Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

2016 alitabiri magufuli atakufa au hatoendelea na urais mods wakaufuta na kweli magu alikufa huyu tumwangalie sana huyu
Nakumbuka huo uzi mpaka niliuscreenshot najamaa yuko vizuri kwenye utabiri aliwahi tabiri pia juu ya maalim seif, aliwahi tabiri juu ya corona na pia nakumbuka mara ya mwisho alitabiri juu kiongozi mkubwa wa Tanzania ambaye hatotoboa mwaka 2023.
 
MMzeee yametokea kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…