagu nalo lilikuwa lioga duh🤣🤣🙌Form itakua moja tuu kama 2020
Lazima tuwanyooshe wote
Nyie nae bana...Jiwe mlisema wa milele, yuko wapiSamia ni Rais wa JMT mpaka 2030 kubali kataa! Kama inakuuma hamia Burundi
Kuna option ya kubadili jina JamiiForumsMada hajanishtua Ila jina la mleta mada na tarehe aliyoleta.
" Boss la DP World tarehe 21/6/2022" tarehe hizo hata wabunge hawakujua Kama kuna kitu kinaitwa DP World, hatari
2005 walisema mshindi wa urais atakuwa mwanamke, aliposhinda aliyeshinda, wakajitetea wakasema "si mnaona ana sura ya kuvutia halafu hana ndevu?"Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Hata akiwa yeye atakuwa amechoka mno maana wanamhangaisha sanaHabari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Kuna watu wako mbele ya muda.Mada hajanishtua Ila jina la mleta mada na tarehe aliyoleta.
" Boss la DP World tarehe 21/6/2022" tarehe hizo hata wabunge hawakujua Kama kuna kitu kinaitwa DP World, hatari
Dp world ni code ya kuvuruga vuruga HADI apatikane pure!!Mada hajanishtua Ila jina la mleta mada na tarehe aliyoleta.
" Boss la DP World tarehe 21/6/2022" tarehe hizo hata wabunge hawakujua Kama kuna kitu kinaitwa DP World, hatari
Itakuwa kosa la Karne CCM kuwa na Mgombea mwanamke kwenye uchaguzi ujao, labda kama nia ni kuiba kura kwa kwa uchaguzi wa haki haiwezi kushinda asilani.Habari za Leo ndugu zangu, poleni na majukumu ya siku ya leo.
Leo nimeona niwajulishe kile ninacho kiona mwaka 2025 na uzi huu uwe shahidi itakapofika wakati huo.
1. Mpaka mchakato wa ndani wa kupata majina ya wagombea CCM unaanza, chaguo la wengi kwa nje litakuwa Mwanamke.
2. Form yakwanza itachukuliwa na mwanamke na mpaka hapo watu wataamini mgombea ni mmoja.
3. Mwanaume mmoja atachukua form kimya kimya.
4. Siku ya mwisho ya kurejesha form jumla ya majina yatakuwa zaidi ya mawili, yatakayokuwa na vigezo ni mawili.
5. Jina la pili litapata nguvu ghafla na halita zuilika na litaleta mshtuko kwa wapinzani.
6. Wabunge wengi waliopo sasa watumie vyema fedha zao kuwekeza na wasichukue form za kugombea tena maana watakatwa.
7. Sura mpya kabisa zitapokea kijiti kuongoza nchi na wapinzani watapata baadhi ya majimbo maana mtu kama Dr Msukuma atahama chama na kushinda kwenye chama chake kipya.
Asanteni
Boss la DP World=Bei Elekezi!!Mada hajanishtua Ila jina la mleta mada na tarehe aliyoleta.
" Boss la DP World tarehe 21/6/2022" tarehe hizo hata wabunge hawakujua Kama kuna kitu kinaitwa DP World, hatari