passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
HamtaaminiNdoto za Alinacha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HamtaaminiNdoto za Alinacha.
Mliochanja wote hamna Akili ebu jiulize mmechanja watu M1 Kati ya M60.kwahiyo mlivyochanjwa mmesaidia nini?Punguza kuvuta bangi chooni we bwege, nimekuuliza swali dogo , tangu lini chanjo inaua?. Umekimbilia kwenye matusi. Ushauri tu punguza bangi sio nzuri kwa mwanamke.
Ni bora ya mgonjwa wa ukimwi anayeishi kwa matumaini ya ARV kuliko nyinyi mazezeta ya mwendakuzimu.Hamtaamini
Hujielewi.Ni bora ya mgonjwa wa ukimwi anayeishi kwa matumaini ya ARV kuliko nyinyi mazezeta ya mwendakuzimu.
Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa mali yao na uzao wao ! Mwisho wa kunukuu !! (??) 🙏🙏🙏Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. 🙏😭🙏🙏🙏
Inahuzunisha ukiona hivi Kama ni ndugu yako daaaNtajibu ifuatavyo
1.aliemleta ni uhakika aliejuu ila aliemtwaa ni mjadala .jiwe alimtwaa saanane n'a wale wa viloba pwani .kaini alimtwaa abel
2.no one know? Hahaha saanane alihoji phd.acha kujitia uchawa bwana njaa(mayala) wote tunajua yesu alikufa kwa mamlaka ya pontio pilato.kama walivotekwa roma n'a kuliwa ndogo ,tundulisi kwa matakwa ya jiwe pilato
3.wana waisrael alipokufa goriath walilia kwa huzuni ?? N'a sisi kama waisrael hatukupaswa zika ilipaswa tukate kichwa
Alimdharau kivipi wewe mbona umeng'ang'ani hoja ya kumdharau magu yeye ni Nani ?mbona Kama kumdharau ni wengi tu wanamdharauYeye kaleta maombi/sala ambayo kama Mungu atapenda ni Rais Dkt Samia na hii ni kwa sababu hata ile kauli ya Mzee Makamba ya kupitisha azimio la mgombea awe Rais Dkt Samia pekee halikupigiwa kura maana yake kuna vitu vingi nyuma ya pazia. Rais Dkt Samia alichojichanganya ni ile kudharau marahemu Dkt Magufuli huo mzimu utamtafuna sana watanzania siyo wajinga wanafuatilia na wanasikiliza na kuna mambo mengi sana alikosea, mfano tu hata response yake juu ya COVID 19, alilazimisha chanjo, na kujifanya alikuwa sahihi ila wazungu hao hao walikuja kumuumbua na yeye bila aibu aliendelea kukomaa, kiasi kwamba alijifanya eti Dkt Magufuli alikosea ila kwa ushahidi wa wazungu kukataa lockdowns na chanjo Dkt Magufuli ni mshindi na Rais Dkt Samia ni zero. Hivyo ni baadhi ya vitu vichache. Ila nafasi bado anayo ya kujirekebisha na kurekebisha. Sasa hivi wale wabaya wake wanataka kumuingiza kwenye issue za ushoga atoe tamko sasa sisi chawa tunasema aachane maana sheria zetu zipo wazi. Akijiingiza huko itakuwa tena mambo ya mjadala mjadala
Wewe ndio zeroYeye kaleta maombi/sala ambayo kama Mungu atapenda ni Rais Dkt Samia na hii ni kwa sababu hata ile kauli ya Mzee Makamba ya kupitisha azimio la mgombea awe Rais Dkt Samia pekee halikupigiwa kura maana yake kuna vitu vingi nyuma ya pazia. Rais Dkt Samia alichojichanganya ni ile kudharau marahemu Dkt Magufuli huo mzimu utamtafuna sana watanzania siyo wajinga wanafuatilia na wanasikiliza na kuna mambo mengi sana alikosea, mfano tu hata response yake juu ya COVID 19, alilazimisha chanjo, na kujifanya alikuwa sahihi ila wazungu hao hao walikuja kumuumbua na yeye bila aibu aliendelea kukomaa, kiasi kwamba alijifanya eti Dkt Magufuli alikosea ila kwa ushahidi wa wazungu kukataa lockdowns na chanjo Dkt Magufuli ni mshindi na Rais Dkt Samia ni zero. Hivyo ni baadhi ya vitu vichache. Ila nafasi bado anayo ya kujirekebisha na kurekebisha. Sasa hivi wale wabaya wake wanataka kumuingiza kwenye issue za ushoga atoe tamko sasa sisi chawa tunasema aachane maana sheria zetu zipo wazi. Akijiingiza huko itakuwa tena mambo ya mjadala mjadala
Cc Pascal Mayalla hao watu tulikuwa nao mtaani n'a wengi wao walionywa wasimpinge mfalme juhaInahuzunisha ukiona hivi Kama ni ndugu yako daaaView attachment 2567450
Achana nae kilaza huyo amechanganyikiwa kufiwa na magufuli wakeChanjo inaua tangu lini?. Kupitia chanjo Dunia imerudi kwenye normal life. Na rate ya maambukizi yakapungua. Halafu marekani gani imesema hivyo?.
Ungejielewa usingekuwa zezeta wa mtu ambaye yupo kuzimu.Hujielewi.
Acha matusi basi! Hujui hayo ni matusi?Ni Kweli Vyama vyote tumesharidhiana Katika hilo
Hatari sanaMungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. 🙏😭🙏🙏🙏
Form ya kuomba kugombea Urais kupitia CCM ni moja tu na chama hakina hela za kutolea copy nyingine.Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri yetu ya Tanzania. Mungu Baba tuna sema Asante kwa kutupa Mashujaa walio lipigania Taifa hili kwa dam na Uhai wao na Leo hatuna tena.
Tuna Kushukuru kwa viongozi shupavu na wali kuwa na uthubutu kulivusha Taifa hili ktk nyakati nzito na ngumu na kamwe hawakukata tamaa Asante kwa wakuu wamajeshi Asante kwa wakuu wa usalama wa Taifa Asante kwa wakuu wa Vyombo vya ulinzi shupavu walio sema we will die ila Taifa litasimama.
Mungu tunasema Asante kwa viongozi wakuu wakitaifa ambao leo hatunao tena Asante kwakuwa wao ndio chanzo cha Taifa hili leo. Asante kwa ajili ya Hayati Baba wa Taifa la Tanzania Mwl Julius Kambarage Nyerere. Asante kwa ajili ya Mzee Abeid Karume, Asante kwa Haya Moringe Sokoine Asante Mungu maana yote haya ni kwa utukufu wako ili Wewe uogopwe na uheshimiwe. Baba Asante kwa wamajeshi wetu walio fia vitani hasa ile vita ya uganda. Mungu Asante kwa ajili ya Mageneral wote wa jeshi la ulinzi wa Taifa la Tanzania ambao leo hatunao tena Mungu usiwasahau hawa walimwaga dam kwa ajili ya Taifa hili kwenye most softcated operation na Leo tuna Taifa la Tanzania.
Asante kwa kutupa Jemedari Hayati John Pombe Magufuli. Asante kwakuwa hakumaliza kazi lakini yote nikwa utukufu wa Mungu.
Mungu tuna kuomba 2025 ikawe yakipeke hasa tuna elekea uchaguzi 2025 tunakuomba Mungu. Ukawalinde wale watakao ktk ku vet Rais wa Tanzania. Mungu hii shughuli itakuwa nzito sana hasa ukizingatia nyakati tulizopo na ujasusi wakidola Africa. Mungu tuna hitaji watu wenye hofu na Mungu ndio wakamchaguwe Rais wa Tanzania. Mungu tuna kataaa madaraka yakupeana either kwa jinsia, urafiki, undugu, ukabila au udini. Mungu watanzania tuna hitaji Rais na sio jinsia awe mume au mke basi awe na misuli kuliongoza hili Taifa, Mungu tuna hitaji Rais mwenye roho ya uthubutu na anye juwa kero na mateso ya watanzania nakutupatia majibu. Baba wapo watu muhimu sana lazima wafike 2025 japo ni wazee sana ila tunakuomba uwape pumzi ya Uhai watuchagulie Rais wa Saba ndipo uwapende zaidi. Haya majabali yalio Baki ukayalinde kwa ustawi wa Taifa hili.
Mungu tunawaombe wakuu wa ulinzi na usalama na vikosi vyote maalumu ktk kazi maalumu project 2025Q (Utabiri) wape akili uwezo wa ajabu kufanikisha kazi walizo NAZO na mwisho kulipatia Taifa Rais wa Saba. Kuna watu wangetamani Taifa hili kuwa Mali yao na uzao wao Mungu wangu Hilo lisitokee chini ya uwepo wako. Macho yetu yapo kwako macho yetu yapo Mbinguni usitupite wana wako wa Tanzania. 🙏😭🙏🙏🙏
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3064]Mliochanja wote hamna Akili ebu jiulize mmechanja watu M1 Kati ya M60.kwahiyo mlivyochanjwa mmesaidia nini?
Hivi ile move ya kuzuia boarding za watoto wadogo imefikia hatua gani?Mama sio muhuni Sana KULIKO waliomzunguka!
Kuna wahuni wamemzidi uhuni watamchomesha Sana na kuzua kambi mbili kali kama za msomali vs marope na yeye na wale jamaa wazito watampitisha asietarajiwa kati yao ambao ni Kati ya Ino wa kaisho,mabira,kayanga,kaitambuzi n.k na mkono wa baunsa!!
Yote KHERI
Mfungo mwema!!