Utabiri: Mungu tunaileta mbele yako kamati itakayopitisha jina la Rais wa Tanzania 2025

Utabiri: Mungu tunaileta mbele yako kamati itakayopitisha jina la Rais wa Tanzania 2025

Samia ana hofu ya Mungu.

Aliyemleta Samia ni Mungu na kama amempangia kuendelea, Samia ataendelea. Aliyeleta rais wa jinsia nyingine pia ni Mungu.

Hata Samia ni rais wa JMT na sio jinsia yake, msuli anao na sote tumeuona

Samia ameonyesha uthubutu mkubwa sana kupita hata marais wanaume

Kazi inaendelea

Ndani ya CCM hakuna uchaguzi ni Samia tuu!, unless ile sauti ni ya YEYE. Hii ya kusema 2025 tunatafuta rais wa awamu ya 7 haijakaa poa unless wewe mwenzetu tayari umeisha ambiwa 2025 sio Samia!.

Hii haijakaa poa. Kama umeambiwa sema...

Mkuu nabii wetu TumainiEl , kwa sisi wasomaji wa jicho la tatu, hii sala yako haijakaa vizuri na haina nia Njema na Mama kwasababu kwa mujibu wa utaratibu wa ndani wa CCM, 2025 inatolewa fomu moja tuu ya urais kwa mtu mmoja tuu!. Hakuna kamati ya kumjadili bali ni procedures tuu za kumpitisha!, sasa hii kamati unayoiombea wewe ni kamati ya kufanya nini?.

Rais wa Tanzania kwa 2025 tayari aliishapangwa siku nyingi na Mungu mwenyewe ila sisi tuu ndio bado hatujaambiwa aliyepangiwa ni nani. Sasa kwa vile Mungu ametuletea Samia, kwa sasa twende na Samia mpaka pale Mungu atakapo tuonyesha vinginevyo kama nilivyo shauri hapa Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti niliyoisikia Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke ila sina uhakika sana ni sauti ya nani!, hivyo kama ni sauti ya kwake YEYE, then sio sauti ya kuipuuzia, na muda muafaka ukifika, hata Samia mwenyewe ataelezwa, kuwa ni wewe!. Naamini hata ile siku ya Wanawake Duniani ya Machi 8 mwaka 2017 tulipomshauri JPM, asigombee awamu take ya pili na badala yake ampishe VP wake Samia, naamini JPM alisoma Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” tulishauri

lakini ndio hivyo tena!.

Mwezi April mwaka wa uchaguzi, 2020, tukashauri tena "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Naamini kabisa hata JPM mwenyewe atakuwa aliambiwa kitu lakini ndio hivyo tena!.
Hivyo kama hii sauti ni yake YEYE mwenyewe ambaye NDIYE, then Mama ataambiwa na ukiambiwa asipuuzie!!. Lakini kama sauti hii sio yake YEYE bali ni sauti ya yeye tuu, then Samia hataambiwa kitu na asipoambiwa kitu, 2025 tunakwenda na Samia na itakuwa ni Samia!.
P
Nanga mkono hoja. Huyu anayejiita TumainiEl ni mjinga mmoja asititoe kwenye reli. Anawskilisha kundi lililokuwa limeshika hatamu wakati wa mwendazake. Siasa za mivutano, kuuana, kufunguliana makesi ya kubambikiza hazina nafasi tena. Tanzania yetu imetulia na iko salama kwenye mikono ya Rais Samia.
 
Nanga mkono hoja. Huyu anayejiita TumainiEl ni mjinga mmoja asititoe kwenye reli. Anawskilisha kundi lililokuwa limeshika hatamu wakati wa mwendazake. Siasa za mivutano, kuuana, kufunguliana makesi ya kubambikiza hazina nafasi tena. Tanzania yetu imetulia na iko salama kwenye mikono ya Rais Samia.
Mkuu Stuxnet , huyu TumainiEl sio mtu wa mchezo mchezo!, ni kati ya manabii wetu humu, hivyo sio mtu wa kupuuzwa!. Labda itakuwa ameambiwa ila kusema ameambiwa anaogopa!, sasa ndio anazunguka zunguka kutafuta namna ya kusema!.
P
 
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.

Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.

Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.

Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere.

Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda.

Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.

Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.

Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania.

Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu.

Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.

Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba.

Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. [emoji120][emoji24][emoji120][emoji120][emoji120]
Unaonekana uko desperate sana na Rais aliyepo sasa, ni hivi kila mamlaka inatoka kwa Mungu na kuna kila sababu njema nyuma ya jambo flani taifa linahitaji kiongozi aina ya Rais Samia angalau kwa vipindi 2 vya miaka 5 hivyo huyu tunae mpaka 2030.

Taifa linahitaji maridhiano na kwa sasa hakuna anayeweza kuleta hayo maridhiano ya kweli isipokuwa Rais Samia, taifa linahitaji katiba mpya na anayeweza kutupa ni Samia tu kwa sasa, taifa linahitaji mageuzi ya kweli ya kilimo, nishati na uchukuzi kisha tuhamie viwanda na biashara na kwenye hii transformation Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kudili ni project kubwa na serious bila kupunguza nguvu upande wowote hivyo huyu anatufaa mpaka 2030 kaa mapenzi ya Mungu
 
Unaonekana uko desperate sana na Rais aliyepo sasa, ni hivi kila mamlaka inatoka kwa Mungu na kuna kila sababu njema nyuma ya jambo flani taifa linahitaji kiongozi aina ya Rais Samia angalau kwa vipindi 2 vya miaka 5 hivyo huyu tunae mpaka 2030.

Taifa linahitaji maridhiano na kwa sasa hakuna anayeweza kuleta hayo maridhiano ya kweli isipokuwa Rais Samia, taifa linahitaji katiba mpya na anayeweza kutupa ni Samia tu kwa sasa, taifa linahitaji mageuzi ya kweli ya kilimo, nishati na uchukuzi kisha tuhamie viwanda na biashara na kwenye hii transformation Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kudili ni project kubwa na serious bila kupunguza nguvu upande wowote hivyo huyu anatufaa mpaka 2030 kaa mapenzi ya Mungu
Naunga mkono hoja
P
 
Unaonekana uko desperate sana na Rais aliyepo sasa, ni hivi kila mamlaka inatoka kwa Mungu na kuna kila sababu njema nyuma ya jambo flani taifa linahitaji kiongozi aina ya Rais Samia angalau kwa vipindi 2 vya miaka 5 hivyo huyu tunae mpaka 2030.

Taifa linahitaji maridhiano na kwa sasa hakuna anayeweza kuleta hayo maridhiano ya kweli isipokuwa Rais Samia, taifa linahitaji katiba mpya na anayeweza kutupa ni Samia tu kwa sasa, taifa linahitaji mageuzi ya kweli ya kilimo, nishati na uchukuzi kisha tuhamie viwanda na biashara na kwenye hii transformation Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kudili ni project kubwa na serious bila kupunguza nguvu upande wowote hivyo huyu anatufaa mpaka 2030 kaa mapenzi ya Mungu
Mama Samia yupo vizuri kama Rais mstaarabu.
Lakini Kwa nchi yetu na nchi nyingi za Kiafrika na katiba zake alipaswa kumpa nguvu kubwa sana Waziri Mkuu Kasim majaliwa ili aendelee kuwakimbiza mchakamchaka mafisadi na wabadhirifu wa Mali za umma .

Hii nchi inatafunwa Kwa Kasi kubwa sana Kwa Sasa . Kila mtumishi wa umaa anawaza safari na posho za vikao TU . Angalia mpaka watu wa Hali ya Hewa wanatutabiria utumbo mtupu. Kwa maana kwamba hawana muda wa kufanya kazi yao kwa umakini na Kwa ufanisi. Watu ni makongamano kila siku. Hakuna Tena usimamizi mzuri wa matumizi ya fedha za umma. Makongamano na kukodisha maukumbi na kila siku Kwa mambo ambayo yalishapangwa miaka mingi badala ya kupeleka pesa kwenye miradi zinakwenda kwenye posho mifukoni mwa wachache waliobuni miradi ya safari na makongamano.

Miaka Mitano sio mingi lakini sio michache Kwa Kiongozi aliyechaguliwa na Mungu Kwa kazi aliyotumwa kuifanya .

Yesu Kristo Masihi na Mwana wa Mungu alifanya kazi yake kwa muda wa miaka Mitatu TU lakini kazi ya miaka Mitatu imeendea karibu Dunia nzima.

Mama Samia sio lazima akae miaka 10 ndipo afanye mabadiliko ya kifikra na kimtizamo. Anaweza akasimama uchaguzi mkuu ujao Kwa haki na Kwa usawa Kwa kiwango kitakachotupa Rais na viongozi waadilifu na Wazalendo hata kama yeye atakosa .Ataacha alama kubwa sana . Kundi linalomzunguka ndilo linalokua na hofu ya kukosa lakini yeye hata akikosa Bado ataheshimika na kuthaminiwa maisha yake yote.

Nchi hii Bado Ina safari ndegu ya kujenga misingi ya kiuchumi na kijamii zaidi kuliko siasa. Bado tatizo ni ufisadi sio mikutano ya kisiasa Wala kuandamana.
 
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
NDO ULIPOHARIBU APO TUU
 
ana hofu ya Mungu.
Aliyemleta Samia ni Mungu na kama amempangia kuendelea, Samia ataendelea. Aliyeleta rais wa jinsia nyingine pia ni Mungu.

Hata Samia ni rais wa JMT na sio jinsia yake, msuli anao na sote tumeuona

Samia ameonyesha uthubutu mkubwa sana kupita hata marais wanaume

Kazi inaendelea

Ndani ya CCM hakuna uchaguzi ni Samia tuu!, unless ile sauti ni ya YEYE. Hii ya kusema 2025 tunatafuta rais wa awamu ya 7 haijakaa poa unless wewe mwenzetu tayari umeisha ambiwa 2025 sio Samia!.

Hii haijakaa poa. Kama umeambiwa sema...

Mkuu nabii wetu TumainiEl , kwa sisi wasomaji wa jicho la tatu, hii sala yako haijakaa vizuri na haina nia Njema na Mama kwasababu kwa mujibu wa utaratibu wa ndani wa CCM, 2025 inatolewa fomu moja tuu ya urais kwa mtu mmoja tuu!. Hakuna kamati ya kumjadili bali ni procedures tuu za kumpitisha!, sasa hii kamati unayoiombea wewe ni kamati ya kufanya nini?.

Rais wa Tanzania kwa 2025 tayari aliishapangwa siku nyingi na Mungu mwenyewe ila sisi tuu ndio bado hatujaambiwa aliyepangiwa ni nani. Sasa kwa vile Mungu ametuletea Samia, kwa sasa twende na Samia mpaka pale Mungu atakapo tuonyesha vinginevyo kama nilivyo shauri hapa Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti niliyoisikia Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke ila sina uhakika sana ni sauti ya nani!, hivyo kama ni sauti ya kwake YEYE, then sio sauti ya kuipuuzia, na muda muafaka ukifika, hata Samia mwenyewe ataelezwa, kuwa ni wewe!. Naamini hata ile siku ya Wanawake Duniani ya Machi 8 mwaka 2017 tulipomshauri JPM, asigombee awamu take ya pili na badala yake ampishe VP wake Samia, naamini JPM alisoma Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” tulishauri

lakini ndio hivyo tena!.

Mwezi April mwaka wa uchaguzi, 2020, tukashauri tena "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Naamini kabisa hata JPM mwenyewe atakuwa aliambiwa kitu lakini ndio hivyo tena!.
Hivyo kama hii sauti ni yake YEYE mwenyewe ambaye NDIYE, then Mama ataambiwa na ukiambiwa asipuuzie!!. Lakini kama sauti hii sio yake YEYE bali ni sauti ya yeye tuu, then Samia hataambiwa kitu na asipoambiwa kitu, 2025 tunakwenda na Samia na itakuwa ni Samia!.
P
Natamani YEYE ageuze uamuzi wake ili tusiendelee kuongozwa na yeye, maana naona yeye hana mpango wa kuachia 2025 licha ya mambo kutotuendea vizuri tuliowengi. Lakini yote kwa yote tunamwachia YEYE ili ajaribu kuongea kwa upole na yeye ili walau waya-solve haya mambo kwa amani kwa maslahi ya nchi yetu na kwa walio wengi pia. Maana sasa hivi naona wachache wana nguvu kuliko wengi. Na kutokana na nguvu zao, hata wakipiga kelele iwe mitandaoni au kwenye vyombo vya habari, basi sauti ya kwao ndo inasikika tu. Sauti za wengi zimemezwa na sauti za wachache!
 
ana hofu ya Mungu.

Natamani YEYE ageuze uamuzi wake ili tusiendelee kuongozwa na yeye, maana naona yeye hana mpango wa kuachia 2025 licha ya mambo kutotuendea vizuri tuliowengi. Lakini yote kwa yote tunamwachia YEYE ili ajaribu kuongea kwa upole na yeye ili walau waya-solve haya mambo kwa amani kwa maslahi ya nchi yetu na kwa walio wengi pia. Maana sasa hivi naona wachache wana nguvu kuliko wengi. Na kutokana na nguvu zao, hata wakipiga kelele iwe mitandaoni au kwenye vyombo vya habari, basi sauti ya kwao ndo inasikika tu. Sauti za wengi zimemezwa na sauti za wachache!
Afadhali 004 aliitwa dhaifu, lakini alikuwa msikivu,

Huyu wa sasa mawaziri wanatajwa Kwa UFISADI Ripoti hii, inajirudia tena mwakani wanatajwa wale wale, Yeye Anavunga haoni😳😳

Tumepatwa na nn Nchi hii?
 
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.

Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.

Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.

Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere.

Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda.

Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.

Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.

Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania.

Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu.

Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.

Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba.

Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. [emoji120][emoji24][emoji120][emoji120][emoji120]
Huyo Mungu unayemsema huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Back
Top Bottom