Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Japo ni kweli ki protokali VP ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, ila kimamlaka, VP ni just a ceremonial position as a standby, in case something happens to the president, lakini hana mamlaka yoyote, hana powers zozote za kufanya chochote na hata akikaumu urais hawezi kusaini chochote, zaidi ya kutembea na mikasi na kumwakilisha rais kwenye events, lakini rais wa Zanzibar ni rais kweli wa nchi ndani ya nchi, ana dola, ana nguvu na ana mamlaka, hivyo kiutendaji Rais wa Zanzibar ana madaraka na mamlaka kuliko VP.

P.
Hapo zama za kale Raisi wa Zanzibar ndie aliekuwa VP,lakini kutoka na ufefhuli aliofanya Kamando Salimini Amour,kufikia hadi kusema " hakuna Raisi mkubwa na mdogo Raisi ni Raisi tu"

Kinyemela bila kushirikisha Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla cheo cha makamo wa Raisi wa kuchaguliwa kikaundwa.

Hii yote ilifanywa kwa Madhumuni ya kupunguza nguvu za Zanzibar katika Muungano..

God bless Zanzibar, Tanzania and Africa as whole
 
Japo ni kweli ki protokali VP ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, ila kimamlaka, VP ni just a ceremonial position as a standby, in case something happens to the president, lakini hana mamlaka yoyote, hana powers zozote za kufanya chochote na hata akikaumu urais hawezi kusaini chochote, zaidi ya kutembea na mikasi na kumwakilisha rais kwenye events, lakini rais wa Zanzibar ni rais kweli wa nchi ndani ya nchi, ana dola, ana nguvu na ana mamlaka, hivyo kiutendaji Rais wa Zanzibar ana madaraka na mamlaka kuliko VP.

P.
Naunga mkono hoja nguvu ya VP inakuja tu ikitokea Lakutokea Kwamba yupo kwenye Top katika succession plan ila in common ni VP ni ceremonial figure
 
Dr.mwinyi Nampa asilimia Mia kwa Zanzibar,..
Yet ndie atakaeipeperusha bendera ya ccm Zanzibar...
 
USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%
+ 19. BALOZI ALI KARUME
 
Nawaona ccm wakipigana vikumbo kugombea uraisi wa Zanzibar lakini kama kawaida nimeona katika ndoto yangu Mh. Mazurui wa ACT akishinda kwa kishindo Uraisi wa Zanzibar dhidi ya Mpinzania wake ccm mwanamume maji ya kunde, Nikiwa naisubiri Tume ya uchaguzi itowe matokeo ya Mwisho,Ukazuka upepo mkali sana, na hapo hapo nikashtuka.
 
Nawaona ccm wakipigana vikumbo kugombea uraisi wa Zanzibar lakini kama kawaida nimeona katika ndoto yangu Mh. Mazurui wa ACT akishinda kwa kishindo Uraisi wa Zanzibar dhidi ya Mpinzania wake ccm mwanamume maji ya kunde, Nikiwa naisubiri Tume ya uchaguzi itowe matokeo ya Mwisho,Ukazuka upepo mkali sana, na hapo hapo nikashtuka.
Ahaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lala Tena umalizie ndoto bwana . Rythm yako imeanza vizuri halafu umekimbia
 
Asee hawampi kule labda kwa goli la mkono na iwe kwa mbinde sana maana masheikh hawawezi wakaruhusu mwanamke atawale kule. Imbombo ngafu.
CCM haijawahi kushindwa kufanya tofauti na unachowaza leo.
Nani angelijua Gharibu Bilal angepotea kwenye ulimwengu wa siasa.
Nani alijua Mkapa angesimama 1995.
Nani alijua Magufuli angeshinda.

Mama Samia anaweza kuongoza Zanzibar bila shida yeyote.
Rekodi zipo ili zivunjwe.
Safari hii Zenji wake mkao wa Sapraizi
 
Ramli chonganishi hizi
Umenichekesha Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ahsante kwa kuniongezea siku za kuishi duniani
 
Kama umefuatilia tamthilia ya Razia Sultani, maisha Indra Gandhi na Margaret Thatcher, lolote lawezekana. Lakini kwa utawala wa M/Kiti wa CCM kwa sasa, si rahisi kutabiri, labda tu kama aliowataja watajitokeza kuwania nafasi hiyo ya juu. Tofauti ni hilo, ndoto inabaki kuwa ndoto
Tizama tamthilia ya DESIGNATED SURVIVOR na Scandal, utajua wanasiasa na watawala wanaandaliwaje.
Hautaamini macho yako na kuanzia siku hiyo utagundua Kila maamuzi Yana matarajio tofauti.
 
Uweli huyu mama katulia sana,ni moja kati ya viongozi wasiokuwa na papara katika uongozi wake,nawaza anauwezo wa kufika mbali zaidi kiuongozi.
 
Uweli huyu mama katulia sana,ni moja kati ya viongozi wasiokuwa na papara katika uongozi wake,nawaza anauwezo wa kufika mbali zaidi kiuongozi.
 
Kiukweli hiyo ni ndoto mzuri na very logical
Ratiba ya uchukuaji fomu za urais wa Zanzibar kwa CCM Zanzibar yatoka,
View attachment 1461992
Huku baadhi ya majina na ellectability percentage zao zikitajwa na Binti mmoja wa Kizanzibari.

USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%

NB
Tano Bora na Tatu Bora mutajua nyinyi wasomaji by Binti wa Kizanzibari.
My Take
Safari hii, Mhe. Samia Suluhu Hassan hajatajwa kabisa kuwania urais wa Zanzibar kwasababu nafasi aliyonayo sasa ya VP kwa ki hierarchy ya JMT, ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, hivyo hakuhesabiwa!. Sijui kigezo kilicho tumika kwasababu rais wa sasa wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein alikuwa VP kwa miaka 10 ndipo akaenda urais wa Zanzibar.

Na kwa vile ni muda mrefu Tanzania hatujapata rais wa JMT kutoka Zanzibar, na ile kanuni ya siri ya kupokezana urais wa JMT kwa Mkristo na Muislamu, kuwa akitoka rais Mkristo lazima afuatiwe na Muislamu, na rais Magufuli ni Mkristo, hivyo anayemfuatia ni Muislamu, then Dr. Hussein Mwinyi ana chances kubwa kuvaa viatu vya baba yake Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa rais wa Zanzibar 2020-2025, kisha kuja kumpokea Magufuli huku bara 2025

Dr. Hussein Mwinyi ndio fursa nyingine kwa Mzanzibari kuja kuwa rais wa JMT baada ya rais Mwinyi.

Prof. Mbarawa pia Presidential material na niliwahi kum Profile humu,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe? - JamiiForums

P
Samia kuwa rais nzanzibar inawezekana ila kutokana na mambo ya kiimani sidhani kama wale watu watakubali waongozwe na mwanamke
 
Tuachane na zanzibar yetu nyie komaeni na litanganyika lenu. Sisi raisi wetu kipenzi ni Maalim Seif Sharif Hamad
 
Tuachane na zanzibar yetu nyie komaeni na litanganyika lenu. Sisi raisi wetu kipenzi ni Maalim Seif Sharif Hamad
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] much respect [emoji106]
 
Hapo zama za kale Raisi wa Zanzibar ndie aliekuwa VP,lakini kutoka na ufefhuli aliofanya Kamando Salimini Amour,kufikia hadi kusema " hakuna Raisi mkubwa na mdogo Raisi ni Raisi tu"

Kinyemela bila kushirikisha Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla cheo cha makamo wa Raisi wa kuchaguliwa kikaundwa.

Hii yote ilifanywa kwa Madhumuni ya kupujguzs nguvu za Zanzibar katika Muungano
..

God bless Zanzibar, Tanzania and Africa as whole
Mkuu Chabuso, kusema ukweli, elimu ya uraia inahitajika sana, hizo sio sababu, huna haja ya kutumia maneno makali kama ufedhuli, wala sababu ya rais wa Zanzibar kuondolewa umakamo wa rais sio ilifanywa kwa madhumuni ya kupunguza nguvu za Zanzibar katika Muungano bali kuulinda muungano.

Sababu halisi ni kuwa, rais wa Zanzibar alikuwa Makamo wa rais na mjumbe wa cabinet, and just incase anything happens kwa rais, Makamo wa rais anaapishwa kuwa rais.

Sasa kufuatia Tanzania kuingia mfumo wa vyama vingi ile 1992, kukawa na uwezekano wa Zanzibar kuwa na chama tofauti na Bara, hivyo rais wa Zanzibar ambae ni from opposition ataingia kwenye cabinet na just incase if anything happens kwa rais wa JMT, makamo wa rais ambaye ni opposition anaapishwa kuwa rais wa JMT. Hivyo wakabadili katiba na rais wa Zanzibar is nobody kwenye set up ya muungano, hivyo hata CUF ingechukua Zanzibar, JMT ni salama.

Ili kumpa heshima rais wa Zanzibar, Rais wa JMT atamteua kuwa Waziri asiye na Wizara maalum, ili aingie kwenye cabinet, Komando aligoma hata kuapishwa, Karume na Dr. Shein wamekubali uteuzi na wakaapishwa kama mawaziri wasio na wizara maalum, ila wamesusia kuhudhuria vikao vya cabinet.

Usikute ndio maana kuna fulani huwa anashinda lakini hapewi!.
P
 
Back
Top Bottom